Hii ndio Kauli ya Kocha wa Simba baada ya ushindi wa 6 kwa Buyu

Hii ndio Kauli ya Kocha wa Simba baada ya ushindi wa 6 kwa Buyu

Katika rekodi za wafungaji 54 wa muda wote katika michuano ya Caf Champion League

Chama anashika nafasi ya 10 akifungana kwa idadi ya magoli sawa na wenzake wawili ambao wote kwa ujumla wana magoli 17

View attachment 2922657
Hata hivyo baada ya mechi ya leo kumalizika kwa Chama kufunga bao moja, Chama atavuka nafasi hiyo na kuwa nafasi ya 6 au 7

Kama namba zinaongea na bado hamtaki kukubali basi wacha tuongee sisi.

Katika rekodi za wachezaji kufananishwa na mchezaji wa timu nyingine, Chama amekuwa ndio mchezaji pekee aliyefananishwa na wachezaji wengi.

Na kila mchezaji anayefananishwa lazima hao watu wanaompigia promo waje kumkataa siku za mbeleni.

Walimfananisha na Morrison, Chama akaendelea kuwathibitishia kuwa yeye ni high class .

Wakaja na Aucho, kama kawaida ya Chama akaendelea kufanya yake na mwisho maji na mafuta vilipojitenga ndio ukawa mwisho wa hizo stori.

Waka switch kwenda na Feisal, "ooh Feisal ni mkali kuliko Chama". Muda ulifika na hizo stori zikaisha Chama angeendelea na utawala wake.

Wakaja na Kisinda, "aah unajua Kisinda ni mkali sana kwanza ana mbio afu Chama ni konokono"

Hii hata sitaki niiseme sana maana walimfukiza vibaya huyo Kisinda wao na wao wenyewe ndio waliokuwa wakwanza kumsimanga wakisema mchezaji gani anakimbia hovyo kama kibendera halafu hafanyi chochote.

Sasa wakaja kwa Azizi Ki, huyu ndio walimuona mkombozi wao kupita hao wengine wote waliowahi kutangulia.

Hadi baadhi ya media zikawa zinalazimisha Azizi Ki aonekane ni mpinzani wa Chama kwenye ishu nzima ya ubora.

Lakini kama ilivyo ada, jamaa akatupa taulo na Chama akaendelea na ufalme wake.

Saizi wamekuja na Pacome, huyu Pacome tena bora asijue mnyororo wa wachezaji waliowahi kufananishwa na Chama atakata tamaa mapema.

Yanga wote wanajua kuwa hawana mchezaji ambaye anauwezo wa kumfikia Chama, hata Hersi mwenyewe aliwahi kusema Chama ni mchezaji bora na ana ndoto ya kutaka kumuona siku moja anacheza Yanga.

Ndio maana kila msimu unaona wanamsajili wao ila kucheza anacheza unyamani.

So this isn't the first time and it's not going to be the last
Pata bundle mbili za bia bingwa ntalipa nikiuza kiwanja changu.Shukrani.😎
 
Katika hayo magoli, taja idadi ya magoli aliyofunga akicheza na timu kubwa au akicheza away. Chama anawika akicheza na timu ndogo na pia akiwa kwa Mkapa ila huwezi kukuta akitamba kwa timu kubwa au nje ya uwanja wa Mkapa hata siku moja na huu ndio ukweli
Kwani Chama kwao ni kwa Mkapa?Haujui hata kwa Mkapa Chama anakuwa away tu?Kwao ni Zambia.😂😂😂😂
 
Kwani Chama kwao ni kwa Mkapa?Haujui hata kwa Mkapa Chama anakuwa away tu?Kwao ni Zambia.😂😂😂😂
Kumbe mpira umeanza kujua leo hata maana ya away hujui. Kwani Simba ni timu ya taifa mpaka useme uwanja wa Mkapa ni away kwa Chama. Uwanja wa Mkapa ndio uwanja wa nyumbani kwa wachezaji wa Simba (timu ya Simba)
 
Kumbe mpira umeanza kujua leo hata maana ya away hujui. Kwani Simba ni timu ya taifa mpaka useme uwanja wa Mkapa ni away kwa Chama. Uwanja wa Mkapa ndio uwanja wa nyumbani kwa wachezaji wa Simba (timu ya Simba)
Usitaharuki kwa vitu vidogovidogo.Unachangamshwa akili.Jadili kauli ya kocha.Acha kutoa ulinganisho.Chama ni jini au konokono?
 
Mimi huwa sipendi mambo za comparison lakini kwakua mpira unachezwa na kila mtu anaona lazima watu wafanye comparison tu. Hakuna siku kuna mtu alisema Chama ni mbovu ni mchezaji mzuri wala msikasirike kufanyiwa comparison lakini tukija kwenye uhalisia kwa sasa Chama kwa Pacome na Aziz Ki bado sana ndugu. Chama hapati namba kwa hao watu ukubali ukatae. Hao jamaa viwango vyao havina mashaka wala havichagui games tofauti na Chama.
Sio rahisi kumuona Chama akicheza dhidi ya Yanga, Azam n.k kwenye game za watu ambao muda wote upinzani wanasakata mpira, Chama anapoteaga kabisa.

Pacome na Azizi Ki huko walikotoka walikuwa ni MVPs. Hawa watu game yoyote ile wanacheza mpira mwingi.
 
Usitaharuki kwa vitu vidogovidogo.Unachangamshwa akili.Jadili kauli ya kocha.Acha kutoa ulinganisho.Chama ni jini au konokono?
Ni jini akiwa dar na pia akiwa anacheza vs weak opponent. Ni konokono akiwa anacheza vs strong opponent ama away. Unataka na mifano? Kwenye mechi ya Wydad vs Simba kule Morocco Simba alipata mpira wa counter. Ngoma akampenyezea pasi Chama akiwa peke yake, kakosa mwendo mpaka beki anatoka nyuma na kuzuia shambulizi.
 
Ni jini akiwa dar na pia akiwa anacheza vs weak opponent. Ni konokono akiwa anacheza vs strong opponent ama away. Unataka na mifano? Kwenye mechi ya Wydad vs Simba kule Morocco Simba alipata mpira wa counter. Ngoma akampenyezea pasi Chama akiwa peke yake, kakosa mwendo mpaka beki anatoka nyuma na kuzuia shambulizi.
Hata jana alikosa magoli.Ni kawaida.Halafu,sorry,hivi atasajiliwa lini utopoloni huyu konokono?
 
Makolo wakikumbuka 5G na timu iliyowatumbua ipo juu kwenye msimamo wa ligi kuu, furaha yao inatumbukia nyongo🤔
 
Makolo wakikumbuka 5G na timu iliyowatumbua ipo juu kwenye msimamo wa ligi kuu, furaha yao inatumbukia nyongo🤔
Naamini dua yenu ya kuombea Simba limnyama ifungwe na wavaa vibwebwe wa makhirikhiri haikufika anga za mbali.Dua ilikuwa fake!
 
Hata jana alikosa magoli.Ni kawaida.Halafu,sorry,hivi atasajiliwa lini utopoloni huyu konokono?
Sijazungumzia kukosa makoli kwenye hayo mazingira bali nimezungumzia spidi. Jana kwa Mkapa dhidi ya Galaxy kaonekana mwenye spidi ila kule Morocco kaua move kwa kukosa spidi
 
Sijazungumzia kukosa makoli kwenye hayo mazingira bali nimezungumzia spidi. Jana kwa Mkapa dhidi ya Galaxy kaonekana mwenye spidi ila kule Morocco kaua move kwa kukosa spidi
Spidi gani unayoitaka wewe na uto wenzio?Ndivyo alivyo.Spidi pelekea Kisinda.
 
Mimi huwa sipendi mambo za comparison lakini kwakua mpira unachezwa na kila mtu anaona lazima watu wafanye comparison tu. Hakuna siku kuna mtu alisema Chama ni mbovu ni mchezaji mzuri wala msikasirike kufanyiwa comparison lakini tukija kwenye uhalisia kwa sasa Chama kwa Pacome na Aziz Ki bado sana ndugu. Chama hapati namba kwa hao watu ukubali ukatae. Hao jamaa viwango vyao havina mashaka wala havichagui games tofauti na Chama.
Hii kali,

Unamfananisha mwamba wa lusaka na zuwena,
Haya ni matusi
 
Katika rekodi za wafungaji 54 wa muda wote katika michuano ya Caf Champion League

Chama anashika nafasi ya 10 akifungana kwa idadi ya magoli sawa na wenzake wawili ambao wote kwa ujumla wana magoli 17

View attachment 2922657
Hata hivyo baada ya mechi ya leo kumalizika kwa Chama kufunga bao moja, Chama atavuka nafasi hiyo na kuwa nafasi ya 6 au 7

Kama namba zinaongea na bado hamtaki kukubali basi wacha tuongee sisi.

Katika rekodi za wachezaji kufananishwa na mchezaji wa timu nyingine, Chama amekuwa ndio mchezaji pekee aliyefananishwa na wachezaji wengi.

Na kila mchezaji anayefananishwa lazima hao watu wanaompigia promo waje kumkataa siku za mbeleni.

Walimfananisha na Morrison, Chama akaendelea kuwathibitishia kuwa yeye ni high class .

Wakaja na Aucho, kama kawaida ya Chama akaendelea kufanya yake na mwisho maji na mafuta vilipojitenga ndio ukawa mwisho wa hizo stori.

Waka switch kwenda na Feisal, "ooh Feisal ni mkali kuliko Chama". Muda ulifika na hizo stori zikaisha Chama angeendelea na utawala wake.

Wakaja na Kisinda, "aah unajua Kisinda ni mkali sana kwanza ana mbio afu Chama ni konokono"

Hii hata sitaki niiseme sana maana walimfukiza vibaya huyo Kisinda wao na wao wenyewe ndio waliokuwa wakwanza kumsimanga wakisema mchezaji gani anakimbia hovyo kama kibendera halafu hafanyi chochote.

Sasa wakaja kwa Azizi Ki, huyu ndio walimuona mkombozi wao kupita hao wengine wote waliowahi kutangulia.

Hadi baadhi ya media zikawa zinalazimisha Azizi Ki aonekane ni mpinzani wa Chama kwenye ishu nzima ya ubora.

Lakini kama ilivyo ada, jamaa akatupa taulo na Chama akaendelea na ufalme wake.

Saizi wamekuja na Pacome, huyu Pacome tena bora asijue mnyororo wa wachezaji waliowahi kufananishwa na Chama atakata tamaa mapema.

Yanga wote wanajua kuwa hawana mchezaji ambaye anauwezo wa kumfikia Chama, hata Hersi mwenyewe aliwahi kusema Chama ni mchezaji bora na ana ndoto ya kutaka kumuona siku moja anacheza Yanga.

Ndio maana kila msimu unaona wanamsajili wao ila kucheza anacheza unyamani.

So this isn't the first time and it's not going to be the last
Ongezaaaaaaaaa sautiiiii hadi majini uchwara ya Avic town wasikie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chama vs Yacouba Sogne
Chama vs Ntibanzokinza
Chama vs Khalid Aucho
Chama vs Aziz Ki
Chama vs Pacome
Chama vs Who's next??

Mtamaliza huu mjadala au mnataka serikali iingilie kati?
Bado hadi wafikie kwa Diarra, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi huwa sipendi mambo za comparison lakini kwakua mpira unachezwa na kila mtu anaona lazima watu wafanye comparison tu. Hakuna siku kuna mtu alisema Chama ni mbovu ni mchezaji mzuri wala msikasirike kufanyiwa comparison lakini tukija kwenye uhalisia kwa sasa Chama kwa Pacome na Aziz Ki bado sana ndugu. Chama hapati namba kwa hao watu ukubali ukatae. Hao jamaa viwango vyao havina mashaka wala havichagui games tofauti na Chama.
Na hao wote wamefananishwa/wanafananishwa na Chama.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], kuna Chama m1 tyuuh Bongo, epuka matapeli.
 
Back
Top Bottom