Hii ndio list ya wasanii wa bongo flavour wanaojua kujieleza kwenye interview zao

Nikiona interview ni Kiba huwa nabadilisha station, kila anachoulizwa hajibu mara it’s personal huwa najiuliza sasa kaenda kufanya nini si akae nyumbani tu awapishe wengine.

Diamond platinumz na rommy jons hawa sichoki kuwasikiliza
"Its personal, its personal, its personal eyooo Ali K hapa"
 
Kuna mtu anaitwa Soggy Dogy Hunter pitia mahojiano yake Youtube utakuja kuniambia, jamaa yuko smart sana.
 
Namba moja alitakiwa awepo mwana f,a

Ila hata kwenye list yako hujamuweka
 
Mpk chid benz kamshinda hadi Mwanafalsafa
 
Na Majibu yake yale ya watoto wa Arachuga...... Hachoshi kumsikiliza.
 
Kwa wasanii wa BONGO flava anaeongoza kwa kujieleza kwenye interview ni BILLNASS a.k.a BILINENGA.wengine wanafata
 
Ongezea Afande Selle na Jay mo
 
Nakumbuka aliwahi kuulizwa na Mtangazaji Mtaani kwake wanamkubali vipj? Akajibu eti wakimuona ni Kama umeme umerudi Kitaa... Dogo Janja Enterview zake na enjoy sana.
[emoji23] sijawahi msikiliza ...ngoja nimpekenyue
 
King kiba mtoe..! Huyo jamaa siwezagi kuangalia interviews zake. Five minutes only can make mad such that I might destroy the radio itself!
 
Nikiona interview ni Kiba huwa nabadilisha station, kila anachoulizwa hajibu mara it’s personal huwa najiuliza sasa kaenda kufanya nini si akae nyumbani tu awapishe wengine.

Diamond platinumz na rommy jons hawa sichoki kuwasikiliza
Niliona interview ya romy jones pale bbc akiwa na kikeke. Aisee huyu jamaa ni kama alipita kwenye chuo cha sanaa namna anavyojua kupangia maelezo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…