Hii ndio list ya wasanii wa bongo flavour wanaojua kujieleza kwenye interview zao

Hii ndio list ya wasanii wa bongo flavour wanaojua kujieleza kwenye interview zao

#10 hukupaswa kuongeza chochote (yuko vizuri)
#8 sidhani kama anastahili kuwepo hapo kabisa (I'm not hater) ila ndo ukweli huo.
 
HABARI MASIKU WAUNGWANA
kama kichwa kinavyojieleza hapo juu hii ndiyo list ya wasanii wanaojua kujieleza kwenye interview zao kiasi hata ukisikia anahojiwa lazima utamani kusikiliza hyo interview
1:FID Q
2[emoji815] PLATNUMZ
3:YOUNG KILLER MSODOKI
4:NIKI MBISHI
5:NAY WA MITEGO
6:NIKI WA PILI
7:NASH MC(japo anajikuta mjuaji sana
8:ALI KIBA
9😛ROFESA JAY
10:CHIDI BENZ (japo weng mtakataa ila huyu jamaa ana0ngeaga vya maana sana ukitulia na kumsikiliza vizuri)
Huyo namba 7 anajua kweli! Hawafagilii hata kidogo wangese wanaozingua harakati! Nash Vina mpaka Uchina
 
HABARI MASIKU WAUNGWANA
kama kichwa kinavyojieleza hapo juu hii ndiyo list ya wasanii wanaojua kujieleza kwenye interview zao kiasi hata ukisikia anahojiwa lazima utamani kusikiliza hyo interview
1:FID Q
2[emoji815] PLATNUMZ
3:YOUNG KILLER MSODOKI
4:NIKI MBISHI
5:NAY WA MITEGO
6:NIKI WA PILI
7:NASH MC(japo anajikuta mjuaji sana
8:ALI KIBA
9😛ROFESA JAY
10:CHIDI BENZ (japo weng mtakataa ila huyu jamaa ana0ngeaga vya maana sana ukitulia na kumsikiliza vizuri)
vigezo tafadhali yaha manbo ya list tu humu utajikuta unawachukia watu
 
Back
Top Bottom