Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Wanabodi wa jamii forums,
Yapo mashirika kadhaa ambayo yana stahili kubinafsishwa ili tuweze kuleta ufanisi wa utoaji huduma Tanzania. Haya mashirika ni wazi tungewakabidhi wageni Watanzania tungeishi maisha mazuri sana.
1. Mimi naanza na mashirika ya maji wakuu, maji kila siku yanakatika na huku tunalipia fedha zetu za bill. Tusipolipa kwa wakati wanatufungia huduma ya maji lakini wao wakikata maji hatuwezi wafanya chochote.
2.
3.
4.
Mimi nimeanza na hilo moja, kama unalijua lingine liweke hapa toa na sababu kwanini hilo shirika libinafsishwe. Wapi linapopwaya.
Usisahau kutaja shirika:
Ambalo tukibnafsisha hata haliumi
Yapo mashirika kadhaa ambayo yana stahili kubinafsishwa ili tuweze kuleta ufanisi wa utoaji huduma Tanzania. Haya mashirika ni wazi tungewakabidhi wageni Watanzania tungeishi maisha mazuri sana.
1. Mimi naanza na mashirika ya maji wakuu, maji kila siku yanakatika na huku tunalipia fedha zetu za bill. Tusipolipa kwa wakati wanatufungia huduma ya maji lakini wao wakikata maji hatuwezi wafanya chochote.
2.
3.
4.
Mimi nimeanza na hilo moja, kama unalijua lingine liweke hapa toa na sababu kwanini hilo shirika libinafsishwe. Wapi linapopwaya.
Usisahau kutaja shirika:
Ambalo tukibnafsisha hata haliumi