Hii ndio orodha ya mashirika yanayostahili kubinafsishwa bila hata kuuliza ili tusonge mbele

Hii ndio orodha ya mashirika yanayostahili kubinafsishwa bila hata kuuliza ili tusonge mbele

Wanabodi wa jamii forums,

Yapo mashirika kadhaa ambayo yana stahili kubinafsishwa ili tuweze kuleta ufanisi wa utoaji huduma Tanzania. Haya mashirika ni wazi tungewakabidhi wageni Watanzania tungeishi maisha mazuri sana.

1. Mimi naanza na mashirika ya maji wakuu, maji kila siku yanakatika na huku tunalipia fedha zetu za bill. Tusipolipa kwa wakati wanatufungia huduma ya maji lakini wao wakikata maji hatuwezi wafanya chochote.
2.
3.
4.

Mimi nimeanza na hilo moja, kama unalijua lingine liweke hapa toa na sababu kwanini hilo shirika libinafsishwe. Wapi linapopwaya.

Usisahau kutaja shirika:
Ambalo tukibnafsisha hata haliumi
Hata tanesco...maana tunaambiwa ni letu, ni umma, blah blah...lakini kiukweli kuna watu wameingiza mirija humo shirika liko hoi bin taaban, asilimia kubwa ya mapato yake wahuni na ccm yao wananyonya wanabakiziwa mishahara tu.
 
Wanabodi wa jamii forums,
Yapo mashirika kadhaa ambayo yana stahili kubinafsishwa ili tuweze kuleta ufanisi wa utoaji huduma Tanzania. Haya mashirika ni wazi tungewakabidhi wageni Watanzania tungeishi maisha mazuri sana.

1. Mimi naanza na mashirika ya maji wakuu, maji kila siku yanakatika na huku tunalipia fedha zetu za bill. Tusipolipa kwa wakati wanatufungia huduma ya maji lakini wao wanakata maji hatuwezi wafanya chochote.
2.
3.
4.

Mimi nimeanza na hilo moja, kama unalijua lingine liweke hapa toa na sababu.
Bunge pia libinafsishwe maana tuna wawakilishi vilaza
 
Kwanini wewe usifungue Kampuni ya Maji ufanye kama wanavyofanya na ku-compete na hizo Kampuni ?

Whats the main advantage of Privatization ?

 
Hata tanesco...maana tunaambiwa ni letu, ni umma, blah blah...lakini kiukweli kuna watu wameingiza mirija humo shirika liko hoi bin taaban, asilimia kubwa ya mapato yake wahuni na ccm yao wananyonya wanabakiziwa mishahara tu.
Hao watu Binafsi kwanini wanasubiri wapewe TANESCO kwanini wasianzishe Electric Generation (Solar; Hydrogen to name just a few)....

Unadhani TANESCO ikichukuliwa na Private Sector (Profit ndio the only objective) itakuwaje ndio bei itashuka ? Je kule ambapo hakuna wateja wenye faida watapeleka miundombinu hence kufanya kazi ya Kanisa ?

Kwahio kuzuia wahuni wa CCM wasiibe ni kuwauzia WAHUNI wa CCM ?!!!!

 
Hao watu Binafsi kwanini wanasubiri wapewe TANESCO kwanini wasianzishe Electric Generation (Solar; Hydrogen to name just a few)....

Unadhani TANESCO ikichukuliwa na Private Sector (Profit ndio the only objective) itakuwaje ndio bei itashuka ? Je kule ambapo hakuna wateja wenye faida watapeleka miundombinu hence kufanya kazi ya Kanisa ?

Kwahio kuzuia wahuni wa CCM wasiibe ni kuwauzia WAHUNI wa CCM ?!!!!

hayo maswali ni sahihi kabisa kuwauliza watawala na ccm yao. Kwa nini hao wahuni waliochomeka mirija humo tanesco wasipewe leseni waanzishe makampuni ya umeme? mbona nchi zingine zimeweza kuwa na makapuni ya umeme zaidi ya moja?
 
Wanabodi wa jamii forums,

Yapo mashirika kadhaa ambayo yana stahili kubinafsishwa ili tuweze kuleta ufanisi wa utoaji huduma Tanzania. Haya mashirika ni wazi tungewakabidhi wageni Watanzania tungeishi maisha mazuri sana.

1. Mimi naanza na mashirika ya maji wakuu, maji kila siku yanakatika na huku tunalipia fedha zetu za bill. Tusipolipa kwa wakati wanatufungia huduma ya maji lakini wao wakikata maji hatuwezi wafanya chochote.
2.
3.
4.

Mimi nimeanza na hilo moja, kama unalijua lingine liweke hapa toa na sababu kwanini hilo shirika libinafsishwe. Wapi linapopwaya.

Usisahau kutaja shirika:
Ambalo tukibnafsisha hata haliumi
SIDO halina tija linaongozwa bila taratibu,kanuni wala sheria.
 
Kuna mashirika mengine ni majina tu embu tuyaorodheshe hapa kwa uharaka ndugu zangu
 
hayo maswali ni sahihi kabisa kuwauliza watawala na ccm yao. Kwa nini hao wahuni waliochomeka mirija humo tanesco wasipewe leseni waanzishe makampuni ya umeme? mbona nchi zingine zimeweza kuwa na makapuni ya umeme zaidi ya moja?
Tanzania umekatazwa ? Mobisol na wengineo kwani hawafanyi / hawakufanya ?

Na tunabinafisha nini ? Bwawa la Uzalishaji ? Miundombinu au ? Au tunabinafsishwa uendeshaji kama tulivyofanya / tutakavyofanya bandari ili watu watukusanyie wapate faida mwisho wa siku watupe kinachobaki ?

Kwani mpaka sasa Tanesco haitoi tender (ingawa ni tender za kunufaishana matumbo) nina uhakika hizo nguzo, kandarasi n.k. zote ni Tender (jambo ambalo sio baya kama mwisho wa siku kungekuwa na utekelezaji na utendaji ungekuwa na accountability)

Sasa kama tunajua tatizo ni utendaji na accountability haipo kwanini tusitibu huo ugonjwa ? Kwahio Tuuze Kampuni yote kwa watu ili wafanye wakiiba tutaweza kuwabana ? (Au wakisema tunapata Hasara tuongeze Gharama) mtabisha au itabidi Kodi zenu zitumike kuwapa Ruzuku ?

Na Kama Privatization inasaidie kwenye ushindani ni nani atachukua miundombinu au ndio kila mtu ataweka nguzo zake na waya zake ? Na je watoa huduma wakiwa watatu watashindwa kufanya Cartels ?
 
Tanzania umekatazwa ? Mobisol na wengineo kwani hawafanyi / hawakufanya ?

Na tunabinafisha nini ? Bwawa la Uzalishaji ? Miundombinu au ? Au tunabinafsishwa uendeshaji kama tulivyofanya / tutakavyofanya bandari ili watu watukusanyie wapate faida mwisho wa siku watupe kinachobaki ?

Kwani mpaka sasa Tanesco haitoi tender (ingawa ni tender za kunufaishana matumbo) nina uhakika hizo nguzo, kandarasi n.k. zote ni Tender (jambo ambalo sio baya kama mwisho wa siku kungekuwa na utekelezaji na utendaji ungekuwa na accountability)

Sasa kama tunajua tatizo ni utendaji na accountability haipo kwanini tusitibu huo ugonjwa ? Kwahio Tuuze Kampuni yote kwa watu ili wafanye wakiiba tutaweza kuwabana ? (Au wakisema tunapata Hasara tuongeze Gharama) mtabisha au itabidi Kodi zenu zitumike kuwapa Ruzuku ?

Na Kama Privatization inasaidie kwenye ushindani ni nani atachukua miundombinu au ndio kila mtu ataweka nguzo zake na waya zake ? Na je watoa huduma wakiwa watatu watashindwa kufanya Cartels ?
Mkuu una maswali mazito sana
 
Tanzania umekatazwa ? Mobisol na wengineo kwani hawafanyi / hawakufanya ?

Na tunabinafisha nini ? Bwawa la Uzalishaji ? Miundombinu au ? Au tunabinafsishwa uendeshaji kama tulivyofanya / tutakavyofanya bandari ili watu watukusanyie wapate faida mwisho wa siku watupe kinachobaki ?

Kwani mpaka sasa Tanesco haitoi tender (ingawa ni tender za kunufaishana matumbo) nina uhakika hizo nguzo, kandarasi n.k. zote ni Tender (jambo ambalo sio baya kama mwisho wa siku kungekuwa na utekelezaji na utendaji ungekuwa na accountability)

Sasa kama tunajua tatizo ni utendaji na accountability haipo kwanini tusitibu huo ugonjwa ? Kwahio Tuuze Kampuni yote kwa watu ili wafanye wakiiba tutaweza kuwabana ? (Au wakisema tunapata Hasara tuongeze Gharama) mtabisha au itabidi Kodi zenu zitumike kuwapa Ruzuku ?

Na Kama Privatization inasaidie kwenye ushindani ni nani atachukua miundombinu au ndio kila mtu ataweka nguzo zake na waya zake ? Na je watoa huduma wakiwa watatu watashindwa kufanya Cartels ?
aise wewe ni mbumbumbu wa kiwango cha uprofesa. TZ hakuna sheria inayoruhusu uanzishwaji wa shirika la ugavi wa umeme kwa sasa zaidi ya TANESCO. Hakuna. Au umezaliwa jana?

Wake up!
 
aise wewe ni mbumbumbu wa kiwango cha uprofesa. TZ hakuna sheria inayoruhusu uanzishwaji wa shirika la ugavi wa umeme kwa sasa zaidi ya TANESCO. Hakuna. Au umezaliwa jana?

Wake up!
Aisee hii ndio naita Hubrus au kudhani unajua wakati haujui ?

Umeme ni nini ? Nishati ni nini ? ukifungia watu Solar na kuwapa Huduma wanapata nini ?, Na wale waliosign mikataba ili wawauzie TANESCO Nishati waweke kwenye GRID wanafanya nini ? DOWANS walikuwa wanafanya nini ?

Au unataka upewe Kibali na uweke na kumiliki nguzo zako na ma-transformer kila kona ? (ukipewa ufanye hivyo utahakikisha usalama) ? Na je kila mtu akifanya miundombinu itakuwaje...

Au hujui Historia ya Direct Current kwa kwamba kuna kipindi huko USA kila mtu alikuwa na waya zake kutoka kwenye battery kwenda kwa mteja hence miji yote ikawa na utitiri wa nyaya ?

Hivi unajua vizuri Ins and Outs za Uzalishaji ? Na hata huko walipobinafisha haya mambo unajua wamebinafsisha nini ?
 
Back
Top Bottom