Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka mtu apewe uraia ndani ya dk 15,nadhani ungesuggest waweke mfumo ambao sio sumbufu,lakini kutoa NIDA bila verification ni hatariHawa NIDA wanatatizo kiukweli. Jana nimeenda NBC bank kufungua akaunti, ndani ya dakika 15 nilijaza taarifa zangu zikaingizwa ndani ya mfumo nikapewa ATM card. NIDA wangejifunza NBC
NIDA panatatizo kubwaNida imepita kwa kishindo Mama mpe Emirate maana hujawah kutuangusha
Hii ndio tabia halisi ya dude linaloitwa CCM lenye mavazi ya kijani na njano.Sisi wabongo ni wavivu, walafi kama mchwa na wabinafsi...
Mimi ni Mtanzania na sasa nina miaka minne sijapewa kitambulisho changu tangu nikiombe. Kama ili nipiwe hicho kitambulisho na wasio Watanzania wanaweza pewa pia basi nipewe tu, I don't care.NIDA, Uhamiaji, RITA wakifanya mnayotaka nyie wasio Watanzania watapewa Utanzania.
Lakini mkuu verification inaweza kufanyika kwa muda mfupi. Au wewe unasemajeUnataka mtu apewe uraia ndani ya dk 15,nadhani ungesuggest waweke mfumo ambao sio sumbufu,lakini kutoa NIDA bila verification ni hatari
Binafsi kimebakiza miaka 3 ya renewMimi ni Mtanzania na sasa nina miaka minne sijapewa kitambulisho changu tangu nikiombe. Kama ili nipiwe hicho kitambulisho na wasio Watanzania wanaweza pewa pia basi nipewe tu, I don't care.
Mkuu umemaliza kila kitu,hii thd kila mtu atalaumu shirika fulani.Mkuu tatizo kubwa la kukwama kwetu sio mashirika bali ni sisi watu na mifumo yetu...
Sisi wabongo ni wavivu, walafi kama mchwa na wabinafsi...
Tunasoma vizuri shule, tunapata utaalamu kwenye fani mbalimbali lakini tukishakabidhiwa vitengo ufanisi zero...
Wachangiaji sijui wanahasiraHizi comments za hii thd utasema wanao comment sio wabongo,unaweza kufikiri ni watu wa nchi zingine kabisa,
Sio ajabu mtu kutaja shirika ambalo nae pia anafanya kazi humo kwenye hilo shirika.
[emoji23][emoji23][emoji23]Unadhani Watanzania wameelimika?
Mashirika, mamlaka, idara, vitengo vyote ni Taasisi. Raia wamejiongeza.Uzi umetaja mashirika, comments zimejaa taasisi zisizo mashirika...
Mashirika ni kama NHC, Tanesco, NDC, TTCL, ATCL, TRC, NAFCO etc[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanabodi wa jamii forums,
Yapo mashirika kadhaa ambayo yana stahili kubinafsishwa ili tuweze kuleta ufanisi wa utoaji huduma Tanzania. Haya mashirika ni wazi tungewakabidhi wageni Watanzania tungeishi maisha mazuri sana.
1. Mimi naanza na mashirika ya maji wakuu, maji kila siku yanakatika na huku tunalipia fedha zetu za bill. Tusipolipa kwa wakati wanatufungia huduma ya maji lakini wao wakikata maji hatuwezi wafanya chochote.
2.
3.
4.
Mimi nimeanza na hilo moja, kama unalijua lingine liweke hapa toa na sababu kwanini hilo shirika libinafsishwe. Wapi linapopwaya.
Usisahau kutaja shirika:
Ambalo tukibnafsisha hata haliumi
Wasaidie kuziingiza hizo taasisi ktk hayo mashirika acha makasirikoUzi umetaja mashirika, comments zimejaa taasisi zisizo mashirika...