Wabeba box hawa hawa ambao wamechanganyikiwa mpaka hawaamini Mungu kama Kiranga?
Kwa definition hii heading ya thread haileti maana.Roho ni nguvu ya uhai ya mwanadamu au kiumbe chochote kilicho na uhai. Ile nguvu ya uhai " force of life " ya mwanadamu au kiumbe hicho ndio inayo itwa roho.
Huyo jamaa akishindwa hoja analeta viroja na vituko na hiyo anafikiri ndiyo inakuwa salama yake.Kutoamini kama kuna Mungu ni kuchanganyikiwa ?
I told u nikka Ur so predictable. Umeuliza roho NI nini nimekujibu then unaleta blaah blaahKwa definition hii heading ya thread haileti maana.
Tuondoe neno "roho" tuweke maneno "nguvu ya uhai"
"Hii ndio sababu ya kiroho kwanini watu wanaookota chupa za plastiki wengi huwa wanaishia kuwa wendawazimu"
"Hii ndio sababu ya kinguvu ya uhai kwanini watu wanaookota chupa za plastiki wengi huwa wanaishia kuwa wendawazimu"
BONKERS!
Kubeba box kuna uhusiano gani na kuchanganyikwa na kuamini kama Mungu yupo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio umeshindwa hoja.Huyo jamaa akishindwa hoja analeta viroja na vituko na hiyo anafikiri ndiyo inakuwa salama yake.
Kumbe anazidi kujionesha alivyo hamnazo.
Umeshajibiwa wewe wacha kubwabwajaWatu wanapenda sana kurukia ghorofa ya kumi wakati hata msingi hawajatueleza ukoje.
Katika majadiliano ya watu wanaojali mambo kwa kina, kabla ya kujadili kuhusu roho, inabidi kuweka definition.
Kwa sababu, kwa mfano, katika Kiingereza, neno "spirit" linaweza kumaanisha roho, na neno hilo hilo linaweza kumaanisha kinywaji kikali cha pombe.
Sasa, ukiniambia spirit ni kinywaji kikali cha pombe, siwezi kukubishia kipo.
Lakini ukiniambia spirit ni roho, hapo itabidi tuelezane zaidi.
Ndiyo maana nikauliza, kabla ya kwenda zaidi kimepanda kimeshuka...
Roho ni nini? Naweza kuthibitishiwa kwamba roho ipo na si hadithi za uongo za watu tu?
Mpaka sasa sijaona jibu.
Wapi?Umeshajibiwa wewe wacha kubwabwaja
Kwani uliwahi kuthibitisha wapi?Unataka nikuthibitishie mara ngapi mkuu?
Kama umejibu mara nyingi sana, hilo litakufanya uwe na mifano mingi sana ya kunionesha ulipojibu.Hilo swali umeuliza mara nyingi Sana na.nimekujibu mara nyingi Sana. Sijui tatizo lako NI nini wewe?
Kama umejibu mara nyingi sana, hilo litakufanya uwe na mifano mingi sana ya kunionesha ulipojibu.
Ukisema umejibu mara nyingi sana, bila kuonesha ulipojibu, watu watajuaje kwamba umejibu kweli?
Au mimi nawezaje kufanya uhakiki kama umejibu kweli, au unafikiri tu umejibu?
Weka ushahidi hapa unioneshe ulipojibu, kama umejibu kweli.
Weka ulipojibu hapa, acha longolongo.Ur playing back and forth games just like girls who play hard to get when being seduced.
Hivi Francis Cheka mara ya mwisho alisikika lini? Inadaiwa alikuwemo kwenye ile ajali ya Lori la Mafuta Morogoro. Tangu hapo habari zake hakuna.Kwahiyo Francis Cheka tumpe muda gani kabla hajawa mental kabisa?
Na mbona hizi mambo zinaapply hapa Tz (Kama ni kweli) wakati huko kwenye tamasha la Roskilde watu wanaokota chupa kama hawana akili nzuri na hakuna anayewehuka?
Hakuna cha ziada kwa hawa watuBlind people don't see
SawaHakuna cha ziada kwa hawa watu
Hawana uchizi wowote
Na wala kuokota makopo hakuleti uchizi
Ni hali tu ya maisha kuwa ngumu na aina ya kazi wanayofanya ndiyo inafanya waonekane hivyo ila wako sawa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
OkayHuu sio ukweli namshukuru mungu nilipoporomoka kimtaji niliokota makopo usiku wa manane bila kuogopa nilikwenda usiku sana ili nisionwe niliuza kwa wachina na sijawa kichaa mpaka Leo ila nilipata Bahati yakuokota million mbili Cash
Sent using Jamii Forums mobile app