Igwe Kingdom
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 317
- 590
Usilinganishe Bukoba na vitu vya ajabuWatu wa kigoma, hivi na bukoba si ipo huko huko
Kigoma ujiji inapatikana kigoma mjini. Huko ndio kwao Hashim rungwe, baruhani muhuza, juma kaseja huko ndio mji ulipoanzia, ni ngome ya kiislamu Watu wa huko ni masikini mno pia Kuna waganga wengi sana na mambo ya kichawi ni mengi mno, kukuta vyungu vimepasuliwa njia panda ni jambo la kawaida HAKUNA MTUMISHI YOYOTE WA SERIKALI ANAEKAA KIGOMA UJIJI, huko Hadi watoto wanajua uchawi ni nini kwenda kwa mganga ni jambo la kawaida.....huku kigoma ujiji harusi ni Kila siku huwezi pitisha siku hakuna harusi maisha magumu nyumba za udongo Lakini ni waswahili balaa, huko ujiji maduka yanayokodisha mziki yanafika 40.
Nyuma kabisa unatafutiwa kubondwa za uso maana alipotaja waswahili moja kwa moja ukawahusisha waswahili na ile jamii yenu ya Asia ya wavaa kobazi+wavaa ushungi, hao watu walibaka na kuua babu+bibi zetu, unawatetea sana hao ndugu zako ktk imani ya mnyaazi.Tafadhali futa hilo neno, weka "washenzi", hakuna Mswahili mwenye mambo ya kijinga, Waswahili ni wastaarabu hawana hayo mambo ya kishenzi. Usiuhusishe uswahili na ushenzi/
Waswahili ndiyo waliokupa ustaarabu wewe mpaka leo hii unaandika Kiswahili.
Hapana, kwa Tz ziwa Tanganyika naweza sema ndio safi kuliko maziwa mengine sema tu lina kina kirefu sana hatua mbili tu maji yafafika karibia na upaja. Kule ufukweni wala huwezi ona uchafu.Yani aogelee maji yenye vumbi
Uko sawa, mf lami iko mpk kibondo na barabara inapita katikati ya kambi ya wakimbizi ya Nduta na inaenda mpk karibia na kifula. Kisha unaikutia busunzu mpk Mt.Malagarasi. pale ni vumbi kwakuwa ndio wanaunganisha madaraja. Baada ya hapo ukifika mkuyuni unakutana na lami mpk yachenda.Mtoa mada meengi ya uliyoyaandika hayana ukweli na ni uzandiki tuu
Na kigoma mjini biashara nyingi ni za ubia na wakongoIla kasulu pamechangamka Kibiashara tofauti na kigoma mjini kwa mtazamo wangu lakini
Kakonko na biharamulo via nyakanazi piaBukoba atakuwa amemaanisha Kagera Mkuu, Kigoma imepakana na Kagera yaani Ngara na Biharamulo
Niambie mrembo habari!Niliendaga kasulu bhana kipindi hicho hapakuwa lami maeneo ya nyumba za shirika,Kwanza wakat natoka dar mama alinipanga ni pazur dar ikasome mmmhh[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848],kwakuwa na penda Mambo ya sehemu nzur zenye bustan za mauwa na matunda akil ikasoma patakuwa Kama (uturuki).Nyie ile nimefika kasulu Kwanza ilibid niulize ndio hapa dooh,[emoji849][emoji849][emoji849]naambiwa ndio tena mjin [emoji44][emoji44][emoji44][emoji44].Machoz mbona yalianza kunitoka hapo na mtaan niliondoka kwa bwebwee [emoji24][emoji24][emoji24],usista duuu wote uloniishia Rasta zote vumbi,ctak hate kukumbuka mm.
Bukoba to kigoma ni mwendo wa masaa 13 Hadi 15...unatoa Bukoba saa 12 asubuhi unafika kigoma saa mbili usiku....Watu wa kigoma, hivi na bukoba si ipo huko huko
Pwagu na Pwaguzi...Wapi Kuna unafuu wa kuoa Kati ya Bukoba na Kigoma?
Waha... Wahaya.. hio .....ya ni tofauti ndogo ndogo sana.Bukoba to kigoma ni mwendo wa masaa 13 Hadi 15...unatoa Bukoba saa 12 asubuhi unafika kigoma saa mbili usiku....
Kulinganisha Bukoba na kigoma ni mbingu na Ardhi..... Bukoba sasa wanachozidiwa na kigoma ni stendi ya mabasi ( japo naona siku hiz Bukoba nao wanajenga stendi yao) mambo mengine Bukoba ni superior kwa kigoma kuanzia makazi, Barabara, airport, elimu Hadi bandari bandari ya Bukoba inapanuliwa sana ikiwa ya pili kwa ukubwa Kanda ya ziwa
According to you...Waha... Wahaya.. hio .....ya ni tofauti ndogo ndogo sana.
Kutoka kwa waha Hadi kuwafikia wahaya unawapita wahangaza, washubi, wasubi,wazinza....Waha... Wahaya.. hio .....ya ni tofauti ndogo ndogo sana.