Hii ndio safari yangu ya Kigoma na niliyoyashuhudia

Hao ndio waliokariri mambo wanajua Mikoani bado kuko kama zamani

Kwa taarifa Yao tuu Ukitoa Dar,Dodoma Kigoma Ina underpasses nyingi kwenye barabara kiasi ni kivutio kikubwa.

Pia Kigoma Kuna
Ujenzi wa Muhimbili Branch
Hospital ya Rufaa ya Kanda
Chuo Cha Uhasibu TIA

View: https://youtu.be/OPpSff2NBkU?si=R1-rkWNF0lwRDgwj
 
Waswahili ndiyo waliokufanya leo hii uongee Kiswahili, nje ya ustarabu wa Waswahilini ushenzi tu.

Tujuwe kuliita chungwa chungwa.
Kwetu ukiitwa mswahili pigana ni tusi kubwa kwamba ni jamii isiyo na utambulisho wa kiasili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…