Hii ndio safari yangu ya Kigoma na niliyoyashuhudia

Hii ndio safari yangu ya Kigoma na niliyoyashuhudia

We ni muongo..

Sie tuko kwenye miradi ya huku ya barabara..

Ukitoka mwanza hadi kibondo mjini ni lami tupu (iyo ya kwako kuishia kakonko umeitolea wapi), then ukitoka kibondo mjini hadi karibu na kijiji cha kifula unapanda lami tena ambayo inaenda hadi makere mbele, apo unakula vumbi adi kasulu..

Ambako kasulu to kigoma ni dkk 45-60 tu unakua umefika
Hao ndio waliokariri mambo wanajua Mikoani bado kuko kama zamani

Kwa taarifa Yao tuu Ukitoa Dar,Dodoma Kigoma Ina underpasses nyingi kwenye barabara kiasi ni kivutio kikubwa.

Pia Kigoma Kuna
Ujenzi wa Muhimbili Branch
Hospital ya Rufaa ya Kanda
Chuo Cha Uhasibu TIA

View: https://youtu.be/OPpSff2NBkU?si=R1-rkWNF0lwRDgwj
 
Waswahili ndiyo waliokufanya leo hii uongee Kiswahili, nje ya ustarabu wa Waswahilini ushenzi tu.

Tujuwe kuliita chungwa chungwa.
Kwetu ukiitwa mswahili pigana ni tusi kubwa kwamba ni jamii isiyo na utambulisho wa kiasili.
 
Back
Top Bottom