Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walau,ukiuliza kati ya hao waspaniola na wamisri,wepi wamejusitiri,utasema wamisriKwahiyo walivyovaa hao wamisri ndio stara?
Unaposema walau bado inaonesha ni kitu ambacho ni pungufu badoWalau,ukiuliza kati ya hao waspaniola na wamisri,wepi wamejusitiri,utasema wamisri
Walivyovaa wamisri hata sokoni wanaenda,kokote paleUnaposema walau bado inaonesha ni kitu ambacho ni pungufu bado
Nikweli ila je unadhani hao wazungu kwanini wamevaa hivyo?Walivyovaa wamisri hata sokoni wanaenda,kokote pale
Itakuwa aibu kuzidi tunaowaona wa ajabuTufuate Utamaduni Wetu Kabla Ya Ukoloni.
Kwamba wewe unamtamani mama yako au dada yako aibu iambatane na weweMama yako akivaa hivyo vichupi mbele yako na mbele ya watu ni sawa tu!?
Kuvaa ngozi? Au nyasi?We fuata utamaduni wako.
"utamaduni upi mzuri kuufuata"?? WTF
Miafrika bwana.
Kwa nini?Wanachangia sana kwenye tatizo la nguvu za kiume
Usalama uwanjani huwa unapewa kipaumbele sanaWahispania wamejikaza tu, hapo wanawaza hawa viumbe hawajabeba bomu kweli..
Spain alimtandika egypt strait sets 2-0 kiroho mbaya..Timu ipi ilishinda?
Ajabu ni kuwa pamoja na kujisitiri bado waafrika tunafanya sana ngono kuliko hao wanaojiachia nusu uchi.Utamaduni wa kujisitiri ni bora kuliko huo utamaduni wa kishenzi wa magharibi kila saa ni kuhamasisha tu ngono..
Kikubwa haifanyiki hadharani kama wanyama ... Sasa vile vichupi mtoto aliyek kwenye rika ya balehe akiangalia tu anasisimka na kwenda kula muwa.Ajabu ni kuwa pamoja na kujisitiri bado waafrika tunafanya sana ngono kuliko hao wanaojiachia nusu uchi.
Yaani viwango vyetu vya tamaa tunapomwona mwanamke aliyejisitiri bado ni vikubwa kuliko viwango vya tamaa zao wanapowaona hao wanawake wao wakiwa wamevalia hivyo vichupi. Hivyo hamasa yetu ya kufanya ngono inahitaji tu kuona jinsia tofauti, viwango vya hamasa ndo vitategemea mazingira
Viwango vyao vya tamaa hupungua sababu wameshazoea kuona utupu. Yaani hawashtuki tena wakiona uchi. Tofauti na waafrika ni nadrq sana kuona uchi so tamaa inakua kubwa sababu haijazoea kuona uchi ovyo ovyo.Ajabu ni kuwa pamoja na kujisitiri bado waafrika tunafanya sana ngono kuliko hao wanaojiachia nusu uchi.
Yaani viwango vyetu vya tamaa tunapomwona mwanamke aliyejisitiri bado ni vikubwa kuliko viwango vya tamaa zao wanapowaona hao wanawake wao wakiwa wamevalia hivyo vichupi. Hivyo hamasa yetu ya kufanya ngono inahitaji tu kuona jinsia tofauti, viwango vya hamasa ndo vitategemea mazingira
Mkuu hupo hapo? Huyu hapa ni mualgeria muislamu aliyeshinda medal ya dhahabu paris. Ni mwarabu muislamu Algeria. Hupooo.Katika mashindano ya Olympics yanayoendelea huko Paris
Timu ya wanwake kutoka Misri vs Timu ya wanawake kutoka Hispania
Kielelezo cha tofauti ya tamaduni za Ulaya na za Mashariki ya Kati
Unaona ni utamaduni upi bora zaidi wa kufuatwa?
View attachment 3066601