Mama yako akivaa hivyo vichupi mbele yako na mbele ya watu ni sawa tu!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama yako akivaa hivyo vichupi mbele yako na mbele ya watu ni sawa tu!?
Umekosea swali.Katika mashindano ya Olympics yanayoendelea huko Paris
Timu ya wanwake kutoka Misri vs Timu ya wanawake kutoka Hispania
Kielelezo cha tofauti ya tamaduni za Ulaya na za Mashariki ya Kati
Unaona ni utamaduni upi bora zaidi wa kufuatwa?
View attachment 3066601
Kwa nini unasema Waarabu ni fakeHapo hakuna utamaduni bali kuna REAL AND FAKE...hao wazungu ni real na hao waarabu ni feki yaani unafiki na ukweli yaani muhuni aliye jificha na muhuni aliye dhahiri...yaani mwovu aliye jificha na mwovu aliye dhahiri yaani fisadi aliye jificha na fisadi aliye dhahiri yaani mbwa mwitu aliye jivika ngozi ya kondoo na mbwamwitu aliye dhahiri
yAANI 👉UKWELI MUOVU NA UONGO MUOVU.
Watu kwa kukosa akili mnajisumbua na kujifariji bure sawa sawa na upumbavu ulio jaa vichwani mwenu ...hapo wapo wapumbavu wanadhani mbwa mwitu aliye jivika vazi la kondoo ni MTAKATIFU hila mbwa mwitu asiye jivika vavi la kondoo ndiyo MUOVU ..
Nimachoshangaa zaidi wanaume wao hawawezi kuvaa hivi sijui kwa nini aiseee.Katika mashindano ya Olympics yanayoendelea huko Paris
Timu ya wanwake kutoka Misri vs Timu ya wanawake kutoka Hispania
Kielelezo cha tofauti ya tamaduni za Ulaya na za Mashariki ya Kati
Unaona ni utamaduni upi bora zaidi wa kufuatwa?
View attachment 3066601
Huyo ni mjinga kama wajinga wengi tu.Red waneuwaa mambo ya kujufunika kama maiti ni ujinga maharufu ya jasho na uvundo..
Kuna mama nilipanda nae kwenye bus anevaa ficha uso manguo kibao anakula ndani ya kitambaa yani ni kujipulizia marashi kila saa kuficha harufu ya jasho na uvundo..
Mbona nimeeleza ...shetani mmoja akisema yeye ni shetani kasema ukweli ni REAL bali mwingine shetani akisema yeye ni MUNGU kasema uongo huyo ni FEKI...wote ni ndugu moja MASHETANIKwa nini unasema Waarabu ni fake
Ukimfuatilia huyo kazaliwa na kukulia ufaransa,akina mahrez hawana nyumba algeria,mahrez akienda timu ya taifa hufikia hotelini,hakuna pahala assimilation policy ilikua deep rooted kuzidi algeria
Nilipokua yanki 1990s,ilikua huwezi ona chupi za akina mama zimeanikwa,ukiona underskirt badi mdudu wima,kuna siku mwana alifanikiwa kupata goma,wakati goma linavua mwana alikua anarukaruka kashika gongeo,yaani mwani,leo dem anavua na mdudu kalala mpaka ashikweshikwe na kunyonywa,x kama zote,mashavu ya maku live kwenye tight wanazovaa,nguo fupi mapaja nje,huwezi pata mshtukoKwa nini?
Ukiwa hujawahi kuiona hivyo si ndio ile umepewa sekunde mbili umechomeka tayari ushamwaga..si ndio upungufu huo?Nilipokua yanki 1990s,ilikua huwezi ona chupi za akina mama zimeanikwa,ukiona underskirt badi mdudu wima,kuna siku mwana alifanikiwa kupata goma,wakati goma linavua mwana alikua anarukaruka kashika gongeo,yaani mwani,leo dem anavua na mdudu kalala mpaka ashikweshikwe na kunyonywa,x kama zote,mashavu ya maku live kwenye tight wanazovaa,nguo fupi mapaja nje,huwezi pata mshtuko
Kama kina bushmanUtamaduni wa MTU mweusi huwa ni upi ?
Ilikuwa ukiona hata underskirt kitu wingaNilipokua yanki 1990s,ilikua huwezi ona chupi za akina mama zimeanikwa,ukiona underskirt badi mdudu wima,kuna siku mwana alifanikiwa kupata goma,wakati goma linavua mwana alikua anarukaruka kashika gongeo,yaani mwani,leo dem anavua na mdudu kalala mpaka ashikweshikwe na kunyonywa,x kama zote,mashavu ya maku live kwenye tight wanazovaa,nguo fupi mapaja nje,huwezi pata mshtuko
Wazungu utamaduni wao ni kuonyesha tupu zaoWazungu na wafuasi wao hudai hivyo walivyovaa egypt ni kumkandamiza mwanamke na walivyovaa spain ni kumkomboa,na watu husadiki na kupiga yowe
Hapo ulipi kuna liquor store ?upate hata joni mtembezi nakuja kulipaAjabu ni kuwa pamoja na kujisitiri bado waafrika tunafanya sana ngono kuliko hao wanaojiachia nusu uchi.
Yaani viwango vyetu vya tamaa tunapomwona mwanamke aliyejisitiri bado ni vikubwa kuliko viwango vya tamaa zao wanapowaona hao wanawake wao wakiwa wamevalia hivyo vichupi. Hivyo hamasa yetu ya kufanya ngono inahitaji tu kuona jinsia tofauti, viwango vya hamasa ndo vitategemea mazingira