Hii ndio tofauti kubwa kati ya mkataba wa "sportpesa" kwa Yanga na "m-bet" kwa simba

Hii ndio tofauti kubwa kati ya mkataba wa "sportpesa" kwa Yanga na "m-bet" kwa simba

Hajawai Manara Kututangazia tena Kuwa wenye Akili hapo Yanga Wameongezeka Zaidi' Ya Wawili...!
Kelele nyingi kumbe ni jezi ya kuchorwa kwa mkono na yuleyule aliyefuta sportpesa na kuweka "mama bet" kwa juu
 
Wanacheza na mikataba au wanacheza na akili zenu?

Mimi nimeuliza cheque we unaniletea picha ya diary, nikueleweje?
We hiyo dairy unayo basi 🤣🤣🤣
Yaani hata professionalism hakuna afu mnasema tuna mdhamini mkubwa tz nzima, kweli???🤨🤨🤨
 
Ipo nenda kwenye page zao utaiona
Page zao hazifahamiki kutokana na uchache wa followers naweza vamia page za udaku nikajua ni official nikakutana na picha feki
 
Ila hii nchi wizi umezidi..
Yaani cheque inaandikwa kwenye tambala kweli?

Halafu jamaa walikuwa wanasubiri yanga watangaze mkataba wao nao wapande cha juu, kweli bambukicha ni mandonga aliyechangamka 😂😂😂
 
Mfano wa hundi ya malipo ya sportpesa kwa Yanga

Kwa hiyo leo mnakubali kuwa hata ile hundi ya 20B ya Mo ipo kiprofesheno? 😁
Leo mtasema yote !

1659372755227.png
 
Ila hii nchi wizi umezidi..
Yaani cheque inaandikwa kwenye tambala kweli?

Halafu jamaa walikuwa wanasubiri yanga watangaze mkataba wao nao wapande cha juu, kweli bambukicha ni mandonga aliyechangamka 😂😂😂
Harafu wanajiita timu kubwa.... 🤣🤣🤣🤣
 
We hiyo dairy unayo basi 🤣🤣🤣
Yaani hata professionalism hakuna afu mnasema tuna mdhamini mkubwa tz nzima, kweli???🤨🤨🤨
Proffesionalism kwasabu ya diary?

Hiyo diary kariakoo ni 3500 na ukiwa muongeaji hadi mbili jero una nyanyua
 
Kwa hiyo leo mnakubali kuwa hata ile hundi ya 20B ya Mo ipo kiprofesheno? 😁
Leo mtasema yote !

View attachment 2311306
Hii ya moo mbona mlituthibitishia wenyewe kwamba haipo Kwenye akaunti??? Au kigwangala sio mwanasimba mliemshabikia wakati anahoji ile bilioni 20 iko wapi???🤣🤣🤣
 
Proffenalism kwasabu ya diary?

Hiyo diary kariakoo ni 3500 na ukiwa muongeaji hadi mbili jero una nyanyua
Hiyo jezi yenye maandishi ya b26 mi nakutengenezea bure.... Njoo uichukue kesho
 
Back
Top Bottom