Hii ndiyo mikoa yenye wanawake wavumilivu katika ndoa

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Wakuu, za siku nyingi?

Ebana nilikua busy na kautafiti kanakohusu mikoa ya Tanzania

yenye makabila yenye wanawake wavumiivu katika ndoa na haya ndio matokeo ya kautafiti kangu.

1. Iringa
2. Mara
3. Shinyqnga
4. Mwanza
5. Kigoma
6. Simiyu
7. Geita.
8. Mbeya
9. Ruvuma
10. Njombe
11. Tabora
12. Dodoma
 
13. Pemba
14. Dar es salaam
15. Tanga
 
Pwani na Tanga hazimo!!
 
Mama yangu wa iringa,mtoa mada kunywa pepsi
Mwanamke wa iringa usijidanganye wengi wanaviburi,malaya na walevi kuna idadi kubwa ya wanawake single maza huu mkoa

Wabena na wakinga wapo vizuri watakufaa kama unamalengo yakufika mbali kiuchumi

Wasukuma wapo vizuri sana ila kuna wengine walikuja mjini wanashida wanaulimbukeni

Wanawake wa tanga wapo vizuri pia
 
Shinyanga na Mwanza no 1 kwa kweli.
 
Sisi hatuhitaji wanawake wavumilivu halafu tunachapiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…