Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,416
- 16,603
Wanavumilia manyanyaso na mateso ya waume zao.Wanavumilia nini! Maana wanaweza wakawa wanavumilia shida ila kuchapiwa kuko palepale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanavumilia manyanyaso na mateso ya waume zao.Wanavumilia nini! Maana wanaweza wakawa wanavumilia shida ila kuchapiwa kuko palepale
Kwamba mara napo dada zangu nao ni micharuko kama daslamu?Futa Mara 🤔🤔
Huna kazi ya kufanya mpaka utuletee huu utopolo?Wakuu, za siku nyingi?
Ebana nilikua busy na kautafiti kanakohusu mikoa ya Tanzania
yenye makabila yenye wanawake wavumiivu katika ndoa na haya ndio matokeo ya kautafiti kangu.
1.Iringa
2.Mara
3.Shinyqnga
4.Mwanza
5.Mwanza
6.Simiyu
7.Geita.
8.Mbeya
9.Ruvuma
10.Njombe
11.Tabora
12.Dodoma
Hamna MWANAUME anaweza kumnyanyasa Mwanamke anayejiheshimu.Wanavumilia manyanyaso na mateso ya waume zao.
We mwenye kazi unatafuta nini huku?Huna kazi ya kufanya mpaka utuletee huu utopolo?
Sasa kama wanajiheshimu mbona ndio vinara wa uvumilivu?Hamna MWANAUME anaweza kumnyanyasa Mwanamke anayejiheshimu.
😂🤣 Hapo Tanga labda Wasambaa ila makabila mengine wanakazi ya kujisifu idadi ya ndoa wenyewe wanaita chuo, yaani ukimskia mdigo anakwambia nina vyuo vitano ujue kaolewa na kuachika ndoa 513. Pemba
14. Dar es salaam
15. Tanga
😁😀😄😆😂🤣😁😁😃😃Wanavumilia nini! Maana wanaweza wakawa wanavumilia shida ila kuchapiwa kuko palepale
Kuna kabila la wajita, hili wanaoana wenyewe kwa wenyewe,waikizu wanaua wanaume,Kwamba mara napo dada zangu nao ni micharuko kama daslamu?
Aisee unataka kusema Kilimnjaro na Arusha ndoa hazidumu dada zetu wamewafanya niniWakuu, za siku nyingi?
Ebana nilikua busy na kautafiti kanakohusu mikoa ya Tanzania
yenye makabila yenye wanawake wavumiivu katika ndoa na haya ndio matokeo ya kautafiti kangu.
1.Iringa
2.Mara
3.Shinyqnga
4.Mwanza
5.kigoma
6.Simiyu
7.Geita.
8.Mbeya
9.Ruvuma
10.Njombe
11.Tabora
12.Dodoma
Hili ni jukwaa la great thinkers kujadili mambo ya maana ya nchi siyo huu upoyoyoWe mwenye kazi unatafuta nini huku?
,mbeya?Tabora?Ruvuma?njombe? We jamaa ni fala kweli kabisa tena mbwa kabisa idiot utafiki umetumia njia ipi?Wakuu, za siku nyingi?
Ebana nilikua busy na kautafiti kanakohusu mikoa ya Tanzania
yenye makabila yenye wanawake wavumiivu katika ndoa na haya ndio matokeo ya kautafiti kangu.
1.Iringa
2.Mara
3.Shinyqnga
4.Mwanza
5.kigoma
6.Simiyu
7.Geita.
8.Mbeya
9.Ruvuma
10.Njombe
11.Tabora
12.Dodoma
Kanda ya ziwa wapeni maua yao kasoro Kagera[emoji23][emoji1787] Hapo Tanga labda Wasambaa ila makabila mengine wanakazi ya kujisifu idadi ya ndoa wenyewe wanaita chuo, yaani ukimskia mdigo anakwambia nina vyuo vitano ujue kaolewa na kuachika ndoa 5
Ondoa Mbeya.Wakuu, za siku nyingi?
Ebana nilikua busy na kautafiti kanakohusu mikoa ya Tanzania
yenye makabila yenye wanawake wavumiivu katika ndoa na haya ndio matokeo ya kautafiti kangu.
1.Iringa
2.Mara
3.Shinyqnga
4.Mwanza
5.kigoma
6.Simiyu
7.Geita.
8.Mbeya
9.Ruvuma
10.Njombe
11.Tabora
12.Dodoma