Hii ndiyo mikoa yenye wanawake wavumilivu katika ndoa

Hii ndiyo mikoa yenye wanawake wavumilivu katika ndoa

Bila kuweka mkoa wa Kilimanjaro list hii Ni BATILI😁😅🤪
 
Mmesawahau wapare, wanyiramba na wanyaturu, naskia pia ni wavumilivu.

refers mke wa tumbili[emoji3064][emoji91]
 
Wakuu, za siku nyingi?

Ebana nilikua busy na kautafiti kanakohusu mikoa ya Tanzania

yenye makabila yenye wanawake wavumiivu katika ndoa na haya ndio matokeo ya kautafiti kangu.

1. Iringa
2. Mara
3. Shinyqnga
4. Mwanza
5. Kigoma
6. Simiyu
7. Geita.
8. Mbeya
9. Ruvuma
10. Njombe
11. Tabora
12. Dodoma
1 ndimgalya sida 5 awe wa kibondo 10 asipige ugimbi
 
Wakuu, za siku nyingi?

Ebana nilikua busy na kautafiti kanakohusu mikoa ya Tanzania

yenye makabila yenye wanawake wavumiivu katika ndoa na haya ndio matokeo ya kautafiti kangu.

1. Iringa
2. Mara
3. Shinyqnga
4. Mwanza
5. Kigoma
6. Simiyu
7. Geita.
8. Mbeya
9. Ruvuma
10. Njombe
11. Tabora
12. Dodoma
Toa mwanza maana wanawake kibao wa mwaza wapo Dar wamewakimbia wanaume zao na watoto
 
Wakuu, za siku nyingi?

Ebana nilikua busy na kautafiti kanakohusu mikoa ya Tanzania

yenye makabila yenye wanawake wavumiivu katika ndoa na haya ndio matokeo ya kautafiti kangu.

1. Iringa
2. Mara
3. Shinyqnga
4. Mwanza
5. Kigoma
6. Simiyu
7. Geita.
8. Mbeya
9. Ruvuma
10. Njombe
11. Tabora
12. Dodoma
Hivi utapataje tabi za watu Kwa mipaka ya Kisiasa na kiutawala! Kuna Mikoa Ina mchanganyiko wa watu,kidini ,kikabila,utamaduni,kiuchumi nk!
Mfano Mkoa wa.Morogoro unaanzia Bwawani kwa Wakwere ,Kuna Wakagur,Wazigua,Waluguru,Wandamba,Wazaramo,Wakutu,Wahehe nk latika mazingira haya hio tabia ya uvumilivu utaipimaje!
 
Back
Top Bottom