Hii ndiyo mikoa yenye wanawake wavumilivu katika ndoa

Hii ndiyo mikoa yenye wanawake wavumilivu katika ndoa

Sijaiona kaskazini kabisa,
Ila enweiz nitatembea na nyota ya Makao Makuu, No. 12 siyo mbaya kuliko kutokuwepo kabisa..!!

Depal Darlin siamini 'wakaskazi' siyo wavumilivu kiasi hiki hata 10 bora tumeshindwa toboa..??
Hiyo ni uwongoooo sis 🤣🤣
 
Wakuu, za siku nyingi?

Ebana nilikua busy na kautafiti kanakohusu mikoa ya Tanzania

yenye makabila yenye wanawake wavumiivu katika ndoa na haya ndio matokeo ya kautafiti kangu.

1. Iringa
2. Mara
3. Shinyqnga
4. Mwanza
5. Kigoma
6. Simiyu
7. Geita.
8. Mbeya
9. Ruvuma
10. Njombe
11. Tabora
12. Dodoma
Umesahau Kilimanjaro. Hakuna mwanamke mvumilivu nchi hii Kama dada zangu wa Kipare.
Shikamoo wanawake wa kipare especially wa wwilaya ya Same na Lushoto.
 
Sijaiona kaskazini kabisa,
Ila enweiz nitatembea na nyota ya Makao Makuu, No. 12 siyo mbaya kuliko kutokuwepo kabisa..!!

Depal Darlin siamini 'wakaskazi' siyo wavumilivu kiasi hiki hata 10 bora tumeshindwa toboa..??
šŸ˜†šŸ˜†šŸ˜†
Hao wanatuonea wivu dada angu
Ntakuita kwenye anivesariiiiii
Eti Depal unasemaje kwenye hilišŸ˜‚šŸ˜‚
Wewe kama kungwi wangu
 
Wakuu, za siku nyingi?

Ebana nilikua busy na kautafiti kanakohusu mikoa ya Tanzania

yenye makabila yenye wanawake wavumiivu katika ndoa na haya ndio matokeo ya kautafiti kangu.

1. Iringa
2. Mara
3. Shinyqnga
4. Mwanza
5. Kigoma
6. Simiyu
7. Geita.
8. Mbeya
9. Ruvuma
10. Njombe
11. Tabora
12. Dodoma


Kwa hiyo mfumo dume una mafanikio? Maana mikoa hiyo ina wanaume wana misimamo hatari.
 
Wakuu, za siku nyingi?

Ebana nilikua busy na kautafiti kanakohusu mikoa ya Tanzania

yenye makabila yenye wanawake wavumiivu katika ndoa na haya ndio matokeo ya kautafiti kangu.

1. Iringa
2. Mara
3. Shinyqnga
4. Mwanza
5. Kigoma
6. Simiyu
7. Geita.
8. Mbeya
9. Ruvuma
10. Njombe
11. Tabora
12. Dodoma
Mmmmh kaka kwa Dom unatupanga ,,Tabora ,Simiyu,,Geita,,Shinyanga kwa sasa hamna kitu šŸ˜‚šŸ˜‚
 
Sijaiona kaskazini kabisa,
Ila enweiz nitatembea na nyota ya Makao Makuu, No. 12 siyo mbaya kuliko kutokuwepo kabisa..!!

Depal Darlin siamini 'wakaskazi' siyo wavumilivu kiasi hiki hata 10 bora tumeshindwa toboa..??
Kaskazini mjadala wake tulishaufunga dada, huko hakufai hata kidogo. mabinti wa kaskazini ni wajuaji aisee acha kabisa[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Wakuu, za siku nyingi?

Ebana nilikua busy na kautafiti kanakohusu mikoa ya Tanzania

yenye makabila yenye wanawake wavumiivu katika ndoa na haya ndio matokeo ya kautafiti kangu.

1. Iringa
2. Mara
3. Shinyqnga
4. Mwanza
5. Kigoma
6. Simiyu
7. Geita.
8. Mbeya
9. Ruvuma
10. Njombe
11. Tabora
12. Dodoma
Kuna mikoa hapo umeipendelea.
 
Wakuu, za siku nyingi?

Ebana nilikua busy na kautafiti kanakohusu mikoa ya Tanzania

yenye makabila yenye wanawake wavumiivu katika ndoa na haya ndio matokeo ya kautafiti kangu.

1. Iringa
2. Mara
3. Shinyqnga
4. Mwanza
5. Kigoma
6. Simiyu
7. Geita.
8. Mbeya
9. Ruvuma
10. Njombe
11. Tabora
12. Dodoma
Eh Morogoro haipo so wakaguru na warugulu hawana uvumilivu?!šŸ™„
 
Wakuu, za siku nyingi?

Ebana nilikua busy na kautafiti kanakohusu mikoa ya Tanzania

yenye makabila yenye wanawake wavumiivu katika ndoa na haya ndio matokeo ya kautafiti kangu.

1. Iringa
2. Mara
3. Shinyqnga
4. Mwanza
5. Kigoma
6. Simiyu
7. Geita.
8. Mbeya
9. Ruvuma
10. Njombe
11. Tabora
12. Dodoma
Namba 12 sikubaliani nayo hapo kwa mimi mbeya ndio naweza tuliza moyo wangu hao wengine ilikuwa zamani sio sa hivi
 
Back
Top Bottom