Hii ndiyo mikoa yenye wanawake wavumilivu katika ndoa

Tukubaliane, Kaskazini kwenye katiba yetu HAKUNA UVUMILIVU. Rudi nyunbani hujaua mama. Chumba chako kipo pale pale godoro na kitanda havijauzwa. Wewe tu. Ajabu zaidi nashangaa eti na Mbeya mumewaweka kwenye list mawifi zangu[emoji23][emoji23] aah, hebu watoeni haraka

[emoji23][emoji23][emoji2088][emoji2088]
 
1. Kigoma
 
Samahani mkuu,
akili kisoda ndiyo akili gani..? ya kutojua hesabu ama gani.?
Uwezo wa kuchanganua mambo ni mdogo sana. So kama mtu alishawahi kukwambia hivyo au atakuja kukwambia jua hivyo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…