Hii ndiyo orodha ya maamuzi ya ovyo kuwahi kufanyika Tanzania

Nanga mkono hoja✍️✍️✍️
 
2. Kufanya kiswahili kuwa lugha ya kufundishia na mawasiliano. Hili jambo ukichanganya na matokeo ya jambo la kwanza limeturudisha nyuma sana. Leo hii Watanzania wengi wanaogopa kupambania fursa zinazopatikana duniani kwa kutokujua lugha tu. Lugha imepelekea pia kukosa fursa nyingi sana kwa Watanzania za ndani na nje.

hili ni tatzo kubwa
 
Vp kuhusu wale waliokua scattered huko maporini walivokusanywa pamoja kwenye vijiji vp haikua sawa kurahisisha utoaji wa huduma kwa urahisi na kusave gharama za kuunda miundombinu kufikia wananchi wengi?
Huduma gani zilirahisishwa? Unajua hata hospitali na zahanati nyingi zimekuja kuanza kujengwa kwenye maeneo mengi kuanzia awamu ya 4 na ya 5?
 
Hili jambo linatuumiza sana kwa kweli
 
Sijawahi ona mama mjamzito kafa kwa Corona ulitafuta kichaka tu cha kuficha ukilaza wako tu .
Ulitaka mama yako mjamzito afe kwa corona ndiyo uamini kuwa corona inauwa wajawazito?
 
Natofautiana na wewe kwenye hilo la mwisho...

Pia ongeza namba 8, uamuzi wa kuingia vitani dhidi ya Iddi Amin
 
Wewe ndo mjinga.
Huelewi gharama za kupendezesha sehemu zenye ukame? Umeishia darasa la ngapi?

Nikupe mfano. Sehemu ambayo mvua zinanyesha miezi 2 kwa mwaka na sehemu ambayo mvua zinanyesha miezi 6-7 kwa mwaka wapi ni nafuu kuweka bustani ya majani?
Kwa hiyo gharama zipi zinatumika kuondoa ukame au wanaumwagilia mkoa
Kuhusu Elimu nina elimu ya kawaida ila nina akili kushinda ukoo wenu wote
 
Kuuza bandari kwa wajomba
 
Acha uongo kwa hiyo ulitaka lock down au
Colona ipo wap now????
 
Wewe unataka wote tufikiri kama wewe ndo tutakuwa na akili.
Wewe baki na hilo la bandari huku hakukufai...
 
Kwa hiyo gharama zipi zinatumika kuondoa ukame au wanaumwagilia mkoa
Kuhusu Elimu nina elimu ya kawaida ila nina akili kushinda ukoo wenu wote
Hiyo elimu unaipata hata you tube tu. Maeneo yenye ukame hayapendezi. Yanahitaji ufanye vitu vingi ili kuyapendezesha kama kujenga artificial livers. Dams, lakes etc.

Saudi wanajenga mji mpya jangwani , Misri pia kama walivyofanya Dubai. Kwenye hii miji vinajengwa vitu vingi sana artificial ili kuipendezesha na ionekane mizuri. Hapo ndo gharama zinapokuja.
 
Ulitaka mama yako mjamzito afe kwa corona ndiyo uamini kuwa corona inauwa wajawazito?
Hakuna hiyo data na hawakuwa kwenye risk yoyote nenda kawaombe msamaha ndugu za huyo mama .
 
muungano kama Muungano ulitakiwa kuwa wa Serikali 1 tu.

Muungano wa serikali moja wa nini ?

Halafu tuendeleze stress za nani kamfunika mwingine, ya nini yote hayo ?

Zanzibar wana nini cha kuifaidisha Tanganyika ? Muungano uvunjwe, nukta.
 
Muungano wa serikali moja wa nini ?

Halafu tuendeleze stress za nani kamfunika mwingine, ya nini yote hayo ?

Zanzibar wana nini cha kuifaidisha Tanganyika ? Muungano uvunjwe, nukta.
Kwa utafiti wangu mdogo nchi nyingi zenye muungano zinaulinda sana muungano. Nimeona hata Spain na UK na German pia.

Ila kuweka serikali 2 hapo mimi naona ndo hakukuwa na hoja ya msingi zaidi ya watu kutafutiana ulaji tu. Kwa mujibu wa nyaraka za historia zinasema hata Karume alitakaga Serikali 1. Na hii ingepunguza sana gharama za mzigo wa kuhudumia Serikali na viongozi wake
 
Kwa mfano nchi gani zinaulinda sana Muungano ?

Nchi gani zinalinda Muungano wa kijinga kama huu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…