Naona wajinga leo mmeamka na Nyerere baada ya lile la udini kufeli, na hapa mtafeli pia, najua mmetumwa kuzima moto wa bandari zetu unaoendelea kuwawakia nyie wasaliti na vibaraka wa shetani.
Iko hivi; unapomlaumu Nyerere leo, miaka zaidi ya 20 baada ya kifo chake, na miaka zaidi ya 30, baada ya Nyerere kutoka madarakani, unaonesha ulivyo na akili mfu, na hilo sio kosa la Nyerere kama ulivyoandika, ni kosa la wazazi wako kukupeleka shule za hovyo.
Kwasababu ukitazama vizuri hiyo miaka, utakuta kuna miaka karibia 40 tangu Nyerere aondoke madarakani, sasa kitu gani kinawashinda kubadili hali hiyo hata baada ya miaka yote hiyo kupita?
Hebu tuambie, ni kipi kati ya hayo yote uliyoorodhesha hapo juu kinachohitaji kubadilishwa baada ya miaka zaidi ya 50 ili tumlaumu Nyerere? na kama sio unakurupuka tu, ni nini kingine?
Tena wewe
Lord denning ndie chawa mzembe unayepigia debe ule mkataba wa hovyo wa bandari zetu watanganyika, wenye terms za kinyonyaji kwetu, halafu kwa ujinga wako unamlaumu Nyerere! kwamba Nyerere ndie alikutuma uwe mjinga kupigia debe ule mkataba wa hovyo?
Hauna akili.