Hii ndiyo orodha ya maamuzi ya ovyo kuwahi kufanyika Tanzania

Hii ndiyo orodha ya maamuzi ya ovyo kuwahi kufanyika Tanzania

Sababu zilizotumika kuufanya kuwa Makao Makuu ya nchi sikubaliani nazo na ingekuwa uamuzi wangu ningechagua sehemu yenye kijani na maji safi kama Mkoa wa Pwani, Morogoro au Arusha kuufanya Makao Makuu.

Inabidi ujitoe uwaachie waliozikubali
 
Inabidi ujitoe uwaachie waliozikubali
Tatizo la watanzania mnakujaga kuelewa badae sana.

Kwa gharama nchi inayoingia na itakazokuingia hapo badae katika kuipendezesha Dodoma kuna siku tutakuja tu kuhoji humu.

Hii ndo JF. Utakuja kuniambia humu
 
Mzee mimi nakukubalia asilimia 150 uzi wako umeenda sana shule sijui kama watu wanakuelewa haswa uamuzi wa kuhamia Dodoma mji ulio sehemukame tena kwa uharaka waajabu sana na pia Muungano wa hovyo kabisa! These are facts na siyo opinion ni ngumu mtu kukujibu kwa ufasaha hizi hoja zako!
 
1. Kuanzisha Azimio la Arusha mwaka 1967. Uamuzi huu ulipelekea jamii nyingi sana kuingia kwenye umaskini na nyingi hazijaondoka kwenye umaskini hadi leo. Pia imefanya jamii nyingi kuwa na akili mfu na kutopenda kufanya kazi wakitegemea Serikali kuwafanyia kila kitu

2. Kufanya kiswahili kuwa lugha ya kufundishia na mawasiliano. Hili jambo ukichanganya na matokeo ya jambo la kwanza limeturudisha nyuma sana. Leo hii Watanzania wengi wanaogopa kupambania fursa zinazopatikana duniani kwa kutokujua lugha tu. Lugha imepelekea pia kukosa fursa nyingi sana kwa Watanzania za ndani na nje.

3. Kuruhusu watu kujenga maeneo ambayo hayajapangwa wala kupimwa. Hili hadi leo limesababisha sehemu kubwa ya nchi yetu kujengwa hovyo bila mpangilio.

4. Utaifishaji wa Mali hasa Makampuni na Taasisi zilizokuwa zinajiendesha vizuri. Hili lilitokana na sera za ujamaa. Mali nyingi zilizotaifishwa hatukuweza kuziendeleza na ilikuja kusababisha uchumi wetu kuwa duni sana. Hadi leo hatujutii hili jambo

5. Kuvunja mikataba ya uwekezaji kwa Kiki za kisiasa. Hili jambo limetugharimu na litakuja kutugharimu sana huko mbeleni. Nchi hii imewapa wanasiasa nguvu kubwa sana ya kuamua mambo na imefika kipindi hawajali hata sheria na taratibu. Maamuzi yao hayahojiwi hivyo kupelekea kila siku tumekuwa tukiumizwa na maamuzi hayo.

6. Kuunda Muungano wa Serikali 2. Kiukweli muungano kama Muungano ulitakiwa kuwa wa Serikali 1 tu. Huu uwingi wa Serikali ni uchu wetu sisi waafrika kutaka nafasi ili kujipatia ulaji

NYONGEZA
7. Kufanya Dodoma kuwa Makao Makuu ya Nchi. Kusema kweli ule mji haupendezi na utaligharimu taifa fedha nyingi sana kuupendezesha. Una kaukame kamoja kabaya sana na maji magumu sana. Kuna mda hadi pipes za kuingia majumbani zinaziba kwa sababu ya chumvi.

Sababu zilizotumika kuufanya kuwa Makao Makuu ya nchi sikubaliani nazo na ingekuwa uamuzi wangu ningechagua sehemu yenye kijani na maji safi kama Mkoa wa Pwani, Morogoro au Arusha kuufanya Makao Makuu.
8. Maamuzi ya kuiacha CCM itutawale kwa miaka zaidi ya 60 sasa bila ahueni yoyote kwa wenyenchi.

Vyama vilivyotawala mda mrefu zaidi ya miaka 60 huko duniani vimeleta ahueni kwa wananchi lakini ccm imeshindwa kabisa pamoja na kuwa na advantage ya kuwepo ama kutokuwepo upinzani. CCM wameshindwa hata kujifunza kwa wenzao wa China, Cuba au Soviet maana huko kote vyama vyao vili/vimetawala muda mrefu ila kwao wana ahueni kuliko mahoehae wa kibongo. CCM wanakwama wapi? Hawana akili au akili zimefika mwisho wa kufikiri?
 
Mzee mimi nakukubalia asilimia 150 uzi wako umeenda sana shule sijui kama watu wanakuelewa haswa uamuzi wa kuhamia Dodoma mji ulio sehemukame tena kwa uharaka waajabu sana na pia Muungano wa hovyo kabisa! These are facts na siyo opinion ni ngumu mtu kukujibu kwa ufasaha hizi hoja zako!
Hakukuwa na haja ya uharaka huu wa sasa.

Isitoshe Dodoma kuipendezesha ni gharama sana maana maeneo yenye asili ya ujangwa yanahitaji gharama kubwa za fedha kuyapendezesha. Kwenye hili itabidi fedha nyingi sana zitumike na nina uhakika lazima watu watakuja kuhoji baadae.

Mwisho sehemu kubwa ya nchi yetu ia kijani kinachopendeza sana. Sijaelewa na kamwe sitaelewa kwa nini tuliamua na kukubali sehemu yenye asili ya jangwa kuwa makao makuu ya nchi wakati kuna maeneo mengi ya kijani kinachovutia tukayaacha
 
8. Maamuzi ya kuiacha CCM itutawale kwa miaka zaidi ya 60 sasa bila ahueni yoyote kwa wenyenchi.

Vyama vilivyotawala mda mrefu zaidi ya miaka 60 huko duniani vimeleta ahueni kwa wananchi lakini ccm imeshindwa kabisa pamoja na kuwa na advantage ya kuwepo ama kutokuwepo upinzani. CCM wameshindwa hata kujifunza kwa wenzao wa China, Cuba au Soviet maana huko kote vyama vyao vili/vimetawala muda mrefu ila kwao wana ahueni kuliko mahoehae wa kibongo. CCM wanakwama wapi? Hawana akili au akili zimefika mwisho wa kufikiri?
Kwenye afadhali ni China na Russia ila Cuba na Venezuela bora hata na sisi
 
1. Kuanzisha Azimio la Arusha mwaka 1967. Uamuzi huu ulipelekea jamii nyingi sana kuingia kwenye umaskini na nyingi hazijaondoka kwenye umaskini hadi leo. Pia imefanya jamii nyingi kuwa na akili mfu na kutopenda kufanya kazi wakitegemea Serikali kuwafanyia kila kitu

2. Kufanya kiswahili kuwa lugha ya kufundishia na mawasiliano. Hili jambo ukichanganya na matokeo ya jambo la kwanza limeturudisha nyuma sana. Leo hii Watanzania wengi wanaogopa kupambania fursa zinazopatikana duniani kwa kutokujua lugha tu. Lugha imepelekea pia kukosa fursa nyingi sana kwa Watanzania za ndani na nje.

3. Kuruhusu watu kujenga maeneo ambayo hayajapangwa wala kupimwa. Hili hadi leo limesababisha sehemu kubwa ya nchi yetu kujengwa hovyo bila mpangilio.

4. Utaifishaji wa Mali hasa Makampuni na Taasisi zilizokuwa zinajiendesha vizuri. Hili lilitokana na sera za ujamaa. Mali nyingi zilizotaifishwa hatukuweza kuziendeleza na ilikuja kusababisha uchumi wetu kuwa duni sana. Hadi leo hatujutii hili jambo

5. Kuvunja mikataba ya uwekezaji kwa Kiki za kisiasa. Hili jambo limetugharimu na litakuja kutugharimu sana huko mbeleni. Nchi hii imewapa wanasiasa nguvu kubwa sana ya kuamua mambo na imefika kipindi hawajali hata sheria na taratibu. Maamuzi yao hayahojiwi hivyo kupelekea kila siku tumekuwa tukiumizwa na maamuzi hayo.

6. Kuunda Muungano wa Serikali 2. Kiukweli muungano kama Muungano ulitakiwa kuwa wa Serikali 1 tu. Huu uwingi wa Serikali ni uchu wetu sisi waafrika kutaka nafasi ili kujipatia ulaji

NYONGEZA
7. Kufanya Dodoma kuwa Makao Makuu ya Nchi. Kusema kweli ule mji haupendezi na utaligharimu taifa fedha nyingi sana kuupendezesha. Una kaukame kamoja kabaya sana na maji magumu sana. Kuna mda hadi pipes za kuingia majumbani zinaziba kwa sababu ya chumvi.

Sababu zilizotumika kuufanya kuwa Makao Makuu ya nchi sikubaliani nazo na ingekuwa uamuzi wangu ningechagua sehemu yenye kijani na maji safi kama Mkoa wa Pwani, Morogoro au Arusha kuufanya Makao Makuu.
Akili zetu bana
 
Kwa hiyo mikataba ikigundulika ni mibovu nini kifanyike??
 
Hakukuwa na haja ya uharaka huu wa sasa.

Isitoshe Dodoma kuipendezesha ni gharama sana maana maeneo yenye asili ya ujangwa yanahitaji gharama kubwa za fedha kuyapendezesha. Kwenye hili itabidi fedha nyingi sana zitumike na nina uhakika lazima watu watakuja kuhoji baadae.

Mwisho sehemu kubwa ya nchi yetu ia kijani kinachopendeza sana. Sijaelewa na kamwe sitaelewa kwa nini tuliamua na kukubali sehemu yenye asili ya jangwa kuwa makao makuu ya nchi wakati kuna maeneo mengi ya kijani kinachovutia tukayaacha
Tungeweka Tabora misituni mule Eti....
 
Tungeweka Tabora misituni mule Eti....
Kuna maeneo yana kijani kinachopendeza sana nchi hii yangechaguliwa tu kuwa Makao Makuu ya Nchi.

Tunakuwa kama tuna uhaba wa maeneo mazuri. Unaachaje maeneo yenye kijani kinachopendeza kama Morogoro, Arusha na hata Pwani alafu unaenda kufanya Makao Makuu ya Nchi Dodoma?

Bustani za mji wa Serikali tu karibu miaka 2 saivi hawajaweza kuweka sehemu zote na hata hizo walizoweka tu zinamwagiwa maji hadi basi ila wapi???
 
1. Kuanzisha Azimio la Arusha mwaka 1967. Uamuzi huu ulipelekea jamii nyingi sana kuingia kwenye umaskini na nyingi hazijaondoka kwenye umaskini hadi leo. Pia imefanya jamii nyingi kuwa na akili mfu na kutopenda kufanya kazi wakitegemea Serikali kuwafanyia kila kitu

2. Kufanya kiswahili kuwa lugha ya kufundishia na mawasiliano. Hili jambo ukichanganya na matokeo ya jambo la kwanza limeturudisha nyuma sana. Leo hii Watanzania wengi wanaogopa kupambania fursa zinazopatikana duniani kwa kutokujua lugha tu. Lugha imepelekea pia kukosa fursa nyingi sana kwa Watanzania za ndani na nje.

3. Kuruhusu watu kujenga maeneo ambayo hayajapangwa wala kupimwa. Hili hadi leo limesababisha sehemu kubwa ya nchi yetu kujengwa hovyo bila mpangilio.

4. Utaifishaji wa Mali hasa Makampuni na Taasisi zilizokuwa zinajiendesha vizuri. Hili lilitokana na sera za ujamaa. Mali nyingi zilizotaifishwa hatukuweza kuziendeleza na ilikuja kusababisha uchumi wetu kuwa duni sana. Hadi leo hatujutii hili jambo

5. Kuvunja mikataba ya uwekezaji kwa Kiki za kisiasa. Hili jambo limetugharimu na litakuja kutugharimu sana huko mbeleni. Nchi hii imewapa wanasiasa nguvu kubwa sana ya kuamua mambo na imefika kipindi hawajali hata sheria na taratibu. Maamuzi yao hayahojiwi hivyo kupelekea kila siku tumekuwa tukiumizwa na maamuzi hayo.

6. Kuunda Muungano wa Serikali 2. Kiukweli muungano kama Muungano ulitakiwa kuwa wa Serikali 1 tu. Huu uwingi wa Serikali ni uchu wetu sisi waafrika kutaka nafasi ili kujipatia ulaji

NYONGEZA
7. Kufanya Dodoma kuwa Makao Makuu ya Nchi. Kusema kweli ule mji haupendezi na utaligharimu taifa fedha nyingi sana kuupendezesha. Una kaukame kamoja kabaya sana na maji magumu sana. Kuna mda hadi pipes za kuingia majumbani zinaziba kwa sababu ya chumvi.

Sababu zilizotumika kuufanya kuwa Makao Makuu ya nchi sikubaliani nazo na ingekuwa uamuzi wangu ningechagua sehemu yenye kijani na maji safi kama Mkoa wa Pwani, Morogoro au Arusha kuufanya Makao Makuu.
NA SERA YA VILLAGIZATION YA KUWAKUSANYA WANAVIJIJI KUISHI PAMOJA KWENYE VIJIJI VYA UJAMAA NI JAMBO LILIKUWA NA LIMESABABISHA ATHARI MBAYA ZA KIMAENDELEO IKIWEMO UHARIBIFU MKUBWA WA MAZINGIRA. KUJUA HILI WEWE CHUNGUZA MIKOA ALIYOPITIWA NA SERA HII NA AMBAYO WALIMGOMEA MZEE JULIUS MIKOA YA MBEYA (TUKUYU), KILIMANJARO, ARUSHA (ARUMERU), KAGERA. MAENEO HAYO AT LEAST BADO YAKO SAAFI. KWA MFANO UKITEMBELEA TUKUYU KITU KITAKACHO KUSHANGAZA NI NAMNA UOTO WA ASILI ULIVYOTUNZWA HADI LEO. MITO YA ASILI BADO INATIRIRIKA MAJI VIZURI KABISA, CHANIKIWITI NI MUDA WOOTE!
 
Back
Top Bottom