Hii ndiyo orodha ya maamuzi ya ovyo kuwahi kufanyika Tanzania

Hii ndiyo orodha ya maamuzi ya ovyo kuwahi kufanyika Tanzania

Hongera kwa kutumia uhuru wako wa kutoa maoni
Nami niongeze moja, sijui utaliweka upande upi, wa mafanikio yake au mapungufu yake.

Kuwawezesha wazee wako angalau kupata kielimu kidogo kilichowasaidia wakati walipokuzaa wewe kuona umuhimu wa kukupeleka shule ili upate mwanga, hata kama ulichokipata huko ni sehemu ya mawazo potofu.

Kwa mfano: kutoweza kutambua kwamba lugha ya kiswahili siyo tatizo la hayo unayolalamikia hapo.
 
1.Kung'oa reli mikoa ya kusini


2.kuwapangia wananchi nini cha kulima...

3.kuzuia wasomi hasa watumishi kuingia kwenye mabaraza ya halmashauri ....na siasa...

4.kulazimisha pesa yetu Ku peg na dollars pekee yake badala ya Ku peg na sarafu za nchi nyingi..

5.Muungano na Zanzibar only wakati tungezeweza ungana na Burundi,Malawi Drc. N.k hata Uganda...

6.kufanya foreign policy ni siasa badala ya biashara...

7.kuwajenga wananchi kuchukia matajiri....na kutukuza umasikini na kuita umasikini ndo uzalendo.

8.kuwafanya wananchi kuchukia Kodi na kutukuza wizi serikalini...

9.Kuaminisha wananchi serikali ina pesa nyingi na haishindwi kitu...

10.kudumaza wananchi kupenda kukaa Tanzania Tu ...hawataki hata kwenda nchi jirani kutazama fursa..

11 kuaminisha kila kijana ajira zipo serikalini..
 
1. Kuanzisha Azimio la Arusha mwaka 1967. Uamuzi huu ulipelekea jamii nyingi sana kuingia kwenye umaskini na nyingi hazijaondoka kwenye umaskini hadi leo. Pia imefanya jamii nyingi kuwa na akili mfu na kutopenda kufanya kazi wakitegemea Serikali kuwafanyia kila kitu

2. Kufanya kiswahili kuwa lugha ya kufundishia na mawasiliano. Hili jambo ukichanganya na matokeo ya jambo la kwanza limeturudisha nyuma sana. Leo hii Watanzania wengi wanaogopa kupambania fursa zinazopatikana duniani kwa kutokujua lugha tu. Lugha imepelekea pia kukosa fursa nyingi sana kwa Watanzania za ndani na nje.

3. Kuruhusu watu kujenga maeneo ambayo hayajapangwa wala kupimwa. Hili hadi leo limesababisha sehemu kubwa ya nchi yetu kujengwa hovyo bila mpangilio.

4. Utaifishaji wa Mali hasa Makampuni na Taasisi zilizokuwa zinajiendesha vizuri. Hili lilitokana na sera za ujamaa. Mali nyingi zilizotaifishwa hatukuweza kuziendeleza na ilikuja kusababisha uchumi wetu kuwa duni sana. Hadi leo hatujutii hili jambo

5. Kuvunja mikataba ya uwekezaji kwa Kiki za kisiasa. Hili jambo limetugharimu na litakuja kutugharimu sana huko mbeleni. Nchi hii imewapa wanasiasa nguvu kubwa sana ya kuamua mambo na imefika kipindi hawajali hata sheria na taratibu. Maamuzi yao hayahojiwi hivyo kupelekea kila siku tumekuwa tukiumizwa na maamuzi hayo.

6. Kuunda Muungano wa Serikali 2. Kiukweli muungano kama Muungano ulitakiwa kuwa wa Serikali 1 tu. Huu uwingi wa Serikali ni uchu wetu sisi waafrika kutaka nafasi ili kujipatia ulaji

NYONGEZA
7. Kufanya Dodoma kuwa Makao Makuu ya Nchi. Kusema kweli ule mji haupendezi na utaligharimu taifa fedha nyingi sana kuupendezesha. Una kaukame kamoja kabaya sana na maji magumu sana. Kuna mda hadi pipes za kuingia majumbani zinaziba kwa sababu ya chumvi.

Sababu zilizotumika kuufanya kuwa Makao Makuu ya nchi sikubaliani nazo na ingekuwa uamuzi wangu ningechagua sehemu yenye kijani na maji safi kama Mkoa wa Pwani, Morogoro au Arusha kuufanya Makao Makuu.
Hayo uliyoyaainisha ndio yanayosababisha pesa za umma zinapigwa kutoka kila kona kila kukicha ??!!
 
1.Kung'oa reli mikoa ya kusini


2.kuwapangia wananchi nini cha kulima...

3.kuzuia wasomi hasa watumishi kuingia kwenye mabaraza ya halmashauri ....na siasa...

4.kulazimisha pesa yetu Ku peg na dollars pekee yake badala ya Ku peg na sarafu za nchi nyingi..

5.Muungano na Zanzibar only wakati tungezeweza ungana na Burundi,Malawi Drc. N.k hata Uganda...

6.kufanya foreign policy ni siasa badala ya biashara...

7.kuwajenga wananchi kuchukia matajiri....na kutukuza umasikini na kuita umasikini ndo uzalendo.

8.kuwafanya wananchi kuchukia Kodi na kutukuza wizi serikalini...

9.Kuaminisha wananchi serikali ina pesa nyingi na haishindwi kitu...

10.kudumaza wananchi kupenda kukaa Tanzania Tu ...hawataki hata kwenda nchi jirani kutazama fursa..

11 kuaminisha kila kijana ajira zipo serikalini..
Asante sana Nabii The Boss
 
Twende taratibu, hao watu ndio wanaleta hizo hoja, sasa nimekuonesha yale uliyoandika (hoja) aliyofanya Nyerere, ambapo wewe unasema alikosea, ndio utumbie hapa, alikosea vipi mpaka sisi tuliopo tushindwe kurekebisha?
Ina maana Mzee alikuwa ametushikilia akili zetu tangu akiwa hai mpaka sasa bado amezishikilia akili zetu pamoja na kwamba hayupo nasi tena ! 😅😅
 
1.Kung'oa reli mikoa ya kusini


2.kuwapangia wananchi nini cha kulima...

3.kuzuia wasomi hasa watumishi kuingia kwenye mabaraza ya halmashauri ....na siasa...

4.kulazimisha pesa yetu Ku peg na dollars pekee yake badala ya Ku peg na sarafu za nchi nyingi..

5.Muungano na Zanzibar only wakati tungezeweza ungana na Burundi,Malawi Drc. N.k hata Uganda...

6.kufanya foreign policy ni siasa badala ya biashara...

7.kuwajenga wananchi kuchukia matajiri....na kutukuza umasikini na kuita umasikini ndo uzalendo.

8.kuwafanya wananchi kuchukia Kodi na kutukuza wizi serikalini...

9.Kuaminisha wananchi serikali ina pesa nyingi na haishindwi kitu...

10.kudumaza wananchi kupenda kukaa Tanzania Tu ...hawataki hata kwenda nchi jirani kutazama fursa..

11 kuaminisha kila kijana ajira zipo serikalini..
Huko kuchukia matajiri matokeo yake sasa wapigaji ndio mnawaona wajanja..

Nyerere alikuwa nabii wa kweli, alijua kuna akili ndogo zitakuja take over zianze kufumbia macho na kusifia ufisadi.
 
Ina maana Mzee alikuwa ametushikilia akili zetu tangu akiwa hai mpaka sasa bado amezishikilia akili zetu pamoja na kwamba hayupo nasi tena ! [emoji28][emoji28]
JF imejaa wajinga wengi sana, nao wanajiita GTs!.
 
Huko kuchukia matajiri matokeo yake sasa wapigaji ndio mnawaona wajanja..

Nyerere alikuwa nabii wa kweli, alijua kuna akili ndogo zitakuja take over zianze kufumbia macho na kusifia ufisadi.
Mpigaji gani anaonwa mjanja?

Kwani ni uongo kuwa watu hawachukii matajiri na wanaona sifa kuwa masikini eti ndo uzalendo?
 
Mpigaji gani anaonwa mjanja?

Kwani ni uongo kuwa watu hawachukii matajiri na wanaona sifa kuwa masikini eti ndo uzalendo?
Twende sawa, swali langu la kwanza hujajibu, usiruke ruke, au wewe kipofu?

Nyerere aliwahi kukwambia umaskini ndio uzalendo? Naona huelewi hata unaposimamia..!!
 
Twende taratibu, hao watu ndio wanaleta hizo hoja, sasa nimekuonesha yale uliyoandika (hoja) aliyofanya Nyerere, ambapo wewe unasema alikosea, ndio utumbie hapa, alikosea vipi mpaka sisi tuliopo tushindwe kurekebisha?
Kila hoja iliyosemwa imesemwa na matokeo yake. Au sababu ya kwa nini nimesema hivyo.

Hakuna sehemu ambayo nimesema hatuwezi rekebisha hilo unasema wewe
 
1. Kuanzisha Azimio la Arusha mwaka 1967. Uamuzi huu ulipelekea jamii nyingi sana kuingia kwenye umaskini na nyingi hazijaondoka kwenye umaskini hadi leo. Pia imefanya jamii nyingi kuwa na akili mfu na kutopenda kufanya kazi wakitegemea Serikali kuwafanyia kila kitu

2. Kufanya kiswahili kuwa lugha ya kufundishia na mawasiliano. Hili jambo ukichanganya na matokeo ya jambo la kwanza limeturudisha nyuma sana. Leo hii Watanzania wengi wanaogopa kupambania fursa zinazopatikana duniani kwa kutokujua lugha tu. Lugha imepelekea pia kukosa fursa nyingi sana kwa Watanzania za ndani na nje.

3. Kuruhusu watu kujenga maeneo ambayo hayajapangwa wala kupimwa. Hili hadi leo limesababisha sehemu kubwa ya nchi yetu kujengwa hovyo bila mpangilio.

4. Utaifishaji wa Mali hasa Makampuni na Taasisi zilizokuwa zinajiendesha vizuri. Hili lilitokana na sera za ujamaa. Mali nyingi zilizotaifishwa hatukuweza kuziendeleza na ilikuja kusababisha uchumi wetu kuwa duni sana. Hadi leo hatujutii hili jambo

5. Kuvunja mikataba ya uwekezaji kwa Kiki za kisiasa. Hili jambo limetugharimu na litakuja kutugharimu sana huko mbeleni. Nchi hii imewapa wanasiasa nguvu kubwa sana ya kuamua mambo na imefika kipindi hawajali hata sheria na taratibu. Maamuzi yao hayahojiwi hivyo kupelekea kila siku tumekuwa tukiumizwa na maamuzi hayo.

6. Kuunda Muungano wa Serikali 2. Kiukweli muungano kama Muungano ulitakiwa kuwa wa Serikali 1 tu. Huu uwingi wa Serikali ni uchu wetu sisi waafrika kutaka nafasi ili kujipatia ulaji

NYONGEZA
7. Kufanya Dodoma kuwa Makao Makuu ya Nchi. Kusema kweli ule mji haupendezi na utaligharimu taifa fedha nyingi sana kuupendezesha. Una kaukame kamoja kabaya sana na maji magumu sana. Kuna mda hadi pipes za kuingia majumbani zinaziba kwa sababu ya chumvi.

Sababu zilizotumika kuufanya kuwa Makao Makuu ya nchi sikubaliani nazo na ingekuwa uamuzi wangu ningechagua sehemu yenye kijani na maji safi kama Mkoa wa Pwani, Morogoro au Arusha kuufanya Makao Makuu.
Nilivyosoma issue ya Azimio la Arusha tu nikajua wazi we kibaka na huna faida katika Taifa letu
 
Huoni hadi leo tunakimbiza mwenge? We nikikuuliza faida za mwenge unaweza kunijibu?
Kwahiyo unaamini ushirikina ? Kwamba huo mdude unaendelea kutushikilia akili zetu ndio maana tunashindwa kujikwamua tuliponasa ??!
 
Back
Top Bottom