Hii ndiyo sababu inayonifanya nisikutane na mwanaume hasa wa mkoani

Au ngosha aliingia pangolin akanona isiwe tabu nini [emoji28][emoji28][emoji28]

Manake kwa harakati hizi kukutana na amboni laweza kuwa jambo la kawaida tu kwa sasa[emoji28][emoji28]
 
Mbwaaa mama yako ambae alikubali kubwa ili wewe uzaliwe
Kwa matusi haya nimeshajua tabia zako. Wanaume wa unapoishi wamekustukia Hadi unakwenda kutafuta one night stand.
Badili tabia la sivyo utaendelea kuwafuata wanamme. Wanawake wenye akili hua wanaomba watumiwe nauli. Wewe kwasababu ya ukame unakurupuka mpaka Mwanza kwa mtu ambae hata humfahamu vizuri. Nikisema wewe Ni mkware nitakua nimekosea?
Siku nyingine ukiwa na shida ya wanaume, vaa vizuri, nenda bar za zinza, agiza maji makubwa ya Kilimanjaro. Atajitokeza mkware mwenzio. Sio lazima uende Mwanza.
 
Reactions: 511
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kama ni mume wa mtu ulitarajia utakaa nae wiki hapo? Afu wewe unakaa Dar yeye Mwanza unafikiri huko Mwanza hana mtu?

Anyway
Alienda kichwa kichwa tu maana alikua na ukame wa muda mrefu.
 
Hajatwambia gharaam ya chumba sh ngapi,tujue hiyo laki aliyoachiwa iliweza kumudu kulipia chumba au lah!

Uskute ngosha alishaminisha na kupigia mahesabu laki inatosha kabisa chumba,posho na nauli yake
 
Dada alisikia story za mtaani kwamba ukimkamata Ngosha anajua kuhonga badala yake akakutana na Mushi.
 
Aliona huna mvuto. Mbona simple tu. Na ushukuru alikupa hata hiyo 100, 000 wengine huwa wanaachwa kwenye mataa. Mkiambiwa tumeni picha zenu mnatuma zilizo filtered. Hamuwi wakweli...
 
Itoshe tu kusema kuwa wewe figo76 bado una safari ndefu sana ili kuwaelewa wanaume [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Anabishia uzoefu huyo,

Hili tukio lilikua Ni ishara tosha ya yeye kujitafakari na Sio kulaumu Wanaume.

Kwanza tukio la hivi kuleta humu lazima watu wakutafsiri tofauti japo Nia Yake Huenda ikawa nzuti

Wanaume tulivo na uroho wa papuchi, umlipie nauli mwanamke,uchukue hotel afu eti ukampige kimoja upotee mazima.

Sio Hali ya kawaida kabisa[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…