Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema nini mamdogo, mademu zetu almost wote walianza kwa kutukataa..!!Akhuuu me simtaki huyo
Basi udugu wangu hatutogombana,nitambananisha aseme vizuri hiyo tabia kaitoa wapi ya uchocheziShoga angu unanijua vizuri sina mbambamba shemeji mgombanishi
Ata Kama Ni wewe,Tuliosoma Cuba tumekuelewa bosi ... halafu pengine pia aliyodhani kuwa yamo hayakuwamo ngosha akaona isiwe tabu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
View attachment 2633206
Comment yako ipewe ulinzi![emoji23][emoji23][emoji23]
Kama ni mume wa mtu ulitarajia utakaa nae wiki hapo? Afu wewe unakaa Dar yeye Mwanza unafikiri huko Mwanza hana mtu?
Anyway
Face to face Sio hoja[emoji4]Uzuri wake tulianza onana face kwa face soma vizuri uelewe
Kwa matusi haya nimeshajua tabia zako. Wanaume wa unapoishi wamekustukia Hadi unakwenda kutafuta one night stand.Mbwaaa mama yako ambae alikubali kubwa ili wewe uzaliwe
Alienda kichwa kichwa tu maana alikua na ukame wa muda mrefu.😂😂😂
Kama ni mume wa mtu ulitarajia utakaa nae wiki hapo? Afu wewe unakaa Dar yeye Mwanza unafikiri huko Mwanza hana mtu?
Anyway
Hajatwambia gharaam ya chumba sh ngapi,tujue hiyo laki aliyoachiwa iliweza kumudu kulipia chumba au lah!Mi najifurahisha tu mpendwa usinichukulie siriazi.
Itoshe tu kusema huyo ngosha mwenzetu alizingua. Sasa usingekuwa na pesa za kulipia hizo siku tatu ulizokaa hapo ingekuwaje? Hata kama alikuta yaliyopaswa kuwemo hayamo, hakupaswa kufanya hivyo. Angalau angelipia hiyo huduma ya usiku mmoja ndiyo atokomee zake. Pole sana!
Kheee..!! Mamadogo mbona umechafukwa hivi..!!?? Kwani chanii..!!??Ko unataka kusemaje yaani 😀😀hebu tulia wewe soon utaniita shemeji nyau wewe
Kuna una mda unachepuka kwa mihemko afu yakishakukuta uko, ukikaa unajiona fala sn kwa gharama na muda ulioupoteza.Mbaya zaid ukute tofaut Kwa mke uliefunga nae ndoa ha ha haaa ..utajua methali zote na maana zake!!!!
Aliona huna mvuto. Mbona simple tu. Na ushukuru alikupa hata hiyo 100, 000 wengine huwa wanaachwa kwenye mataa. Mkiambiwa tumeni picha zenu mnatuma zilizo filtered. Hamuwi wakweli...Ilikuwa siku mmoja nilikuwa kwenye mapenzi na kijana mmoja wa mwanza tulikutana ofisi fulani baada ya mazoea ya pale aliomba namba nikampa tukawa tunawasiliana kawawaid kila siku mpaka nikajikuta nimeingia kwenye mapenzi nikajikuta nampenda sana mimi na wivu jamani ukiwa na mimi unatakiwa uwe mvumilivu kidogo.
Tulipanga siku ya mimi kwenda mwaza siku ilipofika nilijipanga vizuri nikiwa na basasha nyingi sana ya kukutana nae na kutokana na utani mwingi kipindi cha nyuma nikawa naona safari ndefu sana.
Baada ya kufika siku ya kwaza alinipokea akanipeleka hotel mzuri tu nili lala nae usiku mzima kesho yake morng aliniaga anaenda kazini alinipa pesa ya dharura laki moja kumbee chumba hajalipa nimekaa pale siku tatu mtu hajatokea nikipiga simu apokei kisa sikijui nililipa na kurudi zangu kwetu bila kumpa taarifa.
Ndipo nilipo fika akaanza jiongeleshq oh mimi nilikuwa nimebanwa simu iliisha chaji samahani ulitumia kiasi gani nikupe niliona upumbavu nika kata simu mpaka leo siwezi kumsafiria mwanaume ata awe nakaa nae mkoa mmoja ila wilaya tofauti siwezi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Delivery mikoani imekua changamoto! Wateja sio waaminifu
Anabishia uzoefu huyo,Itoshe tu kusema kuwa wewe figo76 bado una safari ndefu sana ili kuwaelewa wanaume [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]