Hii ndiyo sababu inayonifanya nisikutane na mwanaume hasa wa mkoani

Wee ndo utakua ujaelewa mkuu,

Ngosha alipiga kimoja,kulipokucha kaaacha laki mezani akapotea mazima.

Sio kwamba alitoa laki kabla ya kulalana[emoji4]
Hapo nimekuelewa boss Ila madam figo76 alikua ameambiwa kua bwana mkubwa anaenda job akitoka atamkuta aje apigwe tena mechi nyingine na inaonyesha hakutosheka na mechi ya mwanzo na Pesa ya advance aliona haijatisha basi akabidi amsubirie siku 3 labda angeshikwa na upwilu akaenda kupiga tena mechi nyingine, narudia figo76 sio Malaya msimfukie vibaya hivyo mnamkosea heshima yeye ni kumpa jina zuri km Financial Service Woman maana anafanya kazi kwa faida
 
Hakika huwezi semaπŸ˜€πŸ˜€

Maana ake jamaa alikuta yaliyomo hayamo kama alivyotegemea

Au ali expect ta ta ta ta ta akakuta pwa pwa pwa pwa πŸ˜…πŸ˜…
Amehlo Mungu anakuona walahiπŸ˜…
 
Nisome tena, Kuna mahali hujanielewa
Nimekuelewa mkuu Ila figo76 sio Malaya tuliosoma Cuba baadhi tumeshamuelewa jamaa hakumtendea haki alimpa Pesa ndogo akasepa na kisingizio Cha ajabu sana Pesa haikutosha hata kulipia room ya hotel siku 3 hivyo ilimcost yeye alipokua anasubiria maana ilibidi aingie mfukoni alipie huduma zingine km vyakula na vinywaji kwa siku 3
 
Hata sijamfikiria Malaya,
Hizi zishawakuta dada zetu wengi sn,

Pia Wanaume na tamaa zetu zishatukuta sn, unamuona mwanamke unamtamani sn for long term relationship, mnafika chumbn siku ya kwanza TU uliyodhani yamo kumbe hayamo hata 10%, mengine yanaboa hata hayavumiliki na huwez mwambia.

Unapiga kinyonge kufidia nusu hasara,
Kwa huruma Unampa nauli na posho Yake kwa ahadi na tabasamu la uongo.

ila mkitoka hapo Simu zake upokei,sms ujibu,ukiona kero Sana unambrock kabisa.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…