Hii ndiyo sababu inayonifanya nisikutane na mwanaume hasa wa mkoani

Hakika huwezi sema[emoji3][emoji3]

Maana ake jamaa alikuta yaliyomo hayamo kama alivyotegemea

Au ali expect ta ta ta ta ta akakuta pwa pwa pwa pwa [emoji28][emoji28]
Ha ha ha .....mchokoz Sana wewe,

Mi ishanikuta Sana nilipokua natafta mbadala wa mamaJ.

Unajua mi napenda Sana pwa pwa pwa.

Sasa unakuta mtu anakwambia ukimuona ke flan Yuko hivi sehem flan,jua uko ndani Ni pwa pwa pwah.

Sasa unabahatika kumuona binti Kama ulivoelekezwa,matarajio yanakua juu mno.

Mnafika chumban siku ya kwanza hamna kitu, hata dalili hamna, unabaki kujilaumu ,gharama ulizotumia na kusema Bora ulikotoka.

Kiustaarabu Unampa posho Yake need asjiskie vby, ila ukitoka hapo Ni nduki hutak mazoea Tena.

Maana ukiendekeza mazoea utajikuta unaendekeza utitiri wa mahusiano yasiyo na faida.

Mwisho wa siku narud kwa mamaJ natulia[emoji85]
 
Ila na wewe dada umo. Yaani unasafiria Mashine hadi Mwanza?
Huyo alikiwa mume wa mtu we hukushtukatu.
 
K itakuwa ilikuwa mbovu
 
Wenzako wanapenda ta ta we unapenda pwa pwa
😀😀😀😀balaa
 
Nikisema full story hapa kama yupo humu itakuwa vibaya ila mpaka kesho anataman nijibu simu yake ila nimeipotezea
Ulivyosema tu wanaume wa Mwanza basi nikahesbau maumivu.

Ngoja niishie hapa nisiitwe mkabila.

Inshot majority hawajali.
Kulikuwa na shida gani hata kupokea simu akakwambia mimi niko bize sana kama una shughuri zingine endelea.

Usikute hata hiyo Laki kajioinda kweli kweli
 
Atakuja na ID nyngn soon
Ujue Hii story
Nmemkumbuka cutelove vs Maghala

Hivi hivi binti alikimbiwa gesti akaachiwa Elfu 7 mezani, Alipokuja anzisha Uzi kumlalamikia jamaa, jamaa hasira zikampanda akamwaga ugali kwa kuanzisha Uzi mwngn against yeye.

Binti aliona aibu sn Hadi I'd yake skuhz siion kabisa,sjui kaitelekeza au vipi[emoji4]
 
Reactions: 511
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…