Hii ndiyo sababu inayonifanya nisikutane na mwanaume hasa wa mkoani

Hii ndiyo sababu inayonifanya nisikutane na mwanaume hasa wa mkoani

Hakika huwezi sema[emoji3][emoji3]

Maana ake jamaa alikuta yaliyomo hayamo kama alivyotegemea

Au ali expect ta ta ta ta ta akakuta pwa pwa pwa pwa [emoji28][emoji28]
Ha ha ha .....mchokoz Sana wewe,

Mi ishanikuta Sana nilipokua natafta mbadala wa mamaJ.

Unajua mi napenda Sana pwa pwa pwa.

Sasa unakuta mtu anakwambia ukimuona ke flan Yuko hivi sehem flan,jua uko ndani Ni pwa pwa pwah.

Sasa unabahatika kumuona binti Kama ulivoelekezwa,matarajio yanakua juu mno.

Mnafika chumban siku ya kwanza hamna kitu, hata dalili hamna, unabaki kujilaumu ,gharama ulizotumia na kusema Bora ulikotoka.

Kiustaarabu Unampa posho Yake need asjiskie vby, ila ukitoka hapo Ni nduki hutak mazoea Tena.

Maana ukiendekeza mazoea utajikuta unaendekeza utitiri wa mahusiano yasiyo na faida.

Mwisho wa siku narud kwa mamaJ natulia[emoji85]
 
Ilikuwa siku mmoja nilikuwa kwenye mapenzi na kijana mmoja wa mwanza tulikutana ofisi fulani baada ya mazoea ya pale aliomba namba nikampa tukawa tunawasiliana kawawaid kila siku mpaka nikajikuta nimeingia kwenye mapenzi nikajikuta nampenda sana mimi na wivu jamani ukiwa na mimi unatakiwa uwe mvumilivu kidogo.

Tulipanga siku ya mimi kwenda mwaza siku ilipofika nilijipanga vizuri nikiwa na basasha nyingi sana ya kukutana nae na kutokana na utani mwingi kipindi cha nyuma nikawa naona safari ndefu sana.

Baada ya kufika siku ya kwaza alinipokea akanipeleka hotel mzuri tu nili lala nae usiku mzima kesho yake morng aliniaga anaenda kazini alinipa pesa ya dharura laki moja kumbee chumba hajalipa nimekaa pale siku tatu mtu hajatokea nikipiga simu apokei kisa sikijui nililipa na kurudi zangu kwetu bila kumpa taarifa.

Ndipo nilipo fika akaanza jiongeleshq oh mimi nilikuwa nimebanwa simu iliisha chaji samahani ulitumia kiasi gani nikupe niliona upumbavu nika kata simu mpaka leo siwezi kumsafiria mwanaume ata awe nakaa nae mkoa mmoja ila wilaya tofauti siwezi.
Ila na wewe dada umo. Yaani unasafiria Mashine hadi Mwanza?
Huyo alikiwa mume wa mtu we hukushtukatu.
 
Ilikuwa siku mmoja nilikuwa kwenye mapenzi na kijana mmoja wa mwanza tulikutana ofisi fulani baada ya mazoea ya pale aliomba namba nikampa tukawa tunawasiliana kawawaid kila siku mpaka nikajikuta nimeingia kwenye mapenzi nikajikuta nampenda sana mimi na wivu jamani ukiwa na mimi unatakiwa uwe mvumilivu kidogo.

Tulipanga siku ya mimi kwenda mwaza siku ilipofika nilijipanga vizuri nikiwa na basasha nyingi sana ya kukutana nae na kutokana na utani mwingi kipindi cha nyuma nikawa naona safari ndefu sana.

Baada ya kufika siku ya kwaza alinipokea akanipeleka hotel mzuri tu nili lala nae usiku mzima kesho yake morng aliniaga anaenda kazini alinipa pesa ya dharura laki moja kumbee chumba hajalipa nimekaa pale siku tatu mtu hajatokea nikipiga simu apokei kisa sikijui nililipa na kurudi zangu kwetu bila kumpa taarifa.

Ndipo nilipo fika akaanza jiongeleshq oh mimi nilikuwa nimebanwa simu iliisha chaji samahani ulitumia kiasi gani nikupe niliona upumbavu nika kata simu mpaka leo siwezi kumsafiria mwanaume ata awe nakaa nae mkoa mmoja ila wilaya tofauti siwezi.
K itakuwa ilikuwa mbovu
 
Ha ha ha .....mchokoz Sana wewe,

Mi ishanikuta Sana nilipokua natafta mbadala wa mamaJ.

Unajua mi napenda Sana pwa pwa pwa.

Sasa unakuta mtu anakwambia ukimuona ke flan Yuko hivi sehem flan,jua uko ndani Ni pwa pwa pwah.

Sasa unabahatika kumuona binti Kama ulivoelekezwa,matarajio yanakua juu mno.

Mnafika chumban siku ya kwanza hamna kitu, hata dalili hamna, unabaki kujilaumu ,gharama ulizotumia na kusema Bora ulikotoka.

Kiustaarabu Unampa posho Yake need asjiskie vby, ila ukitoka hapo Ni nduki hutak mazoea Tena.

Maana ukiendekeza mazoea utajikuta unaendekeza utitiri wa mahusiano yasiyo na faida.

Mwisho wa siku narud kwa mamaJ natulia[emoji85]
Wenzako wanapenda ta ta we unapenda pwa pwa
😀😀😀😀balaa
 
Nikisema full story hapa kama yupo humu itakuwa vibaya ila mpaka kesho anataman nijibu simu yake ila nimeipotezea
Ulivyosema tu wanaume wa Mwanza basi nikahesbau maumivu.

Ngoja niishie hapa nisiitwe mkabila.

Inshot majority hawajali.
Kulikuwa na shida gani hata kupokea simu akakwambia mimi niko bize sana kama una shughuri zingine endelea.

Usikute hata hiyo Laki kajioinda kweli kweli
 
Atakuja na ID nyngn soon
Ujue Hii story
Nmemkumbuka cutelove vs Maghala

Hivi hivi binti alikimbiwa gesti akaachiwa Elfu 7 mezani, Alipokuja anzisha Uzi kumlalamikia jamaa, jamaa hasira zikampanda akamwaga ugali kwa kuanzisha Uzi mwngn against yeye.

Binti aliona aibu sn Hadi I'd yake skuhz siion kabisa,sjui kaitelekeza au vipi[emoji4]
 
  • Kicheko
Reactions: 511
K itakuwa ilikuwa mbovu
41D8D2DC-E1D4-43CF-8047-9A9D8B8AAD8A.gif
 
Back
Top Bottom