Hii ndiyo sababu inayonifanya nisikutane na mwanaume hasa wa mkoani

Hata huyu ni swala la muda tu, hizi tuhuma ni nzito sanaπŸ˜‚
 
Humu watu hawaondoki wanakuja na ID mpya kila siku, kama we ni mjanja wa kuunganisha dot unawadaka wengi tu!

Juzi Kuna jamaa alikua anatoa story anasema ni hadithi lkn mle kwenye hadithi naona kbs mi nimehusika baadae nkamwambia we ni flan nikampa details baadhi ya details zake, kakimbia uzi wake na story imekoma
 
Weka tag tukajioneeπŸ˜…
 
Ha ha ha .....aisee, itabd nianze kufatilia
Kumbe watu wanazunguka humu humu[emoji4]
 
Mm sipo mkoani...tuyajenge bac!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…