n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Una hoja,usipuuzweBadala ya kumlaumu jamaa, alipaswa ajitafakari yeye mwnyw binti Tatizo liko wapi.
Ingekua Ni mhuni Basi hata iyo laki asingemuachia,angemtoroka kimya kimya.
Hapo Tatizo Ni binti Sio jamaa,
Na laiti jamaa nae angepewa nafas ya kufunguka,Basi najua Hali ya hewa ingechafuka hapa.
Wanaume tunabeba mengi sn kifuani,
Ni ngumu sn kumchana mwanamke Moja Mbili tatu, unamuonea huruma unampa nauli aende zake tu kwa amani.
πππ Dadeq hii noma itakua ndio figo76 ipo hivyo ignition unaanza na ta ta ta afu ikishakolea Moto baada ya kukanyaga mafuta ni pwa pwa pwa duuh balaaaHivi kumbe Zina tofauti eeeh?
Aaah nishaelewa, Basi POA.
Napendaga ta ta ta...Kisha pwa pwa pwa.[emoji38]
Ha ha ha....umekumbuka wapi mamii[emoji4]Ila story yako imenikumbusha hek
Una hoja,usipuuzwe
Mimi ndiyo mwalimu wa kufundisha watu kutongoza? Haki wewe mtu ππ»ππ»ππ»ππ»π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Imekaa hivo hivoEhhh, kumbe kuna wanaume malaya hii imekaaje
[emoji23][emoji23], hii inabid ifanyiwe uchunguza wa kinaImekaa hivo hivo
Uchunguzi wa nin au we bado mtoto?[emoji23][emoji23], hii inabid ifanyiwe uchunguza wa kina
Kuna dada amechati na mtu online kumbe ni mbaba Yuko Njombe,akamtumia nauli,bibie kasafiri mpaka Njombe,kufika yule mbaba kampokea kaenda nae gesti,kachuma fimbo kamcharazaaa kamwambia mtoto mdogo unapata wapi ujasiri wa kuvuka mikoa mitatu kumfuata mtu usiemjua,kamwambia nyie ndio mnaosumbua wazazi wenu,akamlipia chumba,asubuhi kaenda mkurupua kampandisha Njombe express hajampa hata mia......source ya hii taarifa ni hekaheka za Dida wasafi Fm walimuhoji huyo bidadaπππππππHa ha ha....umekumbuka wapi mamii[emoji4]
Nimemtoa marinda baba yako akakuzaa kahaba wewe... Karibu tenaMbwaaa mama yako ambae alikubali kubwa ili wewe uzaliwe
[emoji28][emoji28]Uchunguzi wa nin au we bado mtoto?
Kwa alicho fanya jamaa huoni kama ali kununua piaKazoea kununua malaya wa mtaani kwao ndio maana wala simshangai