Hii ndiyo sababu inayonifanya nisikutane na mwanaume hasa wa mkoani

Kumbe wewe Changu!
 
Pole sana. Sababu ya huyo jamaa kukutelekeza, ilikuwa iko wazi kabisa.

Yaani matarajio yake yalikuwa ni tofauti kabisa na kile alicho kitegemea kutoka kwako/ alichokiona/alichokikuta kule chumbani.

Hivyo hutakiwi kumlaumu. Maana chanzo ni wewe mwenyewe.
 
Sawa shida ni time ila hizo nazo ni factor zilizochangia akutelekeze huko hotelini dada ila pole sana
Jamaa alikua anataka kupita njia au
Hakuona maajabu aliyotarajia
Bas akaona Hana chakupoteza ajiondoe mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…