Hii ndiyo sababu inayonifanya nisikutane na mwanaume hasa wa mkoani

Hii ndiyo sababu inayonifanya nisikutane na mwanaume hasa wa mkoani

Aijasema nime mmis ila nikakumbuka ili tukio jiongezi panapo ongezaka na pasipo ongeza usijiongeze
Sasa wenzako humu
Tayar washa kutafsiri tofauti,

Swali la kwanza,
Lengo la Uzi wako nn,
kulaumu,kufedhehesha wanaume au vp?

Ndo maana Kuna wengine uvumilivu unawashinda mpk mnatoleana lugha ngumu sn.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Sasa wenzako humu
Tayar washa kutafsiri tofauti,

Swali la kwanza,
Lengo la Uzi wako nn,
kulaumu,kufedhehesha wanaume au vp?

Ndo maana Kuna wengine uvumilivu unawashinda mpk mnatoleana lugha ngumu sn.
Kwani ukinichukulia malaya ndio malaya kweli?
 
Sasa wenzako humu
Tayar washa kutafsiri tofauti,

Swali la kwanza,
Lengo la Uzi wako nn,
kulaumu,kufedhehesha wanaume au vp?

Ndo maana Kuna wengine uvumilivu unawashinda mpk mnatoleana lugha ngumu sn.
Pili sina mwezangu pleas
 
Kuna tatizo la kiufundi mahali, sio lahisi kususa mbususu.
True, wanaume sisi Ni walafi sn wa Mbususu, hasa ukifikiri uliyoigharamia na unajua umeipata kibahat bahati ikiondoka inaweza isirudi Tena, Unaweza kata wiki umejifungia gesti mnalalana TU ubanduki kifuani[emoji4]
 
Ndipo nilipo fika akaanza jiongeleshq oh mimi nilikuwa nimebanwa simu iliisha chaji samahani ulitumia kiasi gani nikupe niliona upumbavu nika kata simu mpaka leo siwezi kumsafiria mwanaume ata awe nakaa nae mkoa mmoja ila wilaya tofauti siwezi.
Huyo ndio figo76 wewe much know njoo uyaone ya Mjini sio unaishi kindezi tu uko ulipo km kitoga
 
True, wanaume sisi Ni walafi sn wa Mbususu, hasa ukifikiri uliyoigharamia na unajua umeipata kibahat bahati ikiondoka inaweza isirudi Tena, Unaweza wiki umejifungia gesti unachakata TU[emoji4]
Kuna ukweli kauficha. Huyo jamaa ni mstarabu sana, kalipia na huduma kabisa, mwingine angetoroka. Pia na yeye mzembe anakaaje siku 3 bila mwenyeji?
 
Kuna ukweli kauficha. Huyo jamaa ni mstarabu sana, kalipia na huduma kabisa, mwingine angetoroka. Pia na yeye mzembe anakaaje siku 3 bila mwenyeji?
Si amekwambia alipewa laki 1 ya matumizi hapo hotel na akawa anasubiria mkuyege aje auchezee tena au haujanielewa hadi akuambie hivyo ?
 
Si amekwambia alipewa laki 1 ya matumizi hapo hotel na akawa anasubiria mkuyege aje auchezee tena au haujanielewa hadi akuambie hivyo ?
Wee ndo utakua ujaelewa mkuu,

Ngosha alipiga kimoja,kulipokucha kaaacha laki mezani akapotea mazima.

Sio kwamba alitoa laki kabla ya kulalana[emoji4]
 
Back
Top Bottom