Hii ndiyo Simba SC mpaka muda huu tayari Mashabiki wa Simba SC wameshajichangisha Milioni 32 kati ya Milioni 100 za CAF ili ikalipwe kama Faini

Hii ndiyo Simba SC mpaka muda huu tayari Mashabiki wa Simba SC wameshajichangisha Milioni 32 kati ya Milioni 100 za CAF ili ikalipwe kama Faini

Leta uthibitisho sio porojo hapa habari umeileta wewe unatuambia sisi tukatafute kichwani kwako kupo sawa kweli
Kuleta kejeli na matusi tu ni uthibitisho tosha hata kujadiana na wewe napoteza mda , ngoja nikuweke ignore list ukae na wajinga wenzako huko
 
Simba ;

Tuna hela mpaka tunaumwa.

Hatuna njaa ya Supu.
 
Ingekuwa Yanga hapa, wangekamata wauza viazi wote sokoni Mabibo na Kariakoo pamoja na wauza maji ya Kandoro mabarabarani na kuwalazimisha kulipa hela. This is Simba, timu ya Taifa na wenye nchi wanaojitambua.
Wenye kijitambua hawawezi kuharibu mali ya Serikali.
 
Kuleta kejeli na matusi tu ni uthibitisho tosha hata kujadiana na wewe napoteza mda , ngoja nikuweke ignore list ukae na wajinga wenzako huko
Kama vipi kausha au mthibitishie .....hivyo tu
 
Maniii...
Huwa sina tabia ya kujadili kitu na mtu anaeanza na matusi naona kama napoteza mda na mtu wa ovyo wala sijashindwa kuthibitisha mkuu.
Barcelona ilishatembeza bakuli 1930 na 1940 kwa wanachama na mashabiki baada ya kupitia changamoto ya kifedha , pia rangers fc mwaka 2012. Kwa taarifa zaidi mtu anaweza tafuta mwenyewe pia .
 
Wewe unahisi kuchangia kunatokana na Simba kukosa pesa hizo?...huna akili wewe...kuchangia kunatokana na matakwa ya Mashabiki kwa kile walichokifanya ..na wao ndo walioinitiate proposal ya mchango...viongozi walibariki tu na kuweka mazingira sawa.. maana ni Jambo jema....
 
Mbona unahamisha magoli tena ulianza na madrid na barcelona ghafla umekimbilia kwa besiktas
We onyesha ushahidi wa mashabiki wa madrid na barcelona kuchangia timu yao
Wanaochangia ni mashabiki wa Simba hela ni zetu wenyewe wewe hapo ulipo unaumia nn mkuu?
Hata kama hakuna timu yoyote imewahi kufanya duniani inazuia nini Simba kufanya.
Watu wanachanga kwa hiyari yao na kwa mapenzi yao sasa mjifunze kubalance shobo kwenye matumizi ya mwanaume mwenzio
 
Wanaochangia ni mashabiki wa Simba hela ni zetu wenyewe wewe hapo ulipo unaumia nn mkuu?
Hata kama hakuna timu yoyote imewahi kufanya duniani inazuia nini Simba kufanya.
Watu wanachanga kwa hiyari yao na kwa mapenzi yao sasa mjifunze kubalance shobo kwenye matumizi ya mwanaume mwenzio
Wakati yanga inatembeza bakuli nyie ndo wakwanza kuwabeza na kuwacheka Yanga kwan hamkujua kwamba mashabiki wa Yanga wanachangia kwa hiari yao
leo hii mnafanya kile kile walichokua wanafanya yanga alafu mnasema ni sawa acha unafki
 
Mmekua BAKULI FC sasa
Kweli "what goes around comes around",mliwacheka yanga sasa yamerudi kwenu kuomba omba
Mchango huu kwa Yanga hata milioni moja mtandaoni wasingepata, sana sana ungesikia viongozi pamoja na wachawi wao wanashikana mashati kwa kulaumiana. Mwisho wa siku unaambiwa tumekusanya elfu 40 tu. This is Yanga, nothing is new with them, full mediocrity.
 
Mchango huu kwa Yanga hata milioni moja mtandaoni wasingepata, sana sana ungesikia viongozi pamoja na wachawi wao wanashikana mashati kwa kulaumiana. Mwisho wa siku unaambiwa tumekusanya elfu 40 tu. This is Yanga, nothing is new with them, full mediocrity.
Ishu sio kukusanya
Ishu ni makolo waliwacheka yanga kuwa ni bakuli fc
Leo nao wamekua bakuli fc
What a shame
 
Back
Top Bottom