Hii ndiyo surprise niliyomfanyia x-wangu aliyetaka kupasha kiporo

Kwan ungemchana tu live kuwa huko interested na mambo hizo any more ungepungukiwa nini?
Ungemuepusha na gharama alizotumia plus muda wake..pia ungeepusha kadhia uliokumbana nayo ya kujiletea impression ya wewe kuwa ni malaya maana umekutana na ma ex zake 2 at per, so you think ina sound aje, yan we mwenyewe ukajiona kweli mi malaya.

Usipende sana kula kula vya watu, cha mtu hakiliwi, vitakutokea puani.

Halaf ulivyo mjinga sasa, umekutana nae tena, bado ukapewa lift na ukakubali angekutupa barabarani ionekane ni ajali je?

Tumieni akili wakat mwingine
 
Alafu kweli lakini angenitupa barabarani kama kufa au kuumia si tungedhurika wote, alafu kukutana na Ex wako hiyo haiwezi kukufanya uonekane malaya aisee, binadamu tunakutana popote.
 
Alafu kweli lakini angenitupa barabarani kama kufa au kuumia si tungedhurika wote, alafu kukutana na Ex wako hiyo haiwezi kukufanya uonekane malaya aisee, binadamu tunakutana popote.
We jua tu ungeumia wewe..na hata kama mngeumia wote bado isingepunguza hasara ambayo wewe binafsi umeipata?
Unaona sasa ujinga huu, uko obsesed kupiga hesabu mambo ya mwingine unasahau namna una jeopardize ya kwako
 


Umezaliwa 2010 ww, pumbaf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ