Nimekuambia to me, Magufuli is overrated. Sasa hayo maelezo yote ni ya nini Comrade!! Ni mtazamo wangu huo.You might be right! Ila kumbuka JPM alikuwa na ndoto ya kuona TZ inapiga hatua. Hili kubali au kataa, hiyo ni husda wako kwake. Usisahau wakati ule mlikuwa mnampinga kuwa yeye anaangalia maendeleo ya vitu si watu. Hata TL alikuwa anaipigia kelele. Wenye akili tulikuwa tunawaeleza kuwa maendeleo ya nchi ni vitu (infrastructure) kwanza
Tenda neno...subiri kujengewaSisi kujengewa SGR tu mbwembwe nyingi, shika neno "kujengewa"
ππππKwa kasi hiyo, hivyo vyuma si vitawaka moto. Msuguano utakaokuwapo hapo si wa kitoto.
Wewe unaijua maglev?Kwa kasi hiyo, hivyo vyuma si vitawaka moto. Msuguano utakaokuwapo hapo si wa kitoto.
Magufuri hamna kitu ndiye chanzo cha matatzo mengi sana yule hakuwa kiongozi kbs kama alikuwa na nia ya dhati na taifa hili na watz angekubali kuishi vema na wale wanaomkosoa tena ingemsaidia snYou might be right! Ila kumbuka JPM alikuwa na ndoto ya kuona TZ inapiga hatua. Hili kubali au kataa, hiyo ni husda wako kwake. Usisahau wakati ule mlikuwa mnampinga kuwa yeye anaangalia maendeleo ya vitu si watu. Hata TL alikuwa anaipigia kelele. Wenye akili tulikuwa tunawaeleza kuwa maendeleo ya nchi ni vitu (infrastructure) kwanza
Hii ndo nguvu ya magnetic LevitationChina imekamilisha jaribio la usafiri wa treni aina ya maglev yenye kasi ya juu (UHS), kuashiria hatua nyingine muhimu kwa aina hiyo ya usafiri inayoweza kusafiri kwa kasi ya hadi maili 621 kwa saa sawa na kilometer 1,000 kwa saa.
View attachment 3064287
Jaribio hilo lilifanyika katika mkoa wa Shanxi unaopatikana kaskazini mwa China.
Hili lilikuwa jaribio la kwanza na kubwa lililokamilika kwa mfumo wa usafirishaji kwa kutumia umeme wa bomba pana lililo wazi (utupu) UHS.
Mojawapo ya mafanikio makubwa yaliyopatikana wakati wa jaribio hilo ni kwamba ilithibitisha kuwa mazingira ya uwazi uliopo kwenye bomba hilo kwa umbali mrefu yanaweza kufanya spidi kuwa kubwa zaidi na kudumisha kwa kiwango kikubwa.
China ilianza kujenga mfumo wa usafiri wa UHS maglev katika Kaunti ya Yanggao mwaka wa 2022, mfumo huo unalenga kuunganisha teknolojia ya anga na mfumo wa usafiri wa reli kwa lengo la kuendesha treni kwa kasi ya maili 621 kwa saa.
Aliitwa Magufuli. Ukishajifunza jinsi ya kutofautisha l na r njoo tukupe ukweli wa hili jamboMagufuri hamna kitu ndiye chanzo cha matatzo mengi sana yule hakuwa kiongozi kbs kama alikuwa na nia ya dhati na taifa hili na watz angekubali kuishi vema na wale wanaomkosoa tena ingemsaidia sn
Pili angeleta katiba mpya si katiba hii ya ku save interest za chama chake na yeye bnafsi
Tatu angejiweka kando na ccm awe rais si kuleta uccm wake hapa fatilia hata ziara zake nyng utagundua hilo
Nne kitendo cha kutaka kutawala milele bila kikomo hakika alistahili kuenguliwa kama ilivyotokea angetuleta matatzo makubwa sn ya waasi
Taifa hili lilipata kiongoz 1 tu naye ni Nyerere hakuwa mroho wa madaraka hakujitajirisha na hata alipoachia madaraka alikaa kando kbs alitunza raslimali za taifa hili kwa maslahi ya kzazi kijacho.
Magufuri alikuwa muongo sn anadanganya watu na kujitangaza kila uchwao lakini kiuhalisia he was overrated tu.
Hakuna ukweli wowote hapo nchi hii mtu mwenye akili timamu na mtafiliaji wa mambo hawez mshabikia magufuli wala majitu ya ccm otherwise baki na msimamo wako.Aliitwa Magufuli. Ukishajifunza jinsi ya kutofautisha l na r njoo tukupe ukweli wa hili jambo
Waambie ukweli Hawa machawa hawaelewi kitu kabisa! Majizi makubwa yamejaa huko ccm na yamekubuhu!Sisi bado tunahangaika na matundu ya choo.
Maccm ni majizi makubwa sana!Hakuna ukweli wowote hapo nchi hii mtu mwenye akili timamu na mtafiliaji wa mambo hawez mshabikia magufuli wala majitu ya ccm otherwise baki na msimamo wako.
Kwa ufupi iko hivi kanuni ya usumaku ni kwamba pande zinazofanana zinakinzana sasa hapa kinachofanyika ni kwamba mataruma na reli vinasumakishwa kwa umeme ambapo mataruma na reli vyote vinapewa hali ya ufanano kiusumaku kwahiyo vitakinzana na kwamaana hiyo treni ya aina hii mataruma yake ikitembea hayagusani na reli hivyo treni inakuwa kama inaelea kwenye mataruma na pale inaposimama inashuka na kugusa mataruma.Vyuma havisuguani mkuu,wanatumia tech ya MAGnetic LEVitation (MAGLEV) uliza zaidi kuhusu hiyo tech, ni ya ajabu kidogo
Yaani dakika mbili! PyuuuKweli wenzetu wameadvance, 1000kph sio mchezo hata kidogo. Hapa na Moro ni 0.2hrs
Halafu bado kuna mtu anataka sayansi ifundishwe kwa kiswahili mashuleni..!!! Tuendelee kusumakishana na haya mambo ya mifurumbatoKwa ufupi iko hivi kanuni ya usumaku ni kwamba pande zinazofanana zinakinzana sasa hapa kinachofanyika ni kwamba mataruma na reli vinasumakishwa kwa umeme ambapo mataruma na reli vyote vinapewa hali ya ufanano kiusumaku kwahiyo vitakinzana na kwamaana hiyo treni ya aina hii mataruma yake ikitembea hayagusani na reli hivyo treni inakuwa kama inaelea kwenye mataruma na pale inaposimama inashuka na kugusa mataruma.
πππππWewe unaijua maglev?
Hiii umedhihirisha kuwa hauna uelewa unachokichangia hapa.
la kwetu litakuwa linakaribia dumilaYaani hilo treni linaenda kigoma na kurudi dar,lakwetu bado halijafika Dodoma
Alisikika us.huzi wa bata mmoja akinenaMagufuri hamna kitu ndiye chanzo cha matatzo mengi sana yule hakuwa kiongozi kbs kama alikuwa na nia ya dhati na taifa hili na watz angekubali kuishi vema na wale wanaomkosoa tena ingemsaidia sn
Pili angeleta katiba mpya si katiba hii ya ku save interest za chama chake na yeye bnafsi
Tatu angejiweka kando na ccm awe rais si kuleta uccm wake hapa fatilia hata ziara zake nyng utagundua hilo
Nne kitendo cha kutaka kutawala milele bila kikomo hakika alistahili kuenguliwa kama ilivyotokea angetuleta matatzo makubwa sn ya waasi
Taifa hili lilipata kiongoz 1 tu naye ni Nyerere hakuwa mroho wa madaraka hakujitajirisha na hata alipoachia madaraka alikaa kando kbs alitunza raslimali za taifa hili kwa maslahi ya kzazi kijacho.
Magufuri alikuwa muongo sn anadanganya watu na kujitangaza kila uchwao lakini kiuhalisia he was overrated tu.