Hii ndo tathimini kuelekea January 22 katika uchaguzi wa kumpata Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Hii ndo tathimini kuelekea January 22 katika uchaguzi wa kumpata Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Ukweli ni kwamba Mbowe atashinda. Si kwasababu anakubalika sana na WanaCHADEMA hapana, ila ni kwasababu mirija ya chakula ya wajumbe walio wengi imefungamanishwa naye. Hivyo akishindwa kula yao ita-stop abruptly. CHADEMA ya sasa ipo chini ya Mbowe na washirika wake.

Lissu atashindwa uchaguzi huu si kwasababu hakubaliki na WanaCHADEMA hapana. Ila ni kwasababu wanaomuunga mkono wengi (jamii) hawana haki ya kupiga kura kwenye mkutano mkuu.

Lakini ukweli utabaki pale pale. Mbowe atashinda kwa minority (wajumbe) ila majority (WanaCHADEMA) wanamtaka Lissu. Kwahiyo Mbowe atapoteza kundi kubwa sana la watu mtaani. Na CCM next general election njia ni nyeupeeee...!

Mbowe akishinda atawarudisha wale Covid-19 kwamba waje wakipe chama nguvu ila haitasaidia kitu.

Nb. Watz wa leo siyo wa jana. Hivyo endelea kusukuma kete Kwa tahadhari kubwa Sana.
 
Ukweli ni kwamba Mbowe atashinda. Si kwasababu anakubalika sana na WanaCHADEMA hapana, ila ni kwasababu mirija ya chakula ya wajumbe walio wengi imefungamanishwa naye. Hivyo akishindwa kula yao ita-stop abruptly. CHADEMA ya sasa ipo chini ya Mbowe na washirika wake.

Lissu atashindwa uchaguzi huu si kwasababu hakubaliki na WanaCHADEMA hapana. Ila ni kwasababu wanaomuunga mkono wengi (jamii) hawana haki ya kupiga kura kwenye mkutano mkuu.

Lakini ukweli utabaki pale pale. Mbowe atashinda kwa minority (wajumbe) ila majority (WanaCHADEMA) wanamtaka Lissu. Kwahiyo Mbowe atapoteza kundi kubwa sana la watu mtaani. Na CCM next general election njia ni nyeupeeee...!

Mbowe akishinda atawarudisha wale Covid-19 kwamba waje wakipe chama nguvu ila haitasaidia kitu.

Nb. Watz wa leo siyo wa jana. Hivyo endelea kusukuma kete Kwa tahadhari kubwa Sana.
Uchambuzi mzur Sanaa huu.
 
Ukweli ni kwamba Mbowe atashinda. Si kwasababu anakubalika sana na WanaCHADEMA hapana, ila ni kwasababu mirija ya chakula ya wajumbe walio wengi imefungamanishwa naye. Hivyo akishindwa kula yao ita-stop abruptly. CHADEMA ya sasa ipo chini ya Mbowe na washirika wake.

Lissu atashindwa uchaguzi huu si kwasababu hakubaliki na WanaCHADEMA hapana. Ila ni kwasababu wanaomuunga mkono wengi (jamii) hawana haki ya kupiga kura kwenye mkutano mkuu.

Lakini ukweli utabaki pale pale. Mbowe atashinda kwa minority (wajumbe) ila majority (WanaCHADEMA) wanamtaka Lissu. Kwahiyo Mbowe atapoteza kundi kubwa sana la watu mtaani. Na CCM next general election njia ni nyeupeeee...!

Mbowe akishinda atawarudisha wale Covid-19 kwamba waje wakipe chama nguvu ila haitasaidia kitu.

Nb. Watz wa leo siyo wa jana. Hivyo endelea kusukuma kete Kwa tahadhari kubwa Sana.
Unge conclude kwamba ili kuwe na chama chenye nguvu sana cha upinzani, basi Lissu aanzishe chama chake amwachie Mbowe lichama lake. Lakini bahati mbaya sio Lissu wala wafuasi uchwara wake wako tayari kuondoka Chadema iliyojengwa na Mbowe!
 
Ki ukweli hata Mimi nakubaliana na wewe. WATZ sasahivi tunataka mabadiliko ya mifumo ya haki ya kiutendaji itakayoakisi matakwa ya raia na siyo viongozi na mifumo ya haki kwenye UCHAGUZI. Katiba mpya NI jibu. CCM wameendelea kupuuza na sasa wameota kiburi,
kwa hiyo tunahitaji MTU mwenye ujasiri/jino kwa jino hakuna KUREMBA na kupotezeana muda.
 
Unge conclude kwamba ili kuwe na chama chenye nguvu sana cha upinzani, basi Lissu aanzishe chama chake amwachie Mbowe lichama lake. Lakini bahati mbaya sio Lissu wala wafuasi uchwara wake wako tayari kuondoka Chadema iliyojengwa na Mbowe!

Kuanzisha chama sio njia ya uhakika wa yeye kupambana na Ccm.

Kinachohitajika ni kuwa na platform ya kuongelea mambo yake .

Itakuwa haileti maana Sana endapo kila anayekosa nafasi Chadema akimbilie kuanzisha Chama.
 
Kuanzisha chama sio njia ya uhakika wa yeye kupambana na Ccm.

Kinachohitajika ni kuwa na platform ya kuongelea mambo yake .

Itakuwa haileti maana Sana endapo kila anayekosa nafasi Chadema akimbilie kuanzisha Chama.
Ni bora aanzishe chama chake ambacho kitakuwa very pure kama alivyo yeye very pure na ndio maana anawananga wenzake kuwa ni impure au sio?
 
Na CCM next general election njia ni nyeupeeee...!

Hicho ndicho walichopanga siku ile Mbowe alipotolewa gerezani, wamtengezee Samia njia nyeupe bila kujali waTanzania wanataka nini... Anyway, hata akishindwa huko mbeleni ni kiza kinene juu ya uongozi wa huyu mama. Watanzania tunaogopa sana sijui kama nchi itapigwa mnada tena kwa waaarabu au kwa akina south Korea? Kuuza mali za nchi ni kitu ambacho wengi wetu hatutaki na akitokea mtu akaifanya hii sera ya chama chake, atapata wafuasi wengi na ndio maana hata Mwabukusi alieleweka kirahisi sana kwenye ile kesi ya bandari
 
Ukweli ni kwamba Mbowe atashinda. Si kwasababu anakubalika sana na WanaCHADEMA hapana, ila ni kwasababu mirija ya chakula ya wajumbe walio wengi imefungamanishwa naye. Hivyo akishindwa kula yao ita-stop abruptly. CHADEMA ya sasa ipo chini ya Mbowe na washirika wake.

Lissu atashindwa uchaguzi huu si kwasababu hakubaliki na WanaCHADEMA hapana. Ila ni kwasababu wanaomuunga mkono wengi (jamii) hawana haki ya kupiga kura kwenye mkutano mkuu.

Lakini ukweli utabaki pale pale. Mbowe atashinda kwa minority (wajumbe) ila majority (WanaCHADEMA) wanamtaka Lissu. Kwahiyo Mbowe atapoteza kundi kubwa sana la watu mtaani. Na CCM next general election njia ni nyeupeeee...!

Mbowe akishinda atawarudisha wale Covid-19 kwamba waje wakipe chama nguvu ila haitasaidia kitu.

Nb. Watz wa leo siyo wa jana. Hivyo endelea kusukuma kete Kwa tahadhari kubwa Sana.
jambo la maana zaidi ni kwamba chadema itapata pumzi mpya na uelekeo mpya,

succession plan itachukua mkondo wake mpya, kelele zitapungua sana chadema na midomo itakua imezimwa rasmi.

chadema wataheshimiana sana na kutengeneza mfumo wa kudhibiti uropokaji na kuhakikisha kwamba hakutokei tena kiongozi ambae ana chuki binafsi na kila kiongozi mwenzake, lakini pia anamuona kila kiongozi ndani ya chama chake ni adui yake. Tabia mbaya sana hii lazma ikomeshwe.

Ambalo halisemwi,
ni kwamba, Lisu hawezi kudumu kwenye chama kingine chochote cha siasa humu nchini, na itafika wakati kwa hulka na tabia zake za kibinafsi,
atakuja kukataliwa kujiunga na vyama vingine, na akiwa na chama chake binafsi atakua akikimbiwa na wanachama kila leo 🎄
 
Ukweli ni kwamba Mbowe atashinda. Si kwasababu anakubalika sana na WanaCHADEMA hapana, ila ni kwasababu mirija ya chakula ya wajumbe walio wengi imefungamanishwa naye. Hivyo akishindwa kula yao ita-stop abruptly. CHADEMA ya sasa ipo chini ya Mbowe na washirika wake.

Lissu atashindwa uchaguzi huu si kwasababu hakubaliki na WanaCHADEMA hapana. Ila ni kwasababu wanaomuunga mkono wengi (jamii) hawana haki ya kupiga kura kwenye mkutano mkuu.

Lakini ukweli utabaki pale pale. Mbowe atashinda kwa minority (wajumbe) ila majority (WanaCHADEMA) wanamtaka Lissu. Kwahiyo Mbowe atapoteza kundi kubwa sana la watu mtaani. Na CCM next general election njia ni nyeupeeee...!
Naunga mkono hoja tathmini mujarab. Kuelekea 2025 - Baada ya Mbowe kutetea uenyekiti wake, masikini Tundu Lissu, kwishney! Je, atabaki ama atatimka? Lissu Cool down, usiitishe Press kumjibu Mbowe!
P
 
Unge conclude kwamba ili kuwe na chama chenye nguvu sana cha upinzani, basi Lissu aanzishe chama chake amwachie Mbowe lichama lake. Lakini bahati mbaya sio Lissu wala wafuasi uchwara wake wako tayari kuondoka Chadema iliyojengwa na Mbowe!
Aanzishe chama chake kwani mbowe alikijenga CHADEMA peke yake? Watu wamevuja damu sababu ya hicho chama halafu unaleta habari za watoke
 
Aanzishe chama chake kwani mbowe alikijenga CHADEMA peke yake? Watu wamevuja damu sababu ya hicho chama halafu unaleta habari za watoke
Kuna msemo wa Kiingereza unasema, "If you want to know how strong you are, stand alone"! Lissu si ni jembe? Kwanini mnaogopa asianzishe chama chake? Mbona kijana Mondlane wa Msumbiji alijitoa kwenye chama Cha RENAMO akaanzisha cha kwake na sasa yupo anakiwasha huko? Ni udhaifu mkubwa kung'ang'ania kukaa na wasiokupenda halafu unajiita una msimamo!!!
 
Back
Top Bottom