Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Sijui haya mawazo ya ovyo mnayatoa wapi! Ebu ajaribu basi tuone. Yeye si mwanasheria nguli? Hofu ya nini?Unafikiri msajili wa vyama atakipa usajili chama ambacho kinakwenda kuiketea changamoto CCM?