Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mifano ipo mingi CCM si kwamba ndio Wana hati miliki ya hili taifaa..Uliishawahi ona Baba Mwenye Nyumba anaondoka nyumbani kwake na kuwaachia wahuni nyumba yake? Mwl. Nyerere mwaka 1995 aliwahi kusema , "I can't let my country go to the dogs". Unafikiri Mbowe huu msemo haujui?
Of course! And CCM doesn't intend to leave this country go to the dogs!Mbona mifano ipo mingi CCM si kwamba ndio Wana hati miliki ya hili taifaa..
Who are those 🐕???Of course! And CCM doesn't intend to leave this country go to the dogs!
Kwa kiasi kikubwa nakubaliana na wewe. Kitu cha kuongezea ni kuwa CCM na vyombo vya dola vitahakikisha Mbowe anashinda kwa gharama yoyote. Hii ni kwa sababu wameona ni fursa nzuri ya kuiua CHADEMA kuliko wakati mwingine wowote. Nyongeza: uchaguzi ujao Mbowe ataachiwa ashinde baadhi ya majimbo ili bunge liwe na wabunge ambao ni friendly kwa serikali ya Samia. Mbowe yeye hatakuwa na hasara kwa sababu nia yake kubwa ni ruzuku itakayoongezeka.Ukweli ni kwamba Mbowe atashinda. Si kwasababu anakubalika sana na WanaCHADEMA hapana, ila ni kwasababu mirija ya chakula ya wajumbe walio wengi imefungamanishwa naye. Hivyo akishindwa kula yao ita-stop abruptly. CHADEMA ya sasa ipo chini ya Mbowe na washirika wake.
Lissu atashindwa uchaguzi huu si kwasababu hakubaliki na WanaCHADEMA hapana. Ila ni kwasababu wanaomuunga mkono wengi (jamii) hawana haki ya kupiga kura kwenye mkutano mkuu.
Lakini ukweli utabaki pale pale. Mbowe atashinda kwa minority (wajumbe) ila majority (WanaCHADEMA) wanamtaka Lissu. Kwahiyo Mbowe atapoteza kundi kubwa sana la watu mtaani. Na CCM next general election njia ni nyeupeeee...!
Mbowe akishinda atawarudisha wale Covid-19 kwamba waje wakipe chama nguvu ila haitasaidia kitu.
Nb. Watz wa leo siyo wa jana. Hivyo endelea kusukuma kete Kwa tahadhari kubwa Sana.
Don't know!🙆🙆🙆🙆Who are those 🐕???
Hawezi kupachs usajili usimpoteze huko.....msajili wa vyama ana maelekezo miaka yooote....ndio maana Maalim Deif ( RiP) hakuweza kupita njia kuanzidha chama bali ilibidi aende ACT bila kupendaNi bora aanzishe chama chake ambacho kitakuwa very pure kama alivyo yeye very pure na ndio maana anawananga wenzake kuwa ni impure au sio?
Unafikiri kwa nini Maalim hakuanzisha chama chake akaenda ACT ? Msajili yuko pale kibaraka wa chama kileee.....tusijitoe akili....Kuna msemo wa Kiingereza unasema, "If you want to know how strong you are, stand alone"! Lissu si ni jembe? Kwanini mnaogopa asianzishe chama chake? Mbona kijana Mondlane wa Msumbiji alijitoa kwenye chama Cha RENAMO akaanzisha cha kwake na sasa yupo anakiwasha huko? Ni udhaifu mkubwa kung'ang'ania kukaa na wasiokupenda halafu unajiita una msimamo!!!
Hujui unachoongea Dogo.Hawezi kupachs usajili usimpoteze huko.....msajili wa vyama ana maelekezo miaka yooote....ndio maana Maalim Deif ( RiP) hakuweza kupita njia kuanzidha chama bali ilibidi aende ACT bila kupenda
Hujui unachoongea Dogo! Uliza uelimishwe.Unafikiri kwa nini Maalim hakuanzisha chama chake akaenda ACT ? Msajili yuko pale kibaraka wa chama kileee.....tusijitoe akili....
Hilo kundi atakalopoteza mtaani, alikuwa nalo kabla ya uchaguzi huu? Mbona hadi tunaingia katika uchaguzi huu Mbowe amekuwa ni Mwenyekiti? Kwa nini hilo kundi lisipotee katika kipindi chote alichokuwa mwenyekiti, ila lije lipotee atakapokuwa mwenyekiti?... Kwahiyo Mbowe atapoteza kundi kubwa sana la watu mtaani.
Verry poor thread and analysis in general,Ukweli ni kwamba Mbowe atashinda. Si kwasababu anakubalika sana na WanaCHADEMA hapana, ila ni kwasababu mirija ya chakula ya wajumbe walio wengi imefungamanishwa naye. Hivyo akishindwa kula yao ita-stop abruptly. CHADEMA ya sasa ipo chini ya Mbowe na washirika wake.
Lissu atashindwa uchaguzi huu si kwasababu hakubaliki na WanaCHADEMA hapana. Ila ni kwasababu wanaomuunga mkono wengi (jamii) hawana haki ya kupiga kura kwenye mkutano mkuu.
Lakini ukweli utabaki pale pale. Mbowe atashinda kwa minority (wajumbe) ila majority (WanaCHADEMA) wanamtaka Lissu. Kwahiyo Mbowe atapoteza kundi kubwa sana la watu mtaani. Na CCM next general election njia ni nyeupeeee...!
Mbowe akishinda atawarudisha wale Covid-19 kwamba waje wakipe chama nguvu ila haitasaidia kitu.
Nb. Watz wa leo siyo wa jana. Hivyo endelea kusukuma kete Kwa tahadhari kubwa Sana.
Kuna msemo wa Kiingereza unasema, "If you want to know how strong you are, stand alone"! Lissu si ni jembe? Kwanini mnaogopa asianzishe chama chake? Mbona kijana Mondlane wa Msumbiji alijitoa kwenye chama Cha RENAMO akaanzisha cha kwake na sasa yupo anakiwasha huko? Ni udhaifu mkubwa kung'ang'ania kukaa na wasiokupenda halafu unajiita una msimamo!!!
Kuanzisha chama sio njia ya uhakika wa yeye kupambana na Ccm.
Kinachohitajika ni kuwa na platform ya kuongelea mambo yake .
Itakuwa haileti maana Sana endapo kila anayekosa nafasi Chadema akimbilie kuanzisha Chama.
Hata mimi hilo nimelifikiria muda mrefu.Kuna uwezekano wa ACT kuchukua nafasi ya chadema.
Umemaliza, chadema ikumbuke ikimaliza uchaguzi Bado itahitaji wananchi kiujumla kuisapoti.Huo ndo ukweli, wakivuruga kwenye uchaguzi wao wasitafute mchawiUkweli ni kwamba Mbowe atashinda. Si kwasababu anakubalika sana na WanaCHADEMA hapana, ila ni kwasababu mirija ya chakula ya wajumbe walio wengi imefungamanishwa naye. Hivyo akishindwa kula yao ita-stop abruptly. CHADEMA ya sasa ipo chini ya Mbowe na washirika wake.
Lissu atashindwa uchaguzi huu si kwasababu hakubaliki na WanaCHADEMA hapana. Ila ni kwasababu wanaomuunga mkono wengi (jamii) hawana haki ya kupiga kura kwenye mkutano mkuu.
Lakini ukweli utabaki pale pale. Mbowe atashinda kwa minority (wajumbe) ila majority (WanaCHADEMA) wanamtaka Lissu. Kwahiyo Mbowe atapoteza kundi kubwa sana la watu mtaani. Na CCM next general election njia ni nyeupeeee...!
Mbowe akishinda atawarudisha wale Covid-19 kwamba waje wakipe chama nguvu ila haitasaidia kitu.
Nb. Watz wa leo siyo wa jana. Hivyo endelea kusukuma kete Kwa tahadhari kubwa Sana.
ukweli ni kwamba TAL hawezi kushinda, Ccm kupitia tiss imepandikiza mamluki wengi Sana kule Chadema. mamluki hao watampigia kura mbowe. MboWe amekuwa akipewa pesa nyingi za ufadhili kutoka Ccm.Verry poor thread and analysis in general,
Mbowe anaungwa mkono na baadhi ya wajumbe wa kamati Kuu.
Wapiga kura wajumbe wa mkutano mkuu wapo mikoani kwenye kanda mbalimbali.
Wanajua ukweli, kwamba huyu bwana Mbowe hafanyi siasa kwa lengo CHADEMA ichukue dola, huyu anafanya biashara,na Samia na CCM, watu wanamjua, this time hatoboi hata CCM watoe rushwa, wajumbe wanakula hela na kura kwa Lissu.
Uchaguzi wa CHADEMA, ni Lissu, utafanana na ule wa MWABUKUSI bkuwa Rais wa TLS, wa Lissu kuwa Rais TLS, kila mtu alisema hawashindi!! Wakashinda.
Mbowe hauziki, kama umekuja kupima upepo mpe majibu, MBOWE MUST GO kwa afya ya CHADEMA na mustakabali wa nchi.
Lissu atashinda ,mapema sana , Mbowe mwenyewe atampigia lissu kura, jichanganye , hamjui duniaUkweli ni kwamba Mbowe atashinda. Si kwasababu anakubalika sana na WanaCHADEMA hapana, ila ni kwasababu mirija ya chakula ya wajumbe walio wengi imefungamanishwa naye. Hivyo akishindwa kula yao ita-stop abruptly. CHADEMA ya sasa ipo chini ya Mbowe na washirika wake.
Lissu atashindwa uchaguzi huu si kwasababu hakubaliki na WanaCHADEMA hapana. Ila ni kwasababu wanaomuunga mkono wengi (jamii) hawana haki ya kupiga kura kwenye mkutano mkuu.
Lakini ukweli utabaki pale pale. Mbowe atashinda kwa minority (wajumbe) ila majority (WanaCHADEMA) wanamtaka Lissu. Kwahiyo Mbowe atapoteza kundi kubwa sana la watu mtaani. Na CCM next general election njia ni nyeupeeee...!
Mbowe akishinda atawarudisha wale Covid-19 kwamba waje wakipe chama nguvu ila haitasaidia kitu.
Nb. Watz wa leo siyo wa jana. Hivyo endelea kusukuma kete Kwa tahadhari kubwa Sana.