Hii ndo tathimini kuelekea January 22 katika uchaguzi wa kumpata Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Hii ndo tathimini kuelekea January 22 katika uchaguzi wa kumpata Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Hicho ndicho walichopanga siku ile Mbowe alipotolewa gerezani, wamtengezee Samia njia nyeupe bila kujali waTanzania wanataka nini... Anyway, hata akishindwa huko mbeleni ni kiza kinene juu ya uongozi wa huyu mama. Watanzania tunaogopa sana sijui kama nchi itapigwa mnada tena kwa waaarabu au kwa akina south Korea? Kuuza mali za nchi ni kitu ambacho wengi wetu hatutaki na akitokea mtu akaifanya hii sera ya chama chake, atapata wafuasi wengi na ndio maana hata Mwabukusi alieleweka kirahisi sana kwenye ile kesi ya bandari
Una ushahidi wa uhakika?Mali zipi za nchi zimeuzwa?kauziwa nani?

Mnapiga kelele kwenye mitandao tu, Field kazi hamuwezi,nchi haiongozwi tokea mitandaoni

Mama anaupiga Mwingi,nchi inasonga
 
ukweli ni kwamba TAL hawezi kushinda, Ccm kupitia tiss imepandikiza mamluki wengi Sana kule Chadema. mamluki hao watampigia kura mbowe. MboWe amekuwa akipewa pesa nyingi za ufadhili kutoka Ccm.
Una ushahidi wa unayoyaongea,au ni stori za vijiweni
 
Ukweli ni kwamba Mbowe atashinda. Si kwasababu anakubalika sana na WanaCHADEMA hapana, ila ni kwasababu mirija ya chakula ya wajumbe walio wengi imefungamanishwa naye. Hivyo akishindwa kula yao ita-stop abruptly. CHADEMA ya sasa ipo chini ya Mbowe na washirika wake.

Lissu atashindwa uchaguzi huu si kwasababu hakubaliki na WanaCHADEMA hapana. Ila ni kwasababu wanaomuunga mkono wengi (jamii) hawana haki ya kupiga kura kwenye mkutano mkuu.

Lakini ukweli utabaki pale pale. Mbowe atashinda kwa minority (wajumbe) ila majority (WanaCHADEMA) wanamtaka Lissu. Kwahiyo Mbowe atapoteza kundi kubwa sana la watu mtaani. Na CCM next general election njia ni nyeupeeee...!

Mbowe akishinda atawarudisha wale Covid-19 kwamba waje wakipe chama nguvu ila haitasaidia kitu.

Nb. Watz wa leo siyo wa jana. Hivyo endelea kusukuma kete Kwa tahadhari kubwa Sana.
Siasa ya Dunia ya sasa ni pesa,sio kukomaa wakati una njaa,hamuoni USA,Trump,angekua dhaifu mnadhani angetoboa pale
 
Una ushahidi wa uhakika?Mali zipi za nchi zimeuzwa?kauziwa nani?

Mnapiga kelele kwenye mitandao tu, Field kazi hamuwezi,nchi haiongozwi tokea mitandaoni

Mama anaupiga Mwingi,nchi inasonga
Mwabukusi alikuwa anashitakia nini kule Mbeya? Tuanzie hapo kwanza. Na ile carbon offsetting uliisikia au ulihadithiwa au labda huijui?Acheni kushabikia mambo ya kijinga unless kama hamuna watoto wa kuwaachia urithi huko mbeleni.
 
Mwabukusi alikuwa anashitakia nini kule Mbeya? Tuanzie hapo kwanza. Na ile carbon offsetting uliisikia au ulihadithiwa au labda huijui?Acheni kushabikia mambo ya kijinga unless kama hamuna watoto wa kuwaachia urithi huko mbeleni.
Hao ni wapiga kelele,wana wa blackmail ili muwaone wapambanaji muwaunge mkono,huyo nae kalamba asali kitambo kama hamjui😀

Ukiambiwa toa ushahidi wa rasilimali iliyouzwa kutoka wapi kwenda wapi,kiasi gani
Utabaki unaki gugumizi
 
Hao ni wapiga kelele,wana wa blackmail ili muwaone wapambanaji muwaunge mkono,huyo nae kalamba asali kitambo kama hamjui😀

Ukiambiwa toa ushahidi wa rasilimali iliyouzwa kutoka wapi kwenda wapi,kiasi gani
Utabaki unaki gugumizi
wewe ndugu yangu, kama ua access, iweke mikataba hiyo mezani wazi watu waione kama hujakimbia. Swali ni je, mikataba ya bandari ipo au haipo, mikataba Carbon offseeting ipo au haipo? jibyu swali, mikataba ya ki chief mangungo ipo au haipo? Umekaa tu kusema tioa ushahidi. Nina wasiswasi na uelewa wako wa mambo au labda mpaka uambie au uhadithiwe ni nini kinaendelea. Anyway , karibu kundini utetee rasimali za wajukuu zako. ni hilo tu.
 
wewe ndugu yangu, kama ua access, iweke mikataba hiyo mezani wazi watu waione kama hujakimbia. Swali ni je, mikataba ya bandari ipo au haipo, mikataba Carbon offseeting ipo au haipo? jibyu swali, mikataba ya ki chief mangungo ipo au haipo? Umekaa tu kusema tioa ushahidi. Nina wasiswasi na uelewa wako wa mambo au labda mpaka uambie au uhadithiwe ni nini kinaendelea. Anyway , karibu kundini utetee rasimali za wajukuu zako. ni hilo tu.
Nchi haiongozwi kwa kelele za wanaharakati mitandaoni,kuna taratibu na sheria
 
Zitaje taratibu na sheria hizo sio mambo ya jumla jumla, anza na vipengele vyake kwanza.
Miongozo ya nchi haisambazwi ovyo mitandaoni,wengi hampendi nchi yenu mpo bize na wanaharakati ambao mambo yakiharibika wanakimbilia nje

Lisu,Lema familia zao wameziacha nje,wao wamerudi kupiga kelele huku ,bora hata Mbowe alikomaa 😀
 
ukweli ni kwamba TAL hawezi kushinda, Ccm kupitia tiss imepandikiza mamluki wengi Sana kule Chadema. mamluki hao watampigia kura mbowe. MboWe amekuwa akipewa pesa nyingi za ufadhili kutoka Ccm.
Wajumbe wamegundua hilo, kwamba mbowe hafanyi siasa za kweli, anaenda kupigwa chini, kama lilivyopigwa chini pandikizi la serikali kwenye uchaguzi wa TLS, akashinda MWABUKUSI, Aksahinda Fatma Karume, akashinda Lissu.

Lissu mbali ya figisu zote lazima atoboe, nipo hapa utarudi kaniambia majira yakitimia
 
Kwa kiasi kikubwa nakubaliana na wewe. Kitu cha kuongezea ni kuwa CCM na vyombo vya dola vitahakikisha Mbowe anashinda kwa gharama yoyote. Hii ni kwa sababu wameona ni fursa nzuri ya kuiua CHADEMA kuliko wakati mwingine wowote. Nyongeza: uchaguzi ujao Mbowe ataachiwa ashinde baadhi ya majimbo ili bunge liwe na wabunge ambao ni friendly kwa serikali ya Samia. Mbowe yeye hatakuwa na hasara kwa sababu nia yake kubwa ni ruzuku itakayoongezeka.
Hapo kwa kupewa viti vya ubunge nakubaliana na wewe na hata jana kuna uzi nimelisema hili. Kwa mfano akipewa viti 20 mpaka 30 atavuna ruzuki ya kutosha
 
Sema wewe chawa wa mbowe ndiyo humpendi sisi wengine tunampenda.
Halafu mbona humshauri mbowe kuhama? Kwani yeye ndiye alianzisha Chadema? Au ndo tuanze kuamini yale maneno ya saccos ya Mbowe
Kama hujui Chadema ni mali ya nani, siwezi kuweka mjadala na wewe kuhusu Chadema. Sorry!!
 
Miongozo ya nchi haisambazwi ovyo mitandaoni,wengi hampendi nchi yenu mpo bize na wanaharakati ambao mambo yakiharibika wanakimbilia nje

Lisu,Lema familia zao wameziacha nje,wao wamerudi kupiga kelele huku ,bora hata Mbowe alikomaa 😀
Muwe angalau mnatumia hata nusu ya ubongo wenu. Nchi hii ina wachovu wanaodhani mtu kwenda nje ya nchi au kuishi nje ni big deal sana na wanatumia hilo kupiga propaganda za kijinga mno. Ni hivi. Hata kama uko Tanzania na familia yote bado unaweza kutojali na kuharibu na mambo yakiwa mabaya unachukuwa familia yako na kukimbia. Assad wa Syria alikuwa nje au familia yake ilikuwa nje? Wewe undani likitokea la kutokea Mbowe atabaki hapo na familia yake? Samia atabaki? Kinana atabaki? Hawa wote watatimua na waache nyie wachovu mnaoshabikia mambo msiojua hapo mnauana.
 
Unge conclude kwamba ili kuwe na chama chenye nguvu sana cha upinzani, basi Lissu aanzishe chama chake amwachie Mbowe lichama lake. Lakini bahati mbaya sio Lissu wala wafuasi uchwara wake wako tayari kuondoka Chadema iliyojengwa na Mbowe!
Lissu nje ya cdm ama CCM ni bure kabisa katika ulingo wa siasa. Aamue moja tu akishindwa uchaguzi akimbilie sisiemi ama abakie kuwa mwanachama mtiifu huko cdm.
 
Kuna msemo wa Kiingereza unasema, "If you want to know how strong you are, stand alone"! Lissu si ni jembe? Kwanini mnaogopa asianzishe chama chake? Mbona kijana Mondlane wa Msumbiji alijitoa kwenye chama Cha RENAMO akaanzisha cha kwake na sasa yupo anakiwasha huko? Ni udhaifu mkubwa kung'ang'ania kukaa na wasiokupenda halafu unajiita una msimamo!!!
Unafikiri msajili wa vyama atakipa usajili chama ambacho kinakwenda kuiketea changamoto CCM?
 
Ukweli ni kwamba Mbowe atashinda. Si kwasababu anakubalika sana na WanaCHADEMA hapana, ila ni kwasababu mirija ya chakula ya wajumbe walio wengi imefungamanishwa naye. Hivyo akishindwa kula yao ita-stop abruptly. CHADEMA ya sasa ipo chini ya Mbowe na washirika wake.

Lissu atashindwa uchaguzi huu si kwasababu hakubaliki na WanaCHADEMA hapana. Ila ni kwasababu wanaomuunga mkono wengi (jamii) hawana haki ya kupiga kura kwenye mkutano mkuu.

Lakini ukweli utabaki pale pale. Mbowe atashinda kwa minority (wajumbe) ila majority (WanaCHADEMA) wanamtaka Lissu. Kwahiyo Mbowe atapoteza kundi kubwa sana la watu mtaani. Na CCM next general election njia ni nyeupeeee...!

Mbowe akishinda atawarudisha wale Covid-19 kwamba waje wakipe chama nguvu ila haitasaidia kitu.

Nb. Watz wa leo siyo wa jana. Hivyo endelea kusukuma kete Kwa tahadhari kubwa Sana.
Kwamba Wajumbe wengi wanaishi kwa kutegemea Mirija ya Chadema Si kweli, kwanza Chadema haina hela za kuwalipa watu wote hao.

Mnaweza kufanya kampeni zenu vizuri tu bila kutunga uongo
 
Back
Top Bottom