Lissu anakubalika na wana harakati wa nje ya nchi ambao hata hawajawekeza TZ, ndani ya CDM hana nguvu ya kisiasa na ndiyo maana wapambe wake wanakialia hapa kika siku sababu wanaijua nguvu ya Mbowe ndani ya CDM.
Ushindi kwake ni ndoto za mchana - cha msingi aanze kuongea na Zitto mapemaa kabla halijachwea - otherwise mwendo wa siasa kwake ndani ya CDM ushagota.
BOX linakwemda kumfanyizia tena asubuhii.