Hii ndo tathimini kuelekea January 22 katika uchaguzi wa kumpata Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Ndio maana hutakiwi kushabikia wajinga wanaoharibu nchi yao wakimbie nchi
Nyie walala hoi mtapeleka wapi familia zenu?
Love ur nation 😍
 
Hivi chama kinahitaji zaidi wanachama ai wananchi kukiunga mkono?
 
Hacheni mambo ya hovyo ya kutengeneZa image kwamba MBOWE akishanda basi atakuwa kasaidiwa na ccm ukweli nikwamba MBOWE atamshinda lissu kialali kwasababu MBOWE amusika kwa kiasi kikubwa kuweka VIONGOZI kianzia ngazi ya tawi Hadi Kanda wakati lissu aliokuwa nje ya nchi kwahiyo lissu kumshinda MBOWE italuwa ni muugiza kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…