Hii ndoto ilinifanya nikasilimu

Hii ndoto ilinifanya nikasilimu

Sijui, ndiyo maana nikauliza.
Leo:- ndoto hii ndiyo ulifanya nikaslimu.

Juzi:- Aya hii ya kuran ndiyo ilifanya nikaslimu.
Hatui kesho itakutengenezea tukio gani litakalo kufanya uslim tena na uje kutoa Shuhuda.

You either die a hero Or live enough to see yourself become the villain".
Soma vizuri uelewe, kilichonifanya nisilimu ni hiyo ndoto na baada ya kupitia Quran
 
Nafkiri hawatengwi kwa sababu hawajulikani. Wanafanya kwa siri, ila ukijulikana ni kimbembe! Ngoma nagwa! Ngoma tokomile! 😀🤬
suala la ushoga, halina mjadala, ni dhambi. wakristo tupo madhehebu mengi sana, lakin dhehebu pekee lililobariki ushoga ni Anglican, kanisa la Uingereza kwa kifupi. hilo ni dhehebu lenye watu wachache sana duniani. ila madhehebu mengine yoote ya wakristo, hakuna ndoa ya ushoga. ushoga ni dhambi.

lakini ukija kwenye uhalisia wa maisha, angalia hata hapa kwetu tu, sehemu alipo mwarabu kama hakuna ushoga. angalia zanzibar, angalia mombasa na tanga. utapata jibu. angalia hata yule askari shoga wa zanzibar aliyeshitakiwa, mahakama za zanzibar zimesema hana hatia. hivi kweli inakuja kichwani? na leo mtu toka zenji anaweza kuja kusema wakristo wanasapoti ushoga, wala sio wakristo wote, ni kipande kidogo sana cha wakristo, tena semeni tu WAANGLICAN. sio wakristo.
 
Wakuu Nini swali naomba mnieleweshe maana nimeona Kwa mtu wangu WA karibu.

Ni kwanini mtu asiye muislamu akitibiwa na mganga kisha ikaonekana kupona ni ngumu huwa anaambiwa awe muislamu?
jiulize tu, kwanini wao wana dawa za kisuna na kufuga jini kwao sio dhambi kwasababu imani yao inasema kuan majini mazuri na mabaya, yaani wale malaika wachafu ambao Mungu aliwafukuza kwamba ni wachafu, wao wanasema mengine mazuri mengine mabaya, kwahiyo yale mazuri wanayafuga tu. kwa maana nyingine, mungu wao anaexist pamoja na malaika wachafu aliowafukuza, kuna mungu kweli hapo?

wakati upande wetu sisi, tunasema Mungu ni mtakatifu, hachangamani na majini na mashetani, hivyo ni dhambi kuamini kwenye viumbe hao na kushirikiana nao, ndio maana hata dawa za kisuna ni ushirikina uliochangamka.
 
jiulize tu, kwanini wao wana dawa za kisuna na kufuga jini kwao sio dhambi kwasababu imani yao inasema kuan majini mazuri na mabaya, yaani wale malaika wachafu ambao Mungu aliwafukuza kwamba ni wachafu, wao wanasema mengine mazuri mengine mabaya, kwahiyo yale mazuri wanayafuga tu. kwa maana nyingine, mungu wao anaexist pamoja na malaika wachafu aliowafukuza, kuna mungu kweli hapo?

wakati upande wetu sisi, tunasema Mungu ni mtakatifu, hachangamani na majini na mashetani, hivyo ni dhambi kuamini kwenye viumbe hao na kushirikiana nao, ndio maana hata dawa za kisuna ni ushirikina uliochangamka.
[emoji120]
 
Ukisoma Quran utagundua manabii wote kuanzia Adam,Ibrahim,Mussa, Suleiman,Yakub,Issa na wengine wote walikuwa waislam.
Adma ndie muislam wa kwanza
hiyo ni imani yako, na kwa mujibu wa kitabu chako. sisi wenye dini zingine huwa tunaamini imani yako ni imani potofu na yote yaliyoandikwa humo yaliandikwa purposefully ili kupindua kile kilichomo kwenye Biblia takatifu. Mood alikuja kubadili kilichopo kwenye Bible na chote alichoandika ni uongo, hakijathibitika kama vile vilivyoko kwenye Biblia.
 
Ukisoma Quran utagundua manabii wote kuanzia Adam,Ibrahim,Mussa, Suleiman,Yakub,Issa na wengine wote walikuwa waislam.
Adma ndie muislam wa kwanza
hiyo ni imani yako, na kwa mujibu wa kitabu chako. sisi wenye dini zingine huwa tunaamini imani yako ni imani potofu na yote yaliyoandikwa humo yaliandikwa purposefully ili kupindua kile kilichomo kwenye Biblia takatifu. Mood alikuja kubadili kilichopo kwenye Bible na chote alichoandika ni uongo, hakijathibitika kama vile vilivyoko kwenye Biblia.
 
True story: Tea time,

Nilizaliwa katika ukristo na kukulia kwenye ukristo.

Mwaka Jana nilihamia Tanga kikazi, mtaa niliokuwa Ninaishi ulikuwa una waislam tupu. nyumba nliyokuwa Ninaishi ilikuwa jirani na msikiti, Kila siku pale msikitini walikuwa wanaimba aya za Quran Usiku kucha. Sijui kwanini lakini Ile sauti ilikuwa ni nzuri sana masikioni na ilinifanya nikawa najisikia amani sana nilalapo.

Mwaka huu mwezi fulan nikiwa nimelala, nikaota ndoto ya ajabu iliyonifaonya nisilimu wiki hiyo.
Ndoto yenyewe ilikuwa hivi:

Niliota Mimi na kaka yangu wa Arusha tukitembea maeneo ya mtaani kwetu hapo Tanga. Tukakutana na kundi kubwa la watu wa Kila aina matajiri kwa masikini wakiingia katika ule msikiti jirani.
Pamoja na tofauti zao za kiuchumi lakini wote waliingia ndani katika ule msikiti na kuwa kama kitu kimoja. Hakukuwa na madaraja mule ndani, hakukuwa na mabenchi ila wote waliingia kama watoto wadogo wakijisalimisha kwa Muumba wao. Ni kama vile pesa,vyeo,umaarufu waliviacha nje ya msikiti.

Nikapita jirani nikasikia ndani Quran inasomwa na wote wakistaajabu maajabu ya hiki kitabu kilichoandikwa Karne nyingi zilizopita.

Nikapita kwa pembeni nikielekea zangu nyumbani, ila kwa nje nkakutana na mtu akawa ananialika tuingie kuswali, nikakataa kwa visingizio vingi kama vile Nawahi sehemu,sijui kuswali,siku nyingine nk. Nk.

Lakini yule mtu akanisisitiza na kuniambia kuwa nikiingia Mungu atanitoa gizani na kuniweka kwenye njia ya haki.

Mi nkaondoka lakini nkamuacha kaka angu akiongea na yule mtu. Ndoto ikaishia hapo.

Kaka angu niliokuwa sijawasiliana naye takriban wiki 3 na sikumwambia kuhusu hiyo ndoto,lakini wiki hiyo hiyo nilisikia kuwa kaka angu wa Arusha amesilimu.

Kiukweli nilistaajabu sana na kujiuliza ni nini hiki na maana yake nini?

Baada ya Tafakuri ya mda mrefu niliamua kwenda kwenye huo msikiti labda nitakutana na yule mtu wa ndotoni na hiyo ndiyo ikawa njia iliyonipelekea kurudi kwenye uislam(Kila mtu huzaliwa muislam).

Katika kumtafuta yule mtu Kuna shehe nilimsimulia, akaamua kuchukua jukumu la kunifunza na kunielezea maajabu ya Quran na kiukweli Ile ndoto + maajabu ya Quran ilinifanya nikasilimu.
Bado naendelea kujifunza mengi mapya katika hii Imani ya kweli na haki.
Allahu akbar.

PS: yule mtu Bado sijampata
PS #2: Braza wa Arusha anajua namimi nimesilimu lakini sijamuhadithia kuhusu Ile ndoto.
Kila mtu huzaliwa muislamu?mimi nimezaliwa myahudi
 
True story: Tea time,

Nilizaliwa katika ukristo na kukulia kwenye ukristo.

Mwaka Jana nilihamia Tanga kikazi, mtaa niliokuwa Ninaishi ulikuwa una waislam tupu. nyumba nliyokuwa Ninaishi ilikuwa jirani na msikiti, Kila siku pale msikitini walikuwa wanaimba aya za Quran Usiku kucha. Sijui kwanini lakini Ile sauti ilikuwa ni nzuri sana masikioni na ilinifanya nikawa najisikia amani sana nilalapo.

Mwaka huu mwezi fulan nikiwa nimelala, nikaota ndoto ya ajabu iliyonifaonya nisilimu wiki hiyo.
Ndoto yenyewe ilikuwa hivi:

Niliota Mimi na kaka yangu wa Arusha tukitembea maeneo ya mtaani kwetu hapo Tanga. Tukakutana na kundi kubwa la watu wa Kila aina matajiri kwa masikini wakiingia katika ule msikiti jirani.
Pamoja na tofauti zao za kiuchumi lakini wote waliingia ndani katika ule msikiti na kuwa kama kitu kimoja. Hakukuwa na madaraja mule ndani, hakukuwa na mabenchi ila wote waliingia kama watoto wadogo wakijisalimisha kwa Muumba wao. Ni kama vile pesa,vyeo,umaarufu waliviacha nje ya msikiti.

Nikapita jirani nikasikia ndani Quran inasomwa na wote wakistaajabu maajabu ya hiki kitabu kilichoandikwa Karne nyingi zilizopita.

Nikapita kwa pembeni nikielekea zangu nyumbani, ila kwa nje nkakutana na mtu akawa ananialika tuingie kuswali, nikakataa kwa visingizio vingi kama vile Nawahi sehemu,sijui kuswali,siku nyingine nk. Nk.

Lakini yule mtu akanisisitiza na kuniambia kuwa nikiingia Mungu atanitoa gizani na kuniweka kwenye njia ya haki.

Mi nkaondoka lakini nkamuacha kaka angu akiongea na yule mtu. Ndoto ikaishia hapo.

Kaka angu niliokuwa sijawasiliana naye takriban wiki 3 na sikumwambia kuhusu hiyo ndoto,lakini wiki hiyo hiyo nilisikia kuwa kaka angu wa Arusha amesilimu.

Kiukweli nilistaajabu sana na kujiuliza ni nini hiki na maana yake nini?

Baada ya Tafakuri ya mda mrefu niliamua kwenda kwenye huo msikiti labda nitakutana na yule mtu wa ndotoni na hiyo ndiyo ikawa njia iliyonipelekea kurudi kwenye uislam(Kila mtu huzaliwa muislam).

Katika kumtafuta yule mtu Kuna shehe nilimsimulia, akaamua kuchukua jukumu la kunifunza na kunielezea maajabu ya Quran na kiukweli Ile ndoto + maajabu ya Quran ilinifanya nikasilimu.
Bado naendelea kujifunza mengi mapya katika hii Imani ya kweli na haki.
Allahu akbar.

PS: yule mtu Bado sijampata
PS #2: Braza wa Arusha anajua namimi nimesilimu lakini sijamuhadithia kuhusu Ile ndoto.
We ndoto ya siku Moja tu unahama dini, at least ingejirudia mara tatu, then uombe Dua kwa Mungu uloyekua unamwamini, then ufanye uamuzi.ujue pia ndoto zinaweza kutokana na Mungu, mazingira au shetani
 
Kila mtu huzaliwa muislamu?mimi nimezaliwa myahudi
mi sikuzaliwa muislam na kamwe siwezi kuwa muislam. mnasemaje kila mtu anazaliwa muislam wakati uislam umekuja juzi tu hapa, haukuwepo zamani? 500 years baada ya Yesu? na ulikuwa wakati Biblia imeshaandikwa, mtume wenu alitakiwa kusoma Biblia kabla, au kuna sehemu yeyote kwenye kitabu chenu alisema alisoma Biblia walau ajue nini maana ya Mungu?
 
Uislam ndiyo dini bora kwa binadamu.
Kuna hikma nyingi sana katika maswala ya kibinadamu kama ndoa,mirathi,mazishi nk.

west saivi Kuna crisis ya ndoa, ndoa nyingi zinavunjika wanawake hawashikiki, mambo ya haki sawa na Ushoga umetamalaki.

solution ya yote haya ni uislam
Ungekua na hekma usingeweka prof ya vuzi,wewe bado kafri
 
Hii itakua uongo lakini hata ikiwa kweli haiwezi kubadili Imani yetu maana sisi wakristo tunaye kiongozi mmoja tu hapa duniani ambayo ni Yesu kristo
Yesu hayupo duniani, ameshafariki
 
Back
Top Bottom