KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Hiyo haifanyi wasiwe kwenye Sub Sahara
Usijitie sana ujuaji, nimesema South Afrika nimeitoa sababu inatofautiana sana na nchi za Sub Sahara, kiuchumi na kimaendeleo sababu ya influence ya wazungu