Hii ni aibu kubwa kwetu Waafrika, Yaani nchi 50 kutoa club moja ya Simba

Hii ni aibu kubwa kwetu Waafrika, Yaani nchi 50 kutoa club moja ya Simba

Katika mashindano ya CAF Champions League zinaenda timu 8 robo fainali ila cha ajabu kati ya timu hizo timu 1 tu ndio inatoka Sub Sahara Africa, Simba Sports Club

Yaani nchi 50 za Sub Sahara zimeshindwa kutoa timu zaidi ya Simba kwenda robo fainali,

Zambia, Malawi, Nigeria, DRC, Gabon, Sudan, Zimbabwe, Ghana, Togo, Ivory Coast, Senegal, Guinea, Gambia, Cameroon, Burkina Faso, Uganda, Kenya, Burundi, Mali....n.k duh nchi nyingi sana zote ni 0?

Najua kuna watakaosema kuhusu Mamelodi, lakini Mamelodi ni ya South Afrika ambao haihechukuliwi kama Sub Sahara kutokana na influence ya makaburu kiuchumi,

HII NI AIBU KWA WAAFRIKA
Bangi haikupendi, CAF ni Africa.
 
Katika mashindano ya CAF Champions League zinaenda timu 8 robo fainali ila cha ajabu kati ya timu hizo timu 1 tu ndio inatoka Sub Sahara Africa, Simba Sports Club

Yaani nchi 50 za Sub Sahara zimeshindwa kutoa timu zaidi ya Simba kwenda robo fainali,

Zambia, Malawi, Nigeria, DRC, Gabon, Sudan, Zimbabwe, Ghana, Togo, Ivory Coast, Senegal, Guinea, Gambia, Cameroon, Burkina Faso, Uganda, Kenya, Burundi, Mali....n.k duh nchi nyingi sana zote ni 0?

Najua kuna watakaosema kuhusu Mamelodi, lakini Mamelodi ni ya South Afrika ambao haihechukuliwi kama Sub Sahara kutokana na influence ya makaburu kiuchumi,

HII NI AIBU KWA WAAFRIKA
Sahara maana yake jangwa, kiarabu,sub Saharan Africa ni nchi zisizo waarabu za afrika
 
Katika mashindano ya CAF Champions League zinaenda timu 8 robo fainali ila cha ajabu kati ya timu hizo timu 1 tu ndio inatoka Sub Sahara Africa, Simba Sports Club

Yaani nchi 50 za Sub Sahara zimeshindwa kutoa timu zaidi ya Simba kwenda robo fainali,

Zambia, Malawi, Nigeria, DRC, Gabon, Sudan, Zimbabwe, Ghana, Togo, Ivory Coast, Senegal, Guinea, Gambia, Cameroon, Burkina Faso, Uganda, Kenya, Burundi, Mali....n.k duh nchi nyingi sana zote ni 0?

Najua kuna watakaosema kuhusu Mamelodi, lakini Mamelodi ni ya South Afrika ambao haihechukuliwi kama Sub Sahara kutokana na influence ya makaburu kiuchumi,

HII NI AIBU KWA WAAFRIKA
Wavunje na hii rekodi kama wanaweza
 
Kama haujui kitu bora ukae kimya mkuu, sub Saharan Africa ni nchi zote ambazo zipo chini ya North Africa, Saharan desert ndo inatumika kama boundary ya North Africa, na sub Saharan Africa
 
Africa nzima ina nchi kama 55 ukiweka na Zanzibari , ukitoa zile 4 za kiarabu na South zinabaki kama 50
Za kiarab ziko nne tu ee! Libya, Morocco, Algeria, Egypt, Tunisia....
 
Maana halisi ya Sub Saharan Country inayotumika hasa kiuchumi, South Africa haimo. Sub Saharan Africa inakusudiwa countries with economic disadvantages compared to west. Maana halisi sio nchi za kusini mwa Jangwa la Sahara kama ujuavyo. Same Japan, iko kundi la west ingawa haipo west.
We jamaa bwana, sasa hapa watu wanaongelea uchumi au wanaongelea jiografia? Kijiografia South Africa nayo ni moja ya nchi ya sub Saharan Africa, na maana halisi ya sub Saharan Africa ni nchi ambazo zinapatikana chini ya jangwa la Sahara

Sasa Kwa sababu nchi nyingi ambazo zipo chini ya jangwa la Sahara ni maskini ndo huwa inakuja hiyo concept ya Ku generalize kuwa sub Saharan Africa ni countries with economic dis advantages though kuna nchi kama Nigeria huwa sometimes inaongoza hata Kwa GDP kumzidi south Africa.View attachment 2576764
Screenshot_20230405-011322.jpg
 
Maana halisi ya Sub Saharan Country inayotumika hasa kiuchumi, South Africa haimo. Sub Saharan Africa inakusudiwa countries with economic disadvantages compared to west. Maana halisi sio nchi za kusini mwa Jangwa la Sahara kama ujuavyo. Same Japan, iko kundi la west ingawa haipo west.
Labda siku hizi maana sijafuatilia.
Lakini zamani walikuwa wanasema " Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara ukiiondoa Afrika Kusini"

Maana yake Afrika Kusini ipo eneo la Kusini mwa Jangwa la Sahara, inaondolewa ili isiharibu graph tu.
 
Wenzetu wachezaji wao wote wanacheza Europa huku yanabaki magarasa tu ngoja ukutane nao national team hao ndio utaelewa ninachokwambia watu wanawekeze soka la national team nyie mnawekeza kwenye vilabu.
 
Back
Top Bottom