Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,728
- 4,545
Bangi haikupendi, CAF ni Africa.Katika mashindano ya CAF Champions League zinaenda timu 8 robo fainali ila cha ajabu kati ya timu hizo timu 1 tu ndio inatoka Sub Sahara Africa, Simba Sports Club
Yaani nchi 50 za Sub Sahara zimeshindwa kutoa timu zaidi ya Simba kwenda robo fainali,
Zambia, Malawi, Nigeria, DRC, Gabon, Sudan, Zimbabwe, Ghana, Togo, Ivory Coast, Senegal, Guinea, Gambia, Cameroon, Burkina Faso, Uganda, Kenya, Burundi, Mali....n.k duh nchi nyingi sana zote ni 0?
Najua kuna watakaosema kuhusu Mamelodi, lakini Mamelodi ni ya South Afrika ambao haihechukuliwi kama Sub Sahara kutokana na influence ya makaburu kiuchumi,
HII NI AIBU KWA WAAFRIKA
Sahara maana yake jangwa, kiarabu,sub Saharan Africa ni nchi zisizo waarabu za afrikaKatika mashindano ya CAF Champions League zinaenda timu 8 robo fainali ila cha ajabu kati ya timu hizo timu 1 tu ndio inatoka Sub Sahara Africa, Simba Sports Club
Yaani nchi 50 za Sub Sahara zimeshindwa kutoa timu zaidi ya Simba kwenda robo fainali,
Zambia, Malawi, Nigeria, DRC, Gabon, Sudan, Zimbabwe, Ghana, Togo, Ivory Coast, Senegal, Guinea, Gambia, Cameroon, Burkina Faso, Uganda, Kenya, Burundi, Mali....n.k duh nchi nyingi sana zote ni 0?
Najua kuna watakaosema kuhusu Mamelodi, lakini Mamelodi ni ya South Afrika ambao haihechukuliwi kama Sub Sahara kutokana na influence ya makaburu kiuchumi,
HII NI AIBU KWA WAAFRIKA
Wavunje na hii rekodi kama wanawezaKatika mashindano ya CAF Champions League zinaenda timu 8 robo fainali ila cha ajabu kati ya timu hizo timu 1 tu ndio inatoka Sub Sahara Africa, Simba Sports Club
Yaani nchi 50 za Sub Sahara zimeshindwa kutoa timu zaidi ya Simba kwenda robo fainali,
Zambia, Malawi, Nigeria, DRC, Gabon, Sudan, Zimbabwe, Ghana, Togo, Ivory Coast, Senegal, Guinea, Gambia, Cameroon, Burkina Faso, Uganda, Kenya, Burundi, Mali....n.k duh nchi nyingi sana zote ni 0?
Najua kuna watakaosema kuhusu Mamelodi, lakini Mamelodi ni ya South Afrika ambao haihechukuliwi kama Sub Sahara kutokana na influence ya makaburu kiuchumi,
HII NI AIBU KWA WAAFRIKA
Za kiarab ziko nne tu ee! Libya, Morocco, Algeria, Egypt, Tunisia....Africa nzima ina nchi kama 55 ukiweka na Zanzibari , ukitoa zile 4 za kiarabu na South zinabaki kama 50
We jamaa bwana, sasa hapa watu wanaongelea uchumi au wanaongelea jiografia? Kijiografia South Africa nayo ni moja ya nchi ya sub Saharan Africa, na maana halisi ya sub Saharan Africa ni nchi ambazo zinapatikana chini ya jangwa la SaharaMaana halisi ya Sub Saharan Country inayotumika hasa kiuchumi, South Africa haimo. Sub Saharan Africa inakusudiwa countries with economic disadvantages compared to west. Maana halisi sio nchi za kusini mwa Jangwa la Sahara kama ujuavyo. Same Japan, iko kundi la west ingawa haipo west.
Labda siku hizi maana sijafuatilia.Maana halisi ya Sub Saharan Country inayotumika hasa kiuchumi, South Africa haimo. Sub Saharan Africa inakusudiwa countries with economic disadvantages compared to west. Maana halisi sio nchi za kusini mwa Jangwa la Sahara kama ujuavyo. Same Japan, iko kundi la west ingawa haipo west.