Hauwazi na unaanzisha Mada?Mitabia yao ya pepo wachafu, mbona wengine hatuwazi hivyo??
πΉπΉπΉ Huyo muongo bana ni tamaa za binadamu kutaka kujaribu kila kitu.Kwamba majini ndio yanatusukuma kuombaπ
Wapi nimeanzisha mada?? Emu tulia basi naingia nakuta notification zako labella labella unanidai??Hauwazi na unaanzisha Mada?
Dislike na hiiπΉπΉπΉ Huyo muongo bana ni tamaa za binadamu kutaka kujaribu kila kitu.
We hautaki kuchokozwa madam!?Wapi nimeanzisha mada?? Emu tulia basi naingia nakuta notification zako labella labella unanidai??
πππ Nimechoka kuchokozwa na majiniWe hautaki kuchokozwa madam!?
Ingawa kuna vitu tunafanya kwa msukumo wa nguvu nje ya sisi lakini majini kama yapo kweli hayawezi kukusukima kufanya kama mleta mada alivyo sema.πΉπΉπΉ Huyo muongo bana ni tamaa za binadamu kutaka kujaribu kila kitu.
Usikute we mwenyewe jiniππππππππ Nimechoka kuchokozwa na majini
Daah!Usikute we mwenyewe jiniπππππ
Wanayasingizia majini kaka, binadamu wana roho za tamaa tyuu.!!Ingawa kuna vitu tunafanya kwa msukumo wa nguvu nje ya sisi lakini majini kama yapo kweli hayawezi kukusukima kufanya kama mleta mada alivyo sema.
Inawezekana mkuu kwa namna yake.Ingawa kuna vitu tunafanya kwa msukumo wa nguvu nje ya sisi lakini majini kama yapo kweli hayawezi kukusukima kufanya kama mleta mada alivyo sema.
πΉπΉπΉ itakuwa ndiomana binadamu wananichokoza ili wanisingizie baadaeUsikute we mwenyewe jiniπππππ
Hamna wamechoshwa na wewe kuwashawishi uwaache aisee wamechoshwa.πππππΉπΉπΉ itakuwa ndiomana binadamu wananichokoza ili wanisingizie baadae
Majini ya mchongo hayo bro, hamna jini linalopenda ndogo aisieeInawezekana mkuu kwa namna yake.
ππππMleta mada ana hoja asikilizwe.
πΉπΉπΉ Hawajachosha mbona hawalalamiki wakibakwa, wamebakwa na majini??Hamna wamechoshwa na wewe kuwashawishi uwaache aisee wamechoshwa.ππππ
Sema tuna roho za tamaa! Wewe unajitoaπWanayasingizia majini kaka, binadamu wana roho za tamaa tyuu.!!
Yapo ya kutengenezwa pia yapo machafu kaka.Majini ya mchongo hayo bro, hamna jini linalopenda ndogo aisiee