Hii ni ngome ya underground Yenye uwanja wa ndege chini ya Ardhi ya Jeshi la iran.

Hii ni ngome ya underground Yenye uwanja wa ndege chini ya Ardhi ya Jeshi la iran.

Inaonesha una kifunza cha mkund........ kinakuwasha.
Sema tuje tukukune.
Umeanza matusi mvaa kobazi nenda kafukue ndugu zako katika imani wamefukiwa na vifusi kule,

Sweden vipi anaruhusiwa kutoa msaada?
 
Tatizo la warabu hawana vifuaa.


Wana expose sana mambo Yao.


Hapo Israel atachofanya, analipia mahandaki yote yenye hizo Ndege na makombora.


Alafu Ndo anaaza kuwachapa
 
Nyie mnaobishana sio wa Israel wala wa Iran, Tanzania ina watu wa Pumbavu sana
yaani jamaa alivyojibu kana kwamba ndio mkuu wa jeshi la IRAN!!wabongo bnana ya kwao ambayo ndio hatima ya maisha yao hawana habari nayo ila nje utawaua!!
 
Sio rahisi kama unavyo fikiri.
Unacheza na Israel?.

Ukifatiloa sanaz utakuta hata Muhandisi wahiyo Base, ni agent wa Israel kutokea Urusiz mwenye Urai wa Brazil ,aliyeishi China , baadaae akahamia Iraq .

Waisrael wasikie
 
Unacheza na Israel?.

Ukifatiloa sanaz utakuta hata Muhandisi wahiyo Base, ni agent wa Israel kutokea Urusiz mwenye Urai wa Brazil ,aliyeishi China , baadaae akahamia Iraq .

Waisrael wasikie
Haaaaaaa mkuu acha mambo ya story za kusadikika, hizo ni story ambazo tulikuwa tunasimuliana tukiwa darasa la tano.

Ni kweli Israel ina uwezo lakini si kwa kiasi hicho unacho kiongelea ww na wala Iran si wazembe kiasi hicho.

Mm nadhani ungerudi kwenye jukwaa la mapenzi ili uwafundishe vijana jinsi ya kuteka mioyo ya mademu au urudi kwenye jukwaa la siasa kuanzisha nyuzi za kumtukuza jewe labda hilo ndo unalo liweza huku kwenye medan ya military waachie wanao jua.
 
Iran imeonyesha pic
FoXQOJUWcAAdlDi

FoXQOJTWcAUtP-3


FoXQOJUXsAIucnp


FoXQOJTWcAQmBJd

picha za Uwanja wa ndege wa chini ya ardhi .
Ase
 
Chini ya ardhi ndege inafanya nini cha maana?
 
Apeleke kikosi cha uokoaji na misaada ya kibinadamu Uturuki aache show za kijinga kipindi hiki cha majanga.
Ujinga ni mzigo...

Taarifa kutoka BBC, Al-Jazeera, CNN wametoa orodha ya mataifa zaidi ya 60 yaliyopeleka msaada huko Turkey.

Iran amepeleka kikosi cha wanajeshi waokoaji, madaktari pamoja na vifaa tiba.

Acheni kujazwa upepo..

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Ni utaahira kubisha kitu ambacho hukijui. Haya leta facts zako kwamba huo uwanja haupo
Ni utahira vilevile kutukana kisa kutofautiana mawazo, basi nawe leta facts ni Kwa vipi uwanja wa ndege ukawa chini ya ardhi?
 
Back
Top Bottom