ulimi waupanga
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 493
- 1,223
Ukilipua mdomo hizo ndege zinatoka vipi sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi hata kuipiga Tanzania, akapige wagambo huko.🤣🤣🤣🤣🤣🤣Israel haiwezi kuipiga Iran labda endapo atatumia Nuklia.
Wamekuwa mashabiki maandazi na sasa wanakaribia kuwa mashabiki vitafunwa.Uwakute wanabishania simba na yanga, utachacha.Hujui huyu mkubwa huyu mdogo.wapumbavu sana.yaani jamaa alivyojibu kana kwamba ndio mkuu wa jeshi la IRAN!!wabongo bnana ya kwao ambayo ndio hatima ya maisha yao hawana habari nayo ila nje utawaua!!
umejuaje kama ni ujinga? na umejihakiki vipi kama hawezi kumpiga?Acha kujidaganya kuwa Israel anaweza kumpiga Iran, ondoa huo ujinga kichwani.
Iran imeonyesha pic![]()
![]()
![]()
![]()
picha za Uwanja wa ndege wa chini ya ardhi .
Hilo ni chimbo. Inachomoka kusiko julikana na kutoa dozi kisha inarudi huko mafichoni.Chini ya ardhi ndege inafanya nini cha maana?
Lazima uwe na midomo backup mzee. Unaweka matoleo mengi. Wakilipua A nyuma geuka unageukia BUkilipua mdomo hizo ndege zinatoka vipi sasa?
Iran sio mwarabu,,,,,,...............ndo maana ni kichomi kwa wamagharibi........Persia inajulikana tokea enzi hizo ni watataTatizo la warabu hawana vifuaa.
Wana expose sana mambo Yao.
Hapo Israel atachofanya, analipia mahandaki yote yenye hizo Ndege na makombora.
Alafu Ndo anaaza kuwachapa
Wangekua na nguvu kiasi hiko basi leo Iran angekua majivuUnacheza na Israel?.
Ukifatiloa sanaz utakuta hata Muhandisi wahiyo Base, ni agent wa Israel kutokea Urusiz mwenye Urai wa Brazil ,aliyeishi China , baadaae akahamia Iraq .
Waisrael wasikie
Uongo
Afu israel anajipigia tunmaviwanda uko juu
Hii kitu Israel anaijua vizuri sana
Acha kujidaganya kuwa Israel anaweza kumpiga Iran, ondoa huo ujinga kichwani.
Israel haiwezi kuipiga Iran labda endapo atatumia Nuklia.
Tatizo la warabu hawana vifuaa.
Wana expose sana mambo Yao.
Hapo Israel atachofanya, analipia mahandaki yote yenye hizo Ndege na makombora.
Alafu Ndo anaaza kuwachapa
Sio rahisi kama unavyo fikiri.
Haaaaaaa mkuu acha mambo ya story za kusadikika, hizo ni story ambazo tulikuwa tunasimuliana tukiwa darasa la tano.
Ni kweli Israel ina uwezo lakini si kwa kiasi hicho unacho kiongelea ww na wala Iran si wazembe kiasi hicho.
Mm nadhani ungerudi kwenye jukwaa la mapenzi ili uwafundishe vijana jinsi ya kuteka mioyo ya mademu au urudi kwenye jukwaa la siasa kuanzisha nyuzi za kumtukuza jewe labda hilo ndo unalo liweza huku kwenye medan ya military waachie wanao jua.
Bankers zinapigwa vzr sana na Torpedoe Bangalore...
Unapasua mdomo wake .
Hakuna uwanja wa ndegeMkuu huku sio kutofautiana mawazo bali una ubishi usio kuwa na maana.
Ndiyo wanasababisha matetemeko hawa kuchimbachimbaHivi wanawezaje kutengeneza mahandaki makubwa chini ya ardhi vile jamani nasikia yana Mita 1,000 kwenda chini sasa bomu gani hilo la kupiga hadi kufikia hizo ndege
Na we danganyaUongo
Ulishaona ndege zinavokaa kwenye aircraft carrier za mmarekani? Ni zote zinakaa pale juu kwenye deck? Zisizokuwa juu kwenye deck zinafanya nini cha maana?Chini ya ardhi ndege inafanya nini cha maana?