Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Peleka ww Boss yeye hanaApeleke kikosi cha uokoaji na misaada ya kibinadamu Uturuki aache show za kijinga kipindi hiki cha majanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Peleka ww Boss yeye hanaApeleke kikosi cha uokoaji na misaada ya kibinadamu Uturuki aache show za kijinga kipindi hiki cha majanga.
Hapa hawajaongelewa waarabu wameongelewa wa IRANTatizo la warabu hawana vifuaa.
Wana expose sana mambo Yao.
Hapo Israel atachofanya, analipia mahandaki yote yenye hizo Ndege na makombora.
Alafu Ndo anaaza kuwachapa
Ugumu wa maisha unafanya vichaa waongezekeHata bongo tunafanya vizuri hakika. Juhudi za serikali yetu sio za kubeza, Kama ulikuwa hujui makomandoo wetu huko Monduli wanagalagala kwenye matope na kupasua matofari kwa vichwa. Hakika pongezi zote ni kwa serikali ya awamu ya sita ya mama samia suruhu hasani. Hakika mama huyu amefanya mambo mengi sana
OkNa we danganya