Young fadson
JF-Expert Member
- Nov 6, 2017
- 1,177
- 1,406
Shida si kujua alipo, wanajulikana sana tatzo ni jinsi ya kumfikia alipoMods naomba msiuunganishe uzi huu na zingine ili uweze kusaidia wengi.
Wale waokoaji ambao mpo nje ya jengo na mnawasiliana na wahanga waliopo ndani ya jengo, waombeni wahanga email na password za gmail account kisha waambieni wawashe location kwenye simu zao.
Tumieni simu au computer zenu kuingia kwenye web ya FIND MY DEVICE ya google kisha ingiza email na password ya mhanga utaona location mahali alipo kisha utafanya uokoaji. Mimi nipo mkoa wa mbali ila naamini kupitia thread hii nitasaidia wengi. Amen.
Mimi sio mwana ccm nchi yetu ili usikilizwe au uwe na akili lazima uwe mwana ccm kwanza kwa hyo mpaka hapo nishafeli.
umepanic😀😀😀😀Huwezi kupinga wazo la mtu mpuuzi mmoja wewe, unataka wote twende tukainue vifusi kama wendawazimu bila kuwa na mpango mkakati...?
Unadiriki kusema hakuna msaada wowote wa kitaalamu uliotolewa au wote tuwe makuli mbwa mmoja wewe
Kweli kukaa mkoani ni ujinga...yaani eneo halizidi Sqm 2000 utumie Google map?Mods naomba msiuunganishe uzi huu na zingine ili uweze kusaidia wengi.
Wale waokoaji ambao mpo nje ya jengo na mnawasiliana na wahanga waliopo ndani ya jengo, waombeni wahanga email na password za gmail account kisha waambieni wawashe location kwenye simu zao.
Tumieni simu au computer zenu kuingia kwenye web ya FIND MY DEVICE ya google kisha ingiza email na password ya mhanga utaona location mahali alipo kisha utafanya uokoaji. Mimi nipo mkoa wa mbali ila naamini kupitia thread hii nitasaidia wengi. Amen.
For the record, Jengo linamirikiwa na Darasa la saba B, alikusanya darasa lanne wenzake watafute namna ya kuongeza vyumba kwenye basement.Mbeba mizigo mmoja kaokoa watu 5 kwa mbinu za kimtaani kabisa ila mainjinia wasomi na madigrii yao wanashindwa cha kufanya wanashangaa shangaa tu na matumbo yao,wewe nawe na IT yako ya Data Star training collage Mwananyamala unakuja na idea ya kipuuzi kabisa bila kuchanganua kwamba tatizo sio hatujui location shida ni jinsi ya kifika walipo.Msukuma na Dotto Magari wakiwadharau wasomi mnakasirika shwaini kabisa.
Hata wale walioplan na kujenga jengo la Mwendokasi jangwani ni darasa la saba D au sio ndugu msomi😀For the record, Jengo linamirikiwa na Darasa la saba B, alikusanya darasa lanne wenzake watafute namna ya kuongeza vyumba kwenye basement.
Mnaleta tatizo kwa kuzarau taaluma za watu, yakiwafika shingoni mnaanza kulia lia hapa
Hyo ilikuwa kabla habari hazijawafikia wahusika mkuu.Acha unafki umefika eneo la tukio? Wanaookoa ni wananchi wa kawaida kabisa
We MMANG'ATI, ndio umenunua SMATIFONI?Mods naomba msiuunganishe uzi huu na zingine ili uweze kusaidia wengi.
Wale waokoaji ambao mpo nje ya jengo na mnawasiliana na wahanga waliopo ndani ya jengo, waombeni wahanga email na password za gmail account kisha waambieni wawashe location kwenye simu zao.
Tumieni simu au computer zenu kuingia kwenye web ya FIND MY DEVICE ya google kisha ingiza email na password ya mhanga utaona location mahali alipo kisha utafanya uokoaji. Mimi nipo mkoa wa mbali ila naamini kupitia thread hii nitasaidia wengi. Amen.
hatuend mbele sababu mnapenda kupinga ili muonekane mpo , sio wote wanajuwa walipo , yupo mmoja kapost jana anasema hajui halipo kote ni giza , mbinu moja haiez tatua kila kitu , hii pia inaeza saidia kwa wale wasiojuwa wapo upande gan labda kwasababu ya mawengMbeba mizigo mmoja kaokoa watu 5 kwa mbinu za kimtaani kabisa ila mainjinia wasomi na madigrii yao wanashindwa cha kufanya wanashangaa shangaa tu na matumbo yao,wewe nawe na IT yako ya Data Star training collage Mwananyamala unakuja na idea ya kipuuzi kabisa bila kuchanganua kwamba tatizo sio hatujui location shida ni jinsi ya kifika walipo.Msukuma na Dotto Magari wakiwadharau wasomi mnakasirika shwaini kabisa.
Hata wewe pia huna elimu ya long na latitude tuliza mshono hatupingi kufurahisha genge tunapinga kitu tunachokijua.hatuend mbele sababu mnapenda kupinga ili muonekane mpo , sio wote wanajuwa walipo , yupo mmoja kapost jana anasema hajui halipo kote ni giza , mbinu moja haiez tatua kila kitu , hii pia inaeza saidia kwa wale wasiojuwa wapo upande gan labda kwasababu ya maweng