Hii ni shida wanayoipata Wanawake matajiri

Hii ni shida wanayoipata Wanawake matajiri

H
Supar market mnatembea tembea ndani alaf kidume huna pesa.....una panda gari ya demu anaingia shell analipa yeye....

True ukimpata shikamanaa
Haimaanishi usiwe na hela zako, unaweza ukawa na mtonyo freshi ila sio uwe mtu wa kutoboka deile. Binafsi napenda demu ambaye hata yeye anaweza simamia show ikibidi.

Ndio maana vijana mnaoa matapeli sikuhizi kwa sababu mnachukua madem washamba. Demu lazma awe na class aisee. Class sio kuwa pisi kali ila she has to be handling herself well.
 
Kiburi au jeuri kwa mwanamke haitokani na kuwa na pesa pekee au usoni .

Tabia hizo mbaya hutokana na mwanamke mwenyewe na malezi na makuzi yake na imani .

Maana hata maskini hohehahe wanawake wapo wajeuri, viburi n.k.

Mpaka unajiuliza jeuri au jeuri ya Huyu mwanamke inatokana na nini ili hali hana mbele wala nyuma?!

Ni hulka ya mtu na factors mbalimbali.

Umeshawahi sikia “maskini jeuri” ?
 
H
Haimaanishi usiwe na hela zako, unaweza ukawa na mtonyo freshi ila sio uwe mtu wa kutoboka deile. Binafsi napenda demu ambaye hata yeye anaweza simamia show ikibidi.

Ndio maana vijana mnaoa matapeli sikuhizi kwa sababu mnachukua madem washamba. Demu lazma awe na class aisee. Class sio kuwa pisi kali ila she has to be handling herself well.
Kwa Sasa Mimi ni mstaafu kwenye hiyo sector.....
Nakumbukaga zile root za slipway.....Ile juice 2 pale 🥤 ni bei ya Kodi ya pango la mwezi mbagala😂😂😂😂
 
utawala unahitaji nyenzo na pesa ni nyenzo kuu mkeo akiwa nayo zaidi hata iweje kuna mahali utawekwa chini ya himaya na utasalimu amri
True hasa kwa mwanamke mpumbavu,na sio mwenye hekima anaeangalia kesho ya watoto wake kimaadili, hawezi ichukua nafasi ya mwanaume.
Utenganisha ndoa na mali
 
True hasa kwa mwanamke mpumbavu,na sio mwenye hekima anaeangalia kesho ya watoto wake kimaadili, hawezi ichukua nafasi ya mwanaume.
Utenganisha ndoa na mali
KUANDIKA TU CHIEF LAKINI IWEPO HEKIMA ISIWEPO MWANAUME TULIFUKUZWA EDEN TUKASAKE PESA SIO KULA KULA BURE
 
Huyu amejikuta hapa na sasa anatafakari ... Lakini safari yake usikute alitupa wanaume wengi waliokuja kwenye maisha yake. Sasa kila anayejaribu kumsogelea akisoma waraka wa huyu mama anakimbia fasta..... Chochote kinachomtokea mtu ni matokeo ya uchaguzi na maamuzi aliyofanya kabla..
 
Huyu amejikuta hapa na sasa anatafakari ... Lakini safari yake usikute alitupa wanaume wengi waliokuja kwenye maisha yake. Sasa kila anayejaribu kumsogelea akisoma waraka wa huyu mama anakimbia fasta..... Chochote kinachomtokea mtu ni matokeo ya uchaguzi na maamuzi aliyofanya kabla..
Nakazia
 
Achana na hawa wadada ana ka IST na duka la nguo Kinondoni anajiona tajiri. Tajiri anaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule na jiko, anajiona kayapatiiiiiiia.

Ninaongelea wale wenye mega projects, mega investments. Kwa kweli wanaishi maisha ya upweke sana.

Jana nilialikwa na rafiki yangu kwa ajili ya mlo wa usiku. Yeye ni mfanyabiashara mkubwa, ana viwanda vyake vya vipodozi na anauza sehemu mbalimbali duniani.

Alinunua nyumba Oysterbay iliyokuwa ya mheshimiwa mmoja mstaafu (zile nyumba waliuziwa kwa bei chee na Mkapa) akaivunja yote na akajenga nyumba za ndoto yake.

Anacholalamika ni kwamba wanaume wanamuogopa kwa ajili ya pesa zake. Hata akomtongoza mwanaume baada ya muda kidogo mwanaume atapotea.

Akaenda mbali zaidi, akasema wanawake wengi matajiri wamejikuta wakiingia kwenye mapenzi ya jinsia moja lesbianism kwa kukosa watu wa kuwa nao.

Tuliongea mengi sana kwa kweli. Wito wangu kwenu vijana, msiogope ma Range Rover yao, watongozeni tu, nao pia ni watu na wanahitaji wenzi wa kuwa nao maishani.
Vipi kuhusu wewe mkuu, ulijiona unatosha au la!

Vinginevyo PM yangu ipo wazi unaweza kunitumia mawasiliano yake.

Lakini na wewe tambua wanaume hatuoi mke sabab ya pesa. Hatuoi pesa au nyumba wala Range Rover. Tunaoa mke, nadhani unaelewa namaanisha kama kweli wewe ni mwanaume kamili
 
Vipi kuhusu wewe mkuu, ulijiona unatosha au la!

Vinginevyo PM yangu ipo wazi unaweza kunitumia mawasiliano yake.

Lakini na wewe tambua wanaume hatuoi mke sabab ya pesa. Hatuoi pesa au nyumba wala Range Rover. Tunaoa mke, nadhani unaelewa namaanisha kama kweli wewe ni mwanaume kamili
MWANAMKE lazima awe mtiifu Kwa mumewe japo Kuna wanaume wenzangu yaan ni very Stubborn....

Namshaur buji buji kama Hana interest nae akupe namba.....😊😊
 
Shida yao kubwa ni kuwa wanatoa papuchi tu wakiwa na nyeg.e
Wewe ukitaka anakunyima , nani anataka upumbavu huo [emoji849]
 
Naona umejib Kwa heruf kubwa..kabisa kuonyesha msisitizo😊🌝😊😂😂
vi mario vinakera kutetea upuuzi ili vieleweke kulelewa ni kawaida mwanaume alievumilia kutolewa go.i unakulaje vitu vya mwanamke rti awe na hekima hekima my foot. wanaume tufanye kazi tuwe na sauti otherwise kufi..nje nje
 
Kweli kudate na mwanamke anayekuzidi kipato Ni nongwa Sana.

Mwanzoni atakutreat Vizuri Sana ila mkishafunga ndoa Hakuna rangi utakosa kuiona kwake.

Itafika siku akwambie utoke nje abadilishe nguo 😥
Ndoa ya nini sasa, we ni kupiga mpini na kusepa kila mmoja anaendelea na maisha yake mkihitajiana mnatafutana
 
Back
Top Bottom