Hii ni shida wanayoipata Wanawake matajiri

Hii ni shida wanayoipata Wanawake matajiri

Achana na hawa wadada ana ka IST na duka la nguo Kinondoni anajiona tajiri. Tajiri anaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule na jiko, anajiona kayapatiiiiiiia.

Ninaongelea wale wenye mega projects, mega investments. Kwa kweli wanaishi maisha ya upweke sana.

Jana nilialikwa na rafiki yangu kwa ajili ya mlo wa usiku. Yeye ni mfanyabiashara mkubwa, ana viwanda vyake vya vipodozi na anauza sehemu mbalimbali duniani.

Alinunua nyumba Oysterbay iliyokuwa ya mheshimiwa mmoja mstaafu (zile nyumba waliuziwa kwa bei chee na Mkapa) akaivunja yote na akajenga nyumba za ndoto yake.

Anacholalamika ni kwamba wanaume wanamuogopa kwa ajili ya pesa zake. Hata akomtongoza mwanaume baada ya muda kidogo mwanaume atapotea.

Akaenda mbali zaidi, akasema wanawake wengi matajiri wamejikuta wakiingia kwenye mapenzi ya jinsia moja lesbianism kwa kukosa watu wa kuwa nao.

Tuliongea mengi sana kwa kweli. Wito wangu kwenu vijana, msiogope ma Range Rover yao, watongozeni tu, nao pia ni watu na wanahitaji wenzi wa kuwa nao maishani.
Mzee chumvi kwenye chai, unatuaminisha kwamba huyo rafikiyo tajiri wa kike amekuwa haramu kwako hadi uje kutufokea vijana?

Hebu mng'ate kwanza tuone kama hana ngozi ngumu kisha leta mrejesho na location tutie timu
 
Dah umenikumbusha
kuna kipindi kwenye utafutaji wangu nilikuwa nasukuma mkokoten wa vinywaji nikamwona dem mmoja rika langu (nilikuwa namkubali sana) niliyekuwa namwona mara kwa mara siku hyo yuko peke yake (ila dada yake naye ana mal na anatembelea bmw)
Nikasema leo namba nachukua pale kumbe dada yake yupo around pale pale
Nilipokuwa nmesimama nae tukasalimiana nimwombe namba
Dada yake kafika …paap! Huyu hapa

Dada yake: unamwongelesha nini mdogo wangu

Mimi: nilikuwa nasalimiana nae

Dada: unasalimiana nae ndio umsogelee karibu

Mimi: hapana

Dada: muone [emoji849]em toka hapa

Mimi kimya nikafata mkokoteni wangu nikaanza kuusukuma

[emoji23][emoji23][emoji23]alivyoniona nasukuma mkokoteni bora ningevunga hata nisiufate kwanza

Kuna watu walikuwa jiran pale hadi walinishangaa na kunicheka

Dada: kaah mtu mwenyewe kumbe msukuma mkokoteni
Utampa nini mdogo wangu
Huna hata hela ….. mwanaume surual
Jiangalie na majasho yako upo upooo
(Si mnajua wadada wanavyojua kusuta..unapandishwa unashushwa unawashwa unazimwa)

Mimi kimya 🥹🥹na mkokoten wangu taratibu nikasonga [emoji3062][emoji3062]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Pole aseee
 
Wanasema is fresh for a woman to have money but it is more fresher for Man to have [emoji385] money
Ndiomaana kama dada yuko na hela atakupa wewe hela ulipe bills ili akisitili mbele ya rafiki zake coz hata wao wanajua mwanaume kutokuwa na hela sio jambo jema
 
Mzee chumvi kwenye chai, unatuaminisha kwamba huyo rafikiyo tajiri wa kike amekuwa haramu kwako hadi uje kutufokea vijana?

Hebu mng'ate kwanza tuone kama hana ngozi ngumu kisha leta mrejesho na location tutie timu
Siku hizi kila kitu hapa mjengoni mnaita CHAI, shida juu ya nini?
 
Achana na hawa wadada ana ka IST na duka la nguo Kinondoni anajiona tajiri. Tajiri anaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule na jiko, anajiona kayapatiiiiiiia.

Ninaongelea wale wenye mega projects, mega investments. Kwa kweli wanaishi maisha ya upweke sana.

Jana nilialikwa na rafiki yangu kwa ajili ya mlo wa usiku. Yeye ni mfanyabiashara mkubwa, ana viwanda vyake vya vipodozi na anauza sehemu mbalimbali duniani.

Alinunua nyumba Oysterbay iliyokuwa ya mheshimiwa mmoja mstaafu (zile nyumba waliuziwa kwa bei chee na Mkapa) akaivunja yote na akajenga nyumba za ndoto yake.

Anacholalamika ni kwamba wanaume wanamuogopa kwa ajili ya pesa zake. Hata akomtongoza mwanaume baada ya muda kidogo mwanaume atapotea.

Akaenda mbali zaidi, akasema wanawake wengi matajiri wamejikuta wakiingia kwenye mapenzi ya jinsia moja lesbianism kwa kukosa watu wa kuwa nao.

Tuliongea mengi sana kwa kweli. Wito wangu kwenu vijana, msiogope ma Range Rover yao, watongozeni tu, nao pia ni watu na wanahitaji wenzi wa kuwa nao maishani.
Namba yangu ni ile ile, anahitaji msaada wa kisaikolojia tu huyo.
 
Kuna kitu kinaitwa ujasiri,kama huna hii,kumvamia mwanamke aliyekuzidi status au nguvu ya uchumi wanaume wengi hawana...
Inahitaji balls of steel ila kwa wenye confidence hamna wanawake warahisi kama hawa ambao wanajiweza. Huwa hawana njaa kwahio hata outing huwa wanasimamia hawezi kukuita mahali halafu halipii bills.
 
Mwanamke hata awe mpole namna gani, pesa ikiingia na upole unatoweka. Utaambiwa tangulia nyumbani mimi nina issue ya pesa na jamaa.
Hahahah thats bossing around. Huo ushamba si wanawake wote wanao lakini. Ukiwa na mwanamke mpuuzi kama Uwoya lazma aku dogg you out. Danga type ndio huwa wana bully wanaume wasio vyema kiuchumi.
 
Ni kweli sio akiwa tajiri tu ukiwa nae akiwa hana kijikazi cha kumuwezesha hata kupata vimia mia anakuwa mtiifu akianza kupata vijipesa anaanza kukuvimbia; sasa hao matajiri naona balaa lao sio la mchezo
 
Nitakumegea siri za hako ka Demi kako najua hukajui vizuri.

Wala ugali wa mtama na maziwa mgando + michembe wanaomtreat Demi wamo humu babu wanakuchora tu babu, au mpaka niwataje kwa majina ndio utaamini?

Demi hakufai babuu
cc dem

Kwa taarifa
 
Achana na hawa wadada ana ka IST na duka la nguo Kinondoni anajiona tajiri. Tajiri anaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule na jiko, anajiona kayapatiiiiiiia.

Ninaongelea wale wenye mega projects, mega investments. Kwa kweli wanaishi maisha ya upweke sana.

Jana nilialikwa na rafiki yangu kwa ajili ya mlo wa usiku. Yeye ni mfanyabiashara mkubwa, ana viwanda vyake vya vipodozi na anauza sehemu mbalimbali duniani.

Alinunua nyumba Oysterbay iliyokuwa ya mheshimiwa mmoja mstaafu (zile nyumba waliuziwa kwa bei chee na Mkapa) akaivunja yote na akajenga nyumba za ndoto yake.

Anacholalamika ni kwamba wanaume wanamuogopa kwa ajili ya pesa zake. Hata akomtongoza mwanaume baada ya muda kidogo mwanaume atapotea.

Akaenda mbali zaidi, akasema wanawake wengi matajiri wamejikuta wakiingia kwenye mapenzi ya jinsia moja lesbianism kwa kukosa watu wa kuwa nao.

Tuliongea mengi sana kwa kweli. Wito wangu kwenu vijana, msiogope ma Range Rover yao, watongozeni tu, nao pia ni watu na wanahitaji wenzi wa kuwa nao maishani.
Wanaviburi na hakuna mwanaume mwenye nguvu zakiume atakubali dharaulika. End
 
Back
Top Bottom